Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau.
Mimi siyo mwindaji ila huo ni ushauri wa wawindaji.
(1) Usifanye kosa la kumjeruhi mnyama na kumuacha akiwa hai.
(2) Hakuna Ulazima wa kutumia risasi Zaidi ya moja.
(3) Usiwe na haraka ya kupiga risasi. Hakikisha kuwa mnyama yupo kwenye target kisha mlenge sehemu inayotakiwa.
(4) Ikitokea bahati mbaya umemjeruhi basi Usifanye kosa kumuacha hai. Hakikisha kwa gharama zozote mnyama huyo habaki hai.
(5) Kumuacha hai ilihali amejeruhiwa ni hatari kubwa sana.
(6) Ni vema ukawinda peke yako ili kuongeza umakini na pia kuzuia mnyama kushtuka mapema na kukimbia.
(7) Ni aibu, fedhea na hatari kubwa kwa mwindaji kushindwa kuua mawindo yake.
Uwindaji kwenye mapori yetu unahitaji umakini Mkubwa Sana.
Baadhi ya Wanyama hatari wanapojeruhiwa na mwindaji Ni Mbogo.
Mimi siyo mwindaji ila huo ni ushauri wa wawindaji.
(1) Usifanye kosa la kumjeruhi mnyama na kumuacha akiwa hai.
(2) Hakuna Ulazima wa kutumia risasi Zaidi ya moja.
(3) Usiwe na haraka ya kupiga risasi. Hakikisha kuwa mnyama yupo kwenye target kisha mlenge sehemu inayotakiwa.
(4) Ikitokea bahati mbaya umemjeruhi basi Usifanye kosa kumuacha hai. Hakikisha kwa gharama zozote mnyama huyo habaki hai.
(5) Kumuacha hai ilihali amejeruhiwa ni hatari kubwa sana.
(6) Ni vema ukawinda peke yako ili kuongeza umakini na pia kuzuia mnyama kushtuka mapema na kukimbia.
(7) Ni aibu, fedhea na hatari kubwa kwa mwindaji kushindwa kuua mawindo yake.
Uwindaji kwenye mapori yetu unahitaji umakini Mkubwa Sana.
Baadhi ya Wanyama hatari wanapojeruhiwa na mwindaji Ni Mbogo.