Kwaheri Bariadi, kwaheri Teddy

Kwaheri Bariadi, kwaheri Teddy

Men are from Mars and Women are from Venus’ ukurasa wa 154." mentor pliz let us share material basi mkuu
 
mentorumepotea sana siku hz hadi galadudu anachukua nafasi yako, japo hajafikia levo zako, yuko wapi na yule mwingine wa kuitwa benteke
 
dah! pole. nakuonea huruma kwa sababu tu umejutia, ila mtoto mzuri teddy nahisi umemwachia kidonda kibaya sana. Kamuacha wa ubani wake kaja kwako kaambulia vipigo na matusi. Sijui kama atakuja kupenda tena kwa moyo mmoja maskini. Na akilazimika kupenda sidhani kama atakuwa tena mnyenyekevu kama alivyokuwa kwako. Ndo ushamharibia mwanaume mwenzio mke hivyo.
 
dah! pole. nakuonea huruma kwa sababu tu umejutia, ila mtoto mzuri teddy nahisi umemwachia kidonda kibaya sana. Kamuacha wa ubani wake kaja kwako kaambulia vipigo na matusi. Sijui kama atakuja kupenda tena kwa moyo mmoja maskini. Na akilazimika kupenda sidhani kama atakuwa tena mnyenyekevu kama alivyokuwa kwako. Ndo ushamharibia mwanaume mwenzio mke hivyo.

Ndo maana nataka kumchukua mi mwenyewe...

Teddy aka Teresia ....aaaah!!!!

Unamjua nini!???
 
Binafsi sidhani kama kipigo kinamfanya mwanamke akuogope na kukuheshimu au akutii, sanasana inaleta chuki tu! Hapo ndipo ulipokosea, na ningekuwa Theresia sigeuki nyuma
 
Binafsi sidhani kama kipigo kinamfanya mwanamke akuogope na kukuheshimu au akutii, sanasana inaleta chuki tu! Hapo ndipo ulipokosea, na ningekuwa Theresia sigeuki nyuma

Nimejifunza kutokana na makosa Jullie Z ndiyo maana nikaomba msamaha. Bado nampenda Teddy ujue usinifitini kiivyo huenda anasoma hapa!!!
 
Last edited by a moderator:
Is it Ennie? None of us is married yet for all I know.


mwallu kwa niaba yake (na wanaume wengine wote waliowahi kuwapiga wapenzi/wake zao) ...kwako na kwa wanawake wengine waliyopitia uliyopitia naomba MSAMAHA ni ujinga ulitujaa. Hatukujua njia tofauti za kusuluhisha tofauti zetu.

Ni ujinga wetu kudhani ukimpiga mwanamke basi ataona unampenda na kumuonea wivu.

Ni ujinga..hatukujua.

Tuwieni radhi...na mtusamehe.

NB: Teddy wewe nisamehe na kunipokea tena, nimejifunza mpenzi.



Kha shem hadi wewe? Ni kosa kama makosa mengine shem. La maana ni kujitambua na kubadilika shem.

Ni kosa kama ubazazi kwa babu Asprin..tusameheane!



Bado mkuu....



Nikipata jibu nitakuambia mkuu Horseshoe Arch. Kwa sasa najua namtaka Teddy tu. Wengine wote kwake hawafui dafu!!!

Kama anagoma kukusamehe basi haijapangwa huyo awe wako.Jitafutie zako mwingine.
 
Last edited by a moderator:
Nimejifunza kutokana na makosa Jullie Z ndiyo maana nikaomba msamaha. Bado nampenda Teddy ujue usinifitini kiivyo huenda anasoma hapa!!!

walau umelitambua kosa lako huenda akakusamehe ila sidhani kama ni mara ya kwanza kumuomba msamaha kwa kipgo then unarudia kumpga tena, ama kweli huwezi kujua thamani ya kitu ukiwa nacho hadi siku unakikosa ndo utajua thamani yake!
 
Last edited by a moderator:
nimependa story yako Mentor mzee wa mikasa

RUVA AKULINDE
 
Last edited by a moderator:
shit happens kuna kipindi hata mimi nilikuwa nampiga my ex,aliponiacha ndo nikagundua she was everything i ever wanted.it was sort of a wakeup call ya kuevaluate my life.il never hit mtu tena but ndo hivyo yule nishampoteza.... .
 
Back
Top Bottom