Kwaheri Bariadi, kwaheri Teddy

Kwaheri Bariadi, kwaheri Teddy

Pole mkuu, huyo Teddy yupo na mie, anakulaani huyo..., ukitaka apoteze appetite ya kula mkumbushe habari za Mentor, anakuitwa Bwana Mikanda a.k.a mgambo!!
 
Haha story mzuri sana ila yle jamaa wa bugando aliumia sana wasalaam Mentor
 
Last edited by a moderator:
nimependa story yako Mentor mzee wa mikasa

RUVA AKULINDE

Haika wawae...


shit happens kuna kipindi hata mimi nilikuwa nampiga my ex,aliponiacha ndo nikagundua she was everything i ever wanted.it was sort of a wakeup call ya kuevaluate my life.il never hit mtu tena but ndo hivyo yule nishampoteza.... .

Cc: mwallu et al...mtusamehe bure.

Hatukujua...
 
Last edited by a moderator:
Pole mkuu, huyo Teddy yupo na mie, anakulaani huyo..., ukitaka apoteze appetite ya kula mkumbushe habari za Mentor, anakuitwa Bwana Mikanda a.k.a mgambo!!

Aiseee this makes me sad mkuu...am really sorry.

Natumai atanisamehe siku moja, hata kama hatokuwa na mimi.


Nice story yenye mafunzo

bazaziiiii thanks bro! Usifanye hivi nlivyofanya mm kaka ako kwa miss neddy sawa! Au we uko na nani..huwa nakuchanganya na Excel


Haha story mzuri sana ila yle jamaa wa bugando aliumia sana wasalaam Mentor

I can only imagine. Kwangu ilikuwa conquest...

My apologies to him too.



akina teddy ni wazur kweli kweli

Na ww ni Teddy nini MankaM??!
 
Last edited by a moderator:
wewe unakataa bure mm nakufahamu sana sema basi tu..........
acha nikupe uhuru zaidi hapa ili usijekuniona ukasema

haaaaaaa kumbe ni wewe fulani nachat nawewe kule jf?
hhalafu ikawa issue bure mpaka tusiweze kusalimiana wakati tukiwa mtaa mmoja best

"ca's" ndo wapi?



Huwa unajikakamua sana kujifanya unanijua lakini wapi! Hongera kwa jitihada lakini.....
 
wewe unakataa bure mm nakufahamu sana sema basi tu..........
acha nikupe uhuru zaidi hapa ili usijekuniona ukasema

haaaaaaa kumbe ni wewe fulani nachat nawewe kule jf?
hhalafu ikawa issue bure mpaka tusiweze kusalimiana wakati tukiwa mtaa mmoja best

Acha kujipendekeza kwa kutumia nguvu.

Hunijui hata chembe.

Ila, kama unadhani kweli unanijua, weka hapa jina langu la ukweli, ninapoishi, na shughuli nifanyazo maishani.

Sijakuomba unipe uhuru na sitaki unipe uhuru wowote ule. Wewe mwaga mtama hapa, taja jina langu na mambo mengine la sivyo utakuwa unabwabwaja tu kama mtu mwenye kichaa cha mbuzi.

Lakini najua kabisa, tena kwa uhakika wa 110% kuwa hunijui na huwezi ukataja chochote kile kilicho cha ukweli kunihusu, hivyo utakuja tena na kisingizio cha hutaki kufanya hivyo kwa sababu ukifanya twaweza kushindwa hata kusalimiana tukiwa mtaa mmoja.

Siwezi kuwa mtaa mmoja na shit stain kama wewe.
 
Nyani Ngabu are you seriously arguing with her? Cmon bro...
 
Last edited by a moderator:
Aiseee this makes me sad mkuu...am really sorry.

Natumai atanisamehe siku moja, hata kama hatokuwa na mimi.





bazaziiiii thanks bro! Usifanye hivi nlivyofanya mm kaka ako kwa miss neddy sawa! Au we uko na nani..huwa nakuchanganya na Excel





I can only imagine. Kwangu ilikuwa conquest...

My apologies to him too.





Na ww ni Teddy nini MankaM??!

mbona sijawelewa hapa Mentor unasemaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom