Kwaheri 2025, Ulikuwa Mwaka wa Majanga!. Yaliyopita si Ndwele, Tugange Yajayo!. Karibu 2026, Uwe Mwaka wa Kheri!. Ni Mwaka wa Katiba Mpya!, Inakuja..!

Kwaheri 2025, Ulikuwa Mwaka wa Majanga!. Yaliyopita si Ndwele, Tugange Yajayo!. Karibu 2026, Uwe Mwaka wa Kheri!. Ni Mwaka wa Katiba Mpya!, Inakuja..!

Wanabodi
Hii ni makala yangu ya kufungia mwaka kwenye gazeti la Mwananchi la Leo ikiwa ni makala ya 52 kwa mwaka huu.
View attachment 3523003
Hii ni Makala yangu ya mwisho kwa mwaka huu wa 2025, ambapo Jumatano ya leo,ndio siku ya mwisho ya Mwaka huu wa 2025, usiku wa leo,ni mkesha wa mwaka mpya tunauaga mwaka huu wa 2025 ,na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026 kesho Alhamisi,kwa kuianza safari mpya ya 2026.
Mwaka 2025 ulikuwa ni mwaka wenye mengi,makubwa mazuri pia na changamoto kadhaa, kubwa kuliko yote la mwaka 2025, ulikuwa ni mwaka wetu wa Uchaguzi Mkuu wa rais, Wabunge na Madiwani.
Siku ya uchaguzi kulitokea mambo ambayo sii mazuri, yametutia doa sisi Tanzania kama nchi, hivyo nasisitiza, tuufunge mwaka kwa “yaliyop[ita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo, ili tuuanze mwaka mpya wa 2026 kwa nia njema na dhamira safi.

Kilichotokea ile siku ya uchaguzi, October, 29, kimewashangaza wengi, lakini kufuatia msemo wa Kiswahili, usemao, “Mwenda pole hajikwai, na akijikwaa haanguki, na akianguka haumii”, na msemo wa “haraka haraka haina baraka”, “mkamia maji hayanywi” na “mwenye pupa hadiriki kula tamu”, tukubali tukatae, kilichotokea October 29, badala ya Tanzania kuwa ni mwenda pole, sisi tulikwenda mbio sana, tukachukua maamuzi ya pupa, tukataka kuyakamia maji, tukashindwa kuyanywa, haraka haraka yetu ikatukosesha baraka, tukajikwaa, tukaanguka, tukaumia, na badala ya kurudi nyuma kuangalia pale tulipo jikwaa, ili tusije kujikwaa tena pale pale, sisi ni tumeamka, tumeangalia pale tuu tulipoangukia, na kuendelea na safari yetu.

Kwa vile kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2025, tumekuwa tukiuzungumzia uchaguzi mkuu, kwa kushauri, nini kifanyike, ili uchaguzi wetu mkuu uwe ni uchaguzi huru na wa haki, wenye amani na utulivu, mapendekezo yetu mengi hayakuzingatiwa.

Moja ya pendekezo kubwa kabisa, lililopendekezwa na wengi, ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, sheria, taratibu na kanuni, za uchaguzi, ili kuusawazisha uwanja tenge wa mchezo wa uchaguzi wetu ukae sawa, lakini wenye maamuzi wakagomea, hivyo tukaingia tena kwenye uchaguzi mkuu wetu kwenye uwanja tenge na matokeo yake ni matokeo tenge.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kwa vile mkubwa ni jalala, lawama zote anatupiwa Rais Samia, lakini kiukweli kabisa, yeye kwa upande wake, alifanya kila alichoweza, aliunda kikosi kazi, kikawaita wadau, wakatoa maoni, wakajadili sheria taratibu na kanuni, wakaja na mapendekezo, pendekezo kubwa likiwa ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, “minimum reforms”.

Hili lilikataliwa, serikali ikaleta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, sheria ya vyama vya siasa, ikaleta mabadiliko ya kawaida ya sheria, ikaivunja Tume ya zamani ya Uchaguzi NEC, na kuunda Tume mpya Huru ya Uchaguzi, INEC.

Kwa vile NEC ni zao la katiba, kikatiba na kisheria, jambo ambalo liko ndani ya katiba, haliwezi kuondolewa kwa sheria ya kawaida bila ya kufanya mabadiliko madogo ya katiba, kuivunja kwanza NEC, na kuinda kwanza INEC, ndani ya katiba, kisha ndipo tuje tutunge sheria ya kuinda INEC kwa mabadiliko ya sheria.

Niliandika Makala humu kuhusu “Kufanya Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba, ni Sawa na Kula Bila Kunawa”. Kilichofanyika ni tulibadili sheria kwa pupa, tukaunda Tume mpya ya Uchaguzi kwa pupa, na matokeo yake, tukafanya uchaguzi kwa sheria mpya na tume mpya ya INEC ambayo mpaka hapa ninapoandika leo, INEC haitambuliwi na katiba yetu, kwenye katiba yetu bado kuna NEC.

Na INEC yenyewe iliyosimamia uchaguzi, kusema la ukweli ni ile ile NEC, viongozi ni wale wale, kuanzia Mwenyekiti na Katibu na ma Kamishna wa INEC ni wale wale wa NEC!, kikiundwa chombo kipya, ilikuwa lazima kuwateua viongozi wapya hata kama ni wale wale, lakini baada ya kuvunjwa NEC na kuundwa kwa INEC, viongozi wa NEC wanapoteza uteuzi, na kuteuliwa viongozi wa INEC, hata kama watakuwa ni wale wale waliokuwa NEC walipaswa kuteuliwa upya.

Ukiangalia muda uliokuwepo, ulikuwa ni muda wa kutosha kabisa kufanya minimum reforms, ukijiuliza ni sababu zipi zilizopelekea kusifanyike mabadiliko madogo ya katiba, hakuna!, ila kilichopo ni kama kiburi tuu na jeuri ya madaraka na mamlaka kwa vile kuna watu wametangaza shinikizo la bila mabadiliko, hakuna uchaguzi (NRNE), serikali ikaona ikifanya mabadiliko madogo ya katiba, ni kama kuwanyenyekea na kukubali shinikizo, hivyo ikaamua kufanya kiburi, na kiburi sii maungwana, badala yake tukaingia kwenye uchaguzi bila mabadiliko ya katiba, na huu ndio mzizi wa yote yaliyotokea ile tarehe 29 October, yale ni matokeo tuu sio chanzo, hatukuziba ufa, sasa tunajenga ukuta.

Na hata sheria mpya ya uchaguzi iliyopitishwa, bado ilikuwa na vipengele batili vinavyokwenda kinyume na katiba yetu, ambavyo niliviainisha humu kwenye Makala za nyuma.

Funzo kwa serikali yetu, tujenge utamaduni wa kuwa serikali sikivu, Nchi ya Tanzania ni mali ya Watanzania, ndio wenye nchi, wenye katiba na wenye kila kitu, mamlaka kuu inatoka kwa wananchi, rais, serikali, Bunge na Mahakama wote ni watumishi wa wananchi, kama wananchi walitaka mabadiliko madogo ya katiba, walipaswa wapewe, na kama kuna sababu za msingi kwanini wasipewe, basi walipaswa waelezwe ili waelewe.

Haya maji ya October 29, yameisha mwagika, hayazoleki, kwa vile sasa ni mwisho wa mwaka, tuyaache yaliyopita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo. Kwa vile kuna tume ya uchunguzi wa kilichotokea, wale wenye maoni, pelekeni kwenye Tume, itoe matokeo hili liishe.


Kubwa, la mwaka huu ni Katiba Mpya. Baada ya CCM kushinda uchaguzi kwa kishindo cha asilimia 98%, na kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, hoja ya katiba mpya ipo, na Rais Samia akilizindua Bunge jipya, aliahidi kuuanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 za kwanza. Hii katiba mpya itaukata mzizi wote wa fitna, tunakwenda kwenye Mwaka Mpya wa Tanzania Mpya na Mambo Mapya.

Heri ya Mwaka Mpya.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Wewe ni Lipumbavu.

Cc Mke wako
Cc Watoto wako
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu ya kufungia mwaka kwenye gazeti la Mwananchi la Leo ikiwa ni makala ya 52 kwa mwaka huu.
View attachment 3523003
Hii ni Makala yangu ya mwisho kwa mwaka huu wa 2025, ambapo Jumatano ya leo,ndio siku ya mwisho ya Mwaka huu wa 2025, usiku wa leo,ni mkesha wa mwaka mpya tunauaga mwaka huu wa 2025 ,na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026 kesho Alhamisi,kwa kuianza safari mpya ya 2026.
Mwaka 2025 ulikuwa ni mwaka wenye mengi,makubwa mazuri pia na changamoto kadhaa, kubwa kuliko yote la mwaka 2025, ulikuwa ni mwaka wetu wa Uchaguzi Mkuu wa rais, Wabunge na Madiwani.
Siku ya uchaguzi kulitokea mambo ambayo sii mazuri, yametutia doa sisi Tanzania kama nchi, hivyo nasisitiza, tuufunge mwaka kwa “yaliyop[ita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo, ili tuuanze mwaka mpya wa 2026 kwa nia njema na dhamira safi.

Kilichotokea ile siku ya uchaguzi, October, 29, kimewashangaza wengi, lakini kufuatia msemo wa Kiswahili, usemao, “Mwenda pole hajikwai, na akijikwaa haanguki, na akianguka haumii”, na msemo wa “haraka haraka haina baraka”, “mkamia maji hayanywi” na “mwenye pupa hadiriki kula tamu”, tukubali tukatae, kilichotokea October 29, badala ya Tanzania kuwa ni mwenda pole, sisi tulikwenda mbio sana, tukachukua maamuzi ya pupa, tukataka kuyakamia maji, tukashindwa kuyanywa, haraka haraka yetu ikatukosesha baraka, tukajikwaa, tukaanguka, tukaumia, na badala ya kurudi nyuma kuangalia pale tulipo jikwaa, ili tusije kujikwaa tena pale pale, sisi ni tumeamka, tumeangalia pale tuu tulipoangukia, na kuendelea na safari yetu.

Kwa vile kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2025, tumekuwa tukiuzungumzia uchaguzi mkuu, kwa kushauri, nini kifanyike, ili uchaguzi wetu mkuu uwe ni uchaguzi huru na wa haki, wenye amani na utulivu, mapendekezo yetu mengi hayakuzingatiwa.

Moja ya pendekezo kubwa kabisa, lililopendekezwa na wengi, ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, sheria, taratibu na kanuni, za uchaguzi, ili kuusawazisha uwanja tenge wa mchezo wa uchaguzi wetu ukae sawa, lakini wenye maamuzi wakagomea, hivyo tukaingia tena kwenye uchaguzi mkuu wetu kwenye uwanja tenge na matokeo yake ni matokeo tenge.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kwa vile mkubwa ni jalala, lawama zote anatupiwa Rais Samia, lakini kiukweli kabisa, yeye kwa upande wake, alifanya kila alichoweza, aliunda kikosi kazi, kikawaita wadau, wakatoa maoni, wakajadili sheria taratibu na kanuni, wakaja na mapendekezo, pendekezo kubwa likiwa ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, “minimum reforms”.

Hili lilikataliwa, serikali ikaleta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, sheria ya vyama vya siasa, ikaleta mabadiliko ya kawaida ya sheria, ikaivunja Tume ya zamani ya Uchaguzi NEC, na kuunda Tume mpya Huru ya Uchaguzi, INEC.

Kwa vile NEC ni zao la katiba, kikatiba na kisheria, jambo ambalo liko ndani ya katiba, haliwezi kuondolewa kwa sheria ya kawaida bila ya kufanya mabadiliko madogo ya katiba, kuivunja kwanza NEC, na kuinda kwanza INEC, ndani ya katiba, kisha ndipo tuje tutunge sheria ya kuinda INEC kwa mabadiliko ya sheria.

Niliandika Makala humu kuhusu “Kufanya Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba, ni Sawa na Kula Bila Kunawa”. Kilichofanyika ni tulibadili sheria kwa pupa, tukaunda Tume mpya ya Uchaguzi kwa pupa, na matokeo yake, tukafanya uchaguzi kwa sheria mpya na tume mpya ya INEC ambayo mpaka hapa ninapoandika leo, INEC haitambuliwi na katiba yetu, kwenye katiba yetu bado kuna NEC.

Na INEC yenyewe iliyosimamia uchaguzi, kusema la ukweli ni ile ile NEC, viongozi ni wale wale, kuanzia Mwenyekiti na Katibu na ma Kamishna wa INEC ni wale wale wa NEC!, kikiundwa chombo kipya, ilikuwa lazima kuwateua viongozi wapya hata kama ni wale wale, lakini baada ya kuvunjwa NEC na kuundwa kwa INEC, viongozi wa NEC wanapoteza uteuzi, na kuteuliwa viongozi wa INEC, hata kama watakuwa ni wale wale waliokuwa NEC walipaswa kuteuliwa upya.

Ukiangalia muda uliokuwepo, ulikuwa ni muda wa kutosha kabisa kufanya minimum reforms, ukijiuliza ni sababu zipi zilizopelekea kusifanyike mabadiliko madogo ya katiba, hakuna!, ila kilichopo ni kama kiburi tuu na jeuri ya madaraka na mamlaka kwa vile kuna watu wametangaza shinikizo la bila mabadiliko, hakuna uchaguzi (NRNE), serikali ikaona ikifanya mabadiliko madogo ya katiba, ni kama kuwanyenyekea na kukubali shinikizo, hivyo ikaamua kufanya kiburi, na kiburi sii maungwana, badala yake tukaingia kwenye uchaguzi bila mabadiliko ya katiba, na huu ndio mzizi wa yote yaliyotokea ile tarehe 29 October, yale ni matokeo tuu sio chanzo, hatukuziba ufa, sasa tunajenga ukuta.

Na hata sheria mpya ya uchaguzi iliyopitishwa, bado ilikuwa na vipengele batili vinavyokwenda kinyume na katiba yetu, ambavyo niliviainisha humu kwenye Makala za nyuma.

Funzo kwa serikali yetu, tujenge utamaduni wa kuwa serikali sikivu, Nchi ya Tanzania ni mali ya Watanzania, ndio wenye nchi, wenye katiba na wenye kila kitu, mamlaka kuu inatoka kwa wananchi, rais, serikali, Bunge na Mahakama wote ni watumishi wa wananchi, kama wananchi walitaka mabadiliko madogo ya katiba, walipaswa wapewe, na kama kuna sababu za msingi kwanini wasipewe, basi walipaswa waelezwe ili waelewe.

Haya maji ya October 29, yameisha mwagika, hayazoleki, kwa vile sasa ni mwisho wa mwaka, tuyaache yaliyopita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo. Kwa vile kuna tume ya uchunguzi wa kilichotokea, wale wenye maoni, pelekeni kwenye Tume, itoe matokeo hili liishe.


Kubwa, la mwaka huu ni Katiba Mpya. Baada ya CCM kushinda uchaguzi kwa kishindo cha asilimia 98%, na kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, hoja ya katiba mpya ipo, na Rais Samia akilizindua Bunge jipya, aliahidi kuuanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 za kwanza. Hii katiba mpya itaukata mzizi wote wa fitna, tunakwenda kwenye Mwaka Mpya wa Tanzania Mpya na Mambo Mapya.

Heri ya Mwaka Mpya.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Mkuu je unaamini katiba mpya itapatikana katika mazingira ya sasa? Yaani mpya kweli kweli ??
 
Hii aya ndiyo ulipoharibu kaka. Inaonesha kuwa umekuja hapa kufanya damage control trajectory pamoja na kudivert situation ya yanayoendelea kujjri nchini
Kati ya freedom zote, freedom to think ndio freedom pekee ambayo ni absolutely free isiyo na mipaka.
Kama unaamini mimi nimekuja hapa kufanya damage control trajectory pamoja na kudivert attention ya situation ya yanayoendelea kujjri nchini, endelea kuamini hivyo na mimi nayaheshimu mawazo yako.
  1. Ahadi ama matarajio ya Katiba Mpya unayatoa wewe kama nani?
Kuna wengi mnapitwa na mengi!, ahadi ya katiba mpya unadhani ilitolewa na mimi?. Hujui ilitolewa na nani?!
  1. Kwa nini unathibitisha ushindi wa wahaini CCM wakati unaujua ukweli kura hazikupigwa?
Karibu mitaa hii
  1. Kikatiba na kisheria, majeshi yanaingiaje kwenye mchakato wa uchaguzi?
Karibu mitaa hii Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!
  1. Hii project ya kupaka rangi mzoga unalipwa kiasi gani?
Kama unaamini nalipwa, naomba endelea kuamini hivyo na mimi nayaheshimu mawazo yako.
  1. Tukueleweje Paskali?
Nielewe kwa kiwango cha uelewa wako, wako wanaoniona mimi ni chawa wa mama, wako wasionielewa kabisa, na wako wanaonielewa vema na vizuri kabisa.

Mimi naendelea na huduma yangu kwa jamii bila kujali watu wananieleweje as long as I'm doing the right thing at the right time.
P
 
Hii aya ndiyo ulipoharibu kaka. Inaonesha kuwa umekuja hapa kufanya damage control trajectory pamoja na kudivert situation ya yanayoendelea kujjri nchini
Kati ya freedom zote, freedom to think ndio freedom pekee ambayo ni absolutely free isiyo na mipaka.
Kama unaamini mimi nimekuja hapa kufanya damage control trajectory pamoja na kudivert attention ya situation ya yanayoendelea kujjri nchini, endelea kuamini hivyo na mimi nayaheshimu mawazo yako.
  1. Ahadi ama matarajio ya Katiba Mpya unayatoa wewe kama nani?
Kuna wengi mnapitwa na mengi!, ahadi ya katiba mpya unadhani ilitolewa na mimi?. Hujui ilitolewa na nani?!
  1. Kwa nini unathibitisha ushindi wa CCM wakati unaujua ukweli kura hazikupigwa?
Karibu mitaa hii GE2025 - Fact: Samia ndiye Rais wa JMT!, Uwe ulimchagua, hukumchagua, hukupiga Kura, uko Tanzania au Ughaibuni, unamtambua, humtambui, SSH ndiye Rais wako!
  1. Kikatiba na kisheria, majeshi yanaingiaje kwenye mchakato wa uchaguzi?
Karibu mitaa hii Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!
  1. Hii project ya kupaka rangi mzoga unalipwa kiasi gani?
Kama unaamini nalipwa, naomba endelea kuamini hivyo na mimi nayaheshimu mawazo yako
  1. Tukueleweje Paskali?
Nielewe kwa kiwango cha uelewa wako, wako wanaoniona mimi ni chawa wa mama, wako wasionielewa kabisa, na wako wanaonielewa vema na vizuri kabisa.

Mimi naendelea na huduma yangu kwa jamii bila kujali watu wananieleweje as long as I'm doing the right thing at the right time.

P
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu ya kufungia mwaka kwenye gazeti la Mwananchi la Leo ikiwa ni makala ya 52 kwa mwaka huu.
View attachment 3523003
Hii ni Makala yangu ya mwisho kwa mwaka huu wa 2025, ambapo Jumatano ya leo,ndio siku ya mwisho ya Mwaka huu wa 2025, usiku wa leo,ni mkesha wa mwaka mpya tunauaga mwaka huu wa 2025 ,na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026 kesho Alhamisi,kwa kuianza safari mpya ya 2026.
Mwaka 2025 ulikuwa ni mwaka wenye mengi,makubwa mazuri pia na changamoto kadhaa, kubwa kuliko yote la mwaka 2025, ulikuwa ni mwaka wetu wa Uchaguzi Mkuu wa rais, Wabunge na Madiwani.
Siku ya uchaguzi kulitokea mambo ambayo sii mazuri, yametutia doa sisi Tanzania kama nchi, hivyo nasisitiza, tuufunge mwaka kwa “yaliyop[ita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo, ili tuuanze mwaka mpya wa 2026 kwa nia njema na dhamira safi.

Kilichotokea ile siku ya uchaguzi, October, 29, kimewashangaza wengi, lakini kufuatia msemo wa Kiswahili, usemao, “Mwenda pole hajikwai, na akijikwaa haanguki, na akianguka haumii”, na msemo wa “haraka haraka haina baraka”, “mkamia maji hayanywi” na “mwenye pupa hadiriki kula tamu”, tukubali tukatae, kilichotokea October 29, badala ya Tanzania kuwa ni mwenda pole, sisi tulikwenda mbio sana, tukachukua maamuzi ya pupa, tukataka kuyakamia maji, tukashindwa kuyanywa, haraka haraka yetu ikatukosesha baraka, tukajikwaa, tukaanguka, tukaumia, na badala ya kurudi nyuma kuangalia pale tulipo jikwaa, ili tusije kujikwaa tena pale pale, sisi ni tumeamka, tumeangalia pale tuu tulipoangukia, na kuendelea na safari yetu.

Kwa vile kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2025, tumekuwa tukiuzungumzia uchaguzi mkuu, kwa kushauri, nini kifanyike, ili uchaguzi wetu mkuu uwe ni uchaguzi huru na wa haki, wenye amani na utulivu, mapendekezo yetu mengi hayakuzingatiwa.

Moja ya pendekezo kubwa kabisa, lililopendekezwa na wengi, ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, sheria, taratibu na kanuni, za uchaguzi, ili kuusawazisha uwanja tenge wa mchezo wa uchaguzi wetu ukae sawa, lakini wenye maamuzi wakagomea, hivyo tukaingia tena kwenye uchaguzi mkuu wetu kwenye uwanja tenge na matokeo yake ni matokeo tenge.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kwa vile mkubwa ni jalala, lawama zote anatupiwa Rais Samia, lakini kiukweli kabisa, yeye kwa upande wake, alifanya kila alichoweza, aliunda kikosi kazi, kikawaita wadau, wakatoa maoni, wakajadili sheria taratibu na kanuni, wakaja na mapendekezo, pendekezo kubwa likiwa ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, “minimum reforms”.

Hili lilikataliwa, serikali ikaleta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, sheria ya vyama vya siasa, ikaleta mabadiliko ya kawaida ya sheria, ikaivunja Tume ya zamani ya Uchaguzi NEC, na kuunda Tume mpya Huru ya Uchaguzi, INEC.

Kwa vile NEC ni zao la katiba, kikatiba na kisheria, jambo ambalo liko ndani ya katiba, haliwezi kuondolewa kwa sheria ya kawaida bila ya kufanya mabadiliko madogo ya katiba, kuivunja kwanza NEC, na kuinda kwanza INEC, ndani ya katiba, kisha ndipo tuje tutunge sheria ya kuinda INEC kwa mabadiliko ya sheria.

Niliandika Makala humu kuhusu “Kufanya Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba, ni Sawa na Kula Bila Kunawa”. Kilichofanyika ni tulibadili sheria kwa pupa, tukaunda Tume mpya ya Uchaguzi kwa pupa, na matokeo yake, tukafanya uchaguzi kwa sheria mpya na tume mpya ya INEC ambayo mpaka hapa ninapoandika leo, INEC haitambuliwi na katiba yetu, kwenye katiba yetu bado kuna NEC.

Na INEC yenyewe iliyosimamia uchaguzi, kusema la ukweli ni ile ile NEC, viongozi ni wale wale, kuanzia Mwenyekiti na Katibu na ma Kamishna wa INEC ni wale wale wa NEC!, kikiundwa chombo kipya, ilikuwa lazima kuwateua viongozi wapya hata kama ni wale wale, lakini baada ya kuvunjwa NEC na kuundwa kwa INEC, viongozi wa NEC wanapoteza uteuzi, na kuteuliwa viongozi wa INEC, hata kama watakuwa ni wale wale waliokuwa NEC walipaswa kuteuliwa upya.

Ukiangalia muda uliokuwepo, ulikuwa ni muda wa kutosha kabisa kufanya minimum reforms, ukijiuliza ni sababu zipi zilizopelekea kusifanyike mabadiliko madogo ya katiba, hakuna!, ila kilichopo ni kama kiburi tuu na jeuri ya madaraka na mamlaka kwa vile kuna watu wametangaza shinikizo la bila mabadiliko, hakuna uchaguzi (NRNE), serikali ikaona ikifanya mabadiliko madogo ya katiba, ni kama kuwanyenyekea na kukubali shinikizo, hivyo ikaamua kufanya kiburi, na kiburi sii maungwana, badala yake tukaingia kwenye uchaguzi bila mabadiliko ya katiba, na huu ndio mzizi wa yote yaliyotokea ile tarehe 29 October, yale ni matokeo tuu sio chanzo, hatukuziba ufa, sasa tunajenga ukuta.

Na hata sheria mpya ya uchaguzi iliyopitishwa, bado ilikuwa na vipengele batili vinavyokwenda kinyume na katiba yetu, ambavyo niliviainisha humu kwenye Makala za nyuma.

Funzo kwa serikali yetu, tujenge utamaduni wa kuwa serikali sikivu, Nchi ya Tanzania ni mali ya Watanzania, ndio wenye nchi, wenye katiba na wenye kila kitu, mamlaka kuu inatoka kwa wananchi, rais, serikali, Bunge na Mahakama wote ni watumishi wa wananchi, kama wananchi walitaka mabadiliko madogo ya katiba, walipaswa wapewe, na kama kuna sababu za msingi kwanini wasipewe, basi walipaswa waelezwe ili waelewe.

Haya maji ya October 29, yameisha mwagika, hayazoleki, kwa vile sasa ni mwisho wa mwaka, tuyaache yaliyopita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo. Kwa vile kuna tume ya uchunguzi wa kilichotokea, wale wenye maoni, pelekeni kwenye Tume, itoe matokeo hili liishe.


Kubwa, la mwaka huu ni Katiba Mpya. Baada ya CCM kushinda uchaguzi kwa kishindo cha asilimia 98%, na kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, hoja ya katiba mpya ipo, na Rais Samia akilizindua Bunge jipya, aliahidi kuuanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 za kwanza. Hii katiba mpya itaukata mzizi wote wa fitna, tunakwenda kwenye Mwaka Mpya wa Tanzania Mpya na Mambo Mapya.

Heri ya Mwaka Mpya.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Hamna yaliyopita ndiyo kwanza imeanza upya. Kwanza kabisa Samia awajibishwe kwa kushiriki Moja kwa Moja kufanya mauaji ya raia tarehe 29 October.
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu ya kufungia mwaka kwenye gazeti la Mwananchi la Leo ikiwa ni makala ya 52 kwa mwaka huu.
View attachment 3523003
Hii ni Makala yangu ya mwisho kwa mwaka huu wa 2025, ambapo Jumatano ya leo,ndio siku ya mwisho ya Mwaka huu wa 2025, usiku wa leo,ni mkesha wa mwaka mpya tunauaga mwaka huu wa 2025 ,na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026 kesho Alhamisi,kwa kuianza safari mpya ya 2026.
Mwaka 2025 ulikuwa ni mwaka wenye mengi,makubwa mazuri pia na changamoto kadhaa, kubwa kuliko yote la mwaka 2025, ulikuwa ni mwaka wetu wa Uchaguzi Mkuu wa rais, Wabunge na Madiwani.
Siku ya uchaguzi kulitokea mambo ambayo sii mazuri, yametutia doa sisi Tanzania kama nchi, hivyo nasisitiza, tuufunge mwaka kwa “yaliyop[ita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo, ili tuuanze mwaka mpya wa 2026 kwa nia njema na dhamira safi.

Kilichotokea ile siku ya uchaguzi, October, 29, kimewashangaza wengi, lakini kufuatia msemo wa Kiswahili, usemao, “Mwenda pole hajikwai, na akijikwaa haanguki, na akianguka haumii”, na msemo wa “haraka haraka haina baraka”, “mkamia maji hayanywi” na “mwenye pupa hadiriki kula tamu”, tukubali tukatae, kilichotokea October 29, badala ya Tanzania kuwa ni mwenda pole, sisi tulikwenda mbio sana, tukachukua maamuzi ya pupa, tukataka kuyakamia maji, tukashindwa kuyanywa, haraka haraka yetu ikatukosesha baraka, tukajikwaa, tukaanguka, tukaumia, na badala ya kurudi nyuma kuangalia pale tulipo jikwaa, ili tusije kujikwaa tena pale pale, sisi ni tumeamka, tumeangalia pale tuu tulipoangukia, na kuendelea na safari yetu.

Kwa vile kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2025, tumekuwa tukiuzungumzia uchaguzi mkuu, kwa kushauri, nini kifanyike, ili uchaguzi wetu mkuu uwe ni uchaguzi huru na wa haki, wenye amani na utulivu, mapendekezo yetu mengi hayakuzingatiwa.

Moja ya pendekezo kubwa kabisa, lililopendekezwa na wengi, ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, sheria, taratibu na kanuni, za uchaguzi, ili kuusawazisha uwanja tenge wa mchezo wa uchaguzi wetu ukae sawa, lakini wenye maamuzi wakagomea, hivyo tukaingia tena kwenye uchaguzi mkuu wetu kwenye uwanja tenge na matokeo yake ni matokeo tenge.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kwa vile mkubwa ni jalala, lawama zote anatupiwa Rais Samia, lakini kiukweli kabisa, yeye kwa upande wake, alifanya kila alichoweza, aliunda kikosi kazi, kikawaita wadau, wakatoa maoni, wakajadili sheria taratibu na kanuni, wakaja na mapendekezo, pendekezo kubwa likiwa ni kufanyika kwa mabadiliko madogo ya katiba, “minimum reforms”.

Hili lilikataliwa, serikali ikaleta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, sheria ya vyama vya siasa, ikaleta mabadiliko ya kawaida ya sheria, ikaivunja Tume ya zamani ya Uchaguzi NEC, na kuunda Tume mpya Huru ya Uchaguzi, INEC.

Kwa vile NEC ni zao la katiba, kikatiba na kisheria, jambo ambalo liko ndani ya katiba, haliwezi kuondolewa kwa sheria ya kawaida bila ya kufanya mabadiliko madogo ya katiba, kuivunja kwanza NEC, na kuinda kwanza INEC, ndani ya katiba, kisha ndipo tuje tutunge sheria ya kuinda INEC kwa mabadiliko ya sheria.

Niliandika Makala humu kuhusu “Kufanya Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba, ni Sawa na Kula Bila Kunawa”. Kilichofanyika ni tulibadili sheria kwa pupa, tukaunda Tume mpya ya Uchaguzi kwa pupa, na matokeo yake, tukafanya uchaguzi kwa sheria mpya na tume mpya ya INEC ambayo mpaka hapa ninapoandika leo, INEC haitambuliwi na katiba yetu, kwenye katiba yetu bado kuna NEC.

Na INEC yenyewe iliyosimamia uchaguzi, kusema la ukweli ni ile ile NEC, viongozi ni wale wale, kuanzia Mwenyekiti na Katibu na ma Kamishna wa INEC ni wale wale wa NEC!, kikiundwa chombo kipya, ilikuwa lazima kuwateua viongozi wapya hata kama ni wale wale, lakini baada ya kuvunjwa NEC na kuundwa kwa INEC, viongozi wa NEC wanapoteza uteuzi, na kuteuliwa viongozi wa INEC, hata kama watakuwa ni wale wale waliokuwa NEC walipaswa kuteuliwa upya.

Ukiangalia muda uliokuwepo, ulikuwa ni muda wa kutosha kabisa kufanya minimum reforms, ukijiuliza ni sababu zipi zilizopelekea kusifanyike mabadiliko madogo ya katiba, hakuna!, ila kilichopo ni kama kiburi tuu na jeuri ya madaraka na mamlaka kwa vile kuna watu wametangaza shinikizo la bila mabadiliko, hakuna uchaguzi (NRNE), serikali ikaona ikifanya mabadiliko madogo ya katiba, ni kama kuwanyenyekea na kukubali shinikizo, hivyo ikaamua kufanya kiburi, na kiburi sii maungwana, badala yake tukaingia kwenye uchaguzi bila mabadiliko ya katiba, na huu ndio mzizi wa yote yaliyotokea ile tarehe 29 October, yale ni matokeo tuu sio chanzo, hatukuziba ufa, sasa tunajenga ukuta.

Na hata sheria mpya ya uchaguzi iliyopitishwa, bado ilikuwa na vipengele batili vinavyokwenda kinyume na katiba yetu, ambavyo niliviainisha humu kwenye Makala za nyuma.

Funzo kwa serikali yetu, tujenge utamaduni wa kuwa serikali sikivu, Nchi ya Tanzania ni mali ya Watanzania, ndio wenye nchi, wenye katiba na wenye kila kitu, mamlaka kuu inatoka kwa wananchi, rais, serikali, Bunge na Mahakama wote ni watumishi wa wananchi, kama wananchi walitaka mabadiliko madogo ya katiba, walipaswa wapewe, na kama kuna sababu za msingi kwanini wasipewe, basi walipaswa waelezwe ili waelewe.

Haya maji ya October 29, yameisha mwagika, hayazoleki, kwa vile sasa ni mwisho wa mwaka, tuyaache yaliyopita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo. Kwa vile kuna tume ya uchunguzi wa kilichotokea, wale wenye maoni, pelekeni kwenye Tume, itoe matokeo hili liishe.


Kubwa, la mwaka huu ni Katiba Mpya. Baada ya CCM kushinda uchaguzi kwa kishindo cha asilimia 98%, na kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, hoja ya katiba mpya ipo, na Rais Samia akilizindua Bunge jipya, aliahidi kuuanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 za kwanza. Hii katiba mpya itaukata mzizi wote wa fitna, tunakwenda kwenye Mwaka Mpya wa Tanzania Mpya na Mambo Mapya.

Heri ya Mwaka Mpya.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Tunamtaka miili ya ndugu mliowauwa tuipate na kuizika.. pia wauaji wote wachukuliwe hatua..

Kwenye uhai wa mtu unasema SI NDWELE?!
ARE YOU NORMAL?! MENTALLY FIT?!
 
Kati ya freedom zote, freedom to think ndio freedom pekee ambayo ni absolutely free isiyo na mipaka.
Kama unaamini mimi nimekuja hapa kufanya damage control trajectory pamoja na kudivert attention ya situation ya yanayoendelea kujjri nchini, endelea kuamini hivyo na mimi nayaheshimu mawazo yako.

Kuna wengi mnapitwa na mengi!, ahadi ya katiba mpya unadhani ilitolewa na mimi?. Hujui ilitolewa na nani?!

Karibu mitaa hii

Karibu mitaa hii Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

Kama unaamini nalipwa, naomba endelea kuamini hivyo na mimi nayaheshimu mawazo yako.

Nielewe kwa kiwango cha uelewa wako, wako wanaoniona mimi ni chawa wa mama, wako wasionielewa kabisa, na wako wanaonielewa vema na vizuri kabisa.

Mimi naendelea na huduma yangu kwa jamii bila kujali watu wananieleweje as long as I'm doing the right thing at the right time.

P
Hitqji la sasa siyo katiba pekee.
CCM inapaswa kutathiminiwa ikiwa pembeni

Haiitajiki kwa sasa
 
Hakuna cha yaliyopita si ndwele , hatutasahau na hakuna namna tutakaa meza moja wala kukubali kuambatana na watu wenye damu za watanganyika 10000 mikononi mwao.

Hayo yaliyopita nenda kawaambie familia za akina mzee Kibao, Chaula, Soka ,Dioniz Kipanya, Mdude , Polepole na wahanga wa October 29 uone kama utarudi salama.
 
Hitqji la sasa siyo katiba pekee.
CCM inapaswa kutathiminiwa ikiwa pembeni

Haiitajiki kwa sasa
Hakuna kitu kizuri hapa duniani kama kuukubali ukweli, hata kama unauma, ila ndio ukweli, na hakuna kitu kibaya kama kujifariji kwa uongo, day dreaming, it's very frustrating kuuishi uongo kwa kujifariji.

CCM itathminiwe na nani?, iwekwe pembeni na nani?, na nafasi yake iwe replaced na nani?

Politics is a science, political science, inafuata scientific principles

CCM is a body in motion, ili iondoke, there must be an external force applied to it kuisimamisha ama kuiondoa, hapo ujue CCM sio tuu ni chama cha siasa ni chama dola, ni dola!, kwa katiba hii, hiyo external force ya kuiondoa CCM na kuiweka pembeni ni ipi?

Pia CCM kama chama kinafuata kanuni ya body mass and volume, CCM haiwezi kupisha bila kwanza kupatikana a replacement to replace it itakapotoka, hiyo replacement ni ipi?.

P
 
Nchi ya Tanzania ni mali ya Watanzania, ndio wenye nchi, wenye katiba na wenye kila kitu, mamlaka kuu inatoka kwa wananchi, rais, serikali, Bunge na Mahakama wote ni watumishi wa wananchi, kama wananchi walitaka mabadiliko madogo ya katiba, walipaswa wapewe, na kama kuna sababu za msingi kwanini wasipewe, basi walipaswa waelezwe ili waelewe.
Tanzania ni mali ya Ccm acha kujitoa ufahamu.
 
Inakuja kweli?
Mkuu KichwaChui, TigerHead , katiba inakuja, mchakato unaanza ndani ya siku 100 za Samia.
Mbona mishangao mingi kwenye mwanzo habari hii?
Wabongo ni watu wa mishangao sana.
Kwa kiburi cha Mtanzania na kwa uwepo wa kazi ya tume,isiwe tu kisingizio cha kukosa kuanza mchakato wa katiba.
No I don't think
Umenena mengi mazuri ya kushauri ila tu viburi wasikuteke ili usiendelee kuwapigia kelele wasizozipenda.
Kiukweli kabisa hali ya Bongo sii salama, hata mimi ni mzalendo wa Polepole type, tunapiga kelele kwa nia njema na dhamira safi kabisa ya kusaidia nchi yetu huku tumejikabidhi kwa Mungu Baba, Mungu akiamua kuachia yanikute ya kunikuta, then hiyo ndio itakuwa siku yangu niliyo andikiwa.
P
 
Katiba mpya Gani inakuja unaakili timamu kweli
Mkuu Muuaji wa Aseno, Arsenal Gunner, heshima ni kitu cha bure, nimesema katiba mpya inakuja, hii maana yake kuna kitu mimi ninakijua kuhusu ujio wa katiba mpya, wewe unapouliza katiba mpya gani inakuja, na unapouliza kama nina akili, ina maana na wewe kuna kitu unakijua kuhusu kutokupatikana kwa katiba mpya,
hivyo wewe ndio unaakili sana na mimi sina akili!.

Ili usionekane unatukana watu kama wana akili kweli, wewe mwenye akili zionyeshe hizo akili zako kwa kukisema unachokijua.

P
 
Tanzania ni mali ya Ccm acha kujitoa ufahamu.
Mkuu Uthibitisho, Proved, hiki ulichokisema, ndio ukweli halisi wa mambo, japo ni ukweli mchungu ila ndio ukweli wenyewe!.

Kuna kitu kinaitwa "is" yaani kitu kilichopo na "ought" kilichopaswa kiwepo.

Katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977, ni katiba ya CCM ya chama kimoja, na chama ndio the supreme organ kinaongoza serikali. Nchi ni mali ya wananchi, ndio wenye nchi na wenye katiba, halafu juu ya yote ndio kuna CCM.

Hili nimeipigia kelele humu, kwa miaka yangu 19 tangu nilipojiunga JF mwaka 2006.

Nina mabandiko zaidi ya 100 nikilipigia kelele jambo hili,Haki, Haki, Haki! Serikali, Bunge na Mahakama hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Je, jicho ona litaliona hili?

Kila ninapopata fursa najitshidi kulipigia kelele.
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=8EEhNkNVlONuph1b


View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=ky_DyqMycv_SBH7I


View: https://youtu.be/lBC3xKODSvY?si=fbeeEcbqtBYjuyrJ

Mwaka huu ujao, linatamatishwa kwa katiba mpya.

P
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu ya kufungia mwaka kwenye gazeti la Mwananchi la Leo ikiwa ni makala ya 52 kwa mwaka huu.
View attachment 3523003
.Haya maji ya October 29, yameisha mwagika, hayazoleki, kwa vile sasa ni mwisho wa mwaka, tuyaache yaliyopita sii ndwele, tugange yaliyopo na yajayo. Kwa vile kuna tume ya uchunguzi wa kilichotokea, wale wenye maoni, pelekeni kwenye Tume, itoe matokeo hili liishe.

Kubwa, la mwaka huu ni Katiba Mpya. Baada ya CCM kushinda uchaguzi kwa kishindo cha asilimia 98%, na kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, hoja ya katiba mpya ipo, na Rais Samia akilizindua Bunge jipya, aliahidi kuuanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 za kwanza. Hii katiba mpya itaukata mzizi wote wa fitna, tunakwenda kwenye Mwaka Mpya wa Tanzania Mpya na Mambo Mapya.

Heri ya Mwaka Mpya.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Wanabodi,
Ukiandika kushauri kitu, halafu akatokea mtu kukisema hicho ulichoshauri, kisha kiongozi mkubwa akakisema na kuukubali ushauri huo, kuna ubaya mtu ukijifagilia ushauri wangu umefuatwa hata kama huyo aliyelisea hilo jambo, na yeye alisema kutokea moyoni mwake na sio kutokana na kusoma makala yako, lakini kwa vile niliandika
Screenshot 2025-12-31 at 08.34.02 (1).png

rais wangu wa r ndogo wa chama chetu cha Mawakili Tanzania, TLS, Wakili Boniface Mwambukusi akalisemea hili, na Makamu wa Rais Dr Emmanuel Nchimbi akaliunga mkono kwa asilimia 100%
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa, wanaharakati, na jamii kwa ujumla kuacha kurejea matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, ili kuruhusu Tume ya Rais kukamilisha uchunguzi wake bila upendeleo.

Akizungumza jijini Dodoma leo, Februari 2, 2026, akiwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini, Dkt. Nchimbi amebainisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan tayari ameshaunda Tume maalum ya kuchunguza kiini cha matukio hayo na tayari imeanza kazi. Amesisitiza kuwa kuendelea kuyazungumzia matukio hayo hadharani ni kinyume na mfumo wa kisheria na ni kutoitendea haki nchi.
Naunga mkono hoja, hili na mimi nilishauri humu katika uzi huu, hivyo nina haki ya kujipongeza.

P
 
Katiba mpya Gani inakuja unaakili timamu kweli
Mimi kama binadamu, naweza kabisa nisiwe na akili timamu, lakini kwa vile hoja ya katiba mpya iko kwenye Dira ya Taifa, iko kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM, na Rais Samia Suluhu Hassan akilihutubia Bunge jipya, alisema mchakato kuanza ndani ya siku 100 za kwanza, asiyeiamini Dira ya Taifa, Ilani ya uchaguzi ya CCM na Rais Samia, ndiye atakuwa hana akili kweli!.
P
 
Back
Top Bottom