ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,978
- Thread starter
- #21
Una uhakika?Million 60, kwa 10% Riba miaka 10 hyo ni 100% Riba..Ampabo utakua umelipa 120mil 🙄
Una uhakika?Million 60, kwa 10% Riba miaka 10 hyo ni 100% Riba..Ampabo utakua umelipa 120mil 🙄
Atuwekee hapo huo ukokotoajiUna uhakika?
Kilikukuta nini mkuu?Ukope milioni sitiniiiiii (in tin white voice )
Endelea na uchawi ila mimi nimeshachanjwa sifanyi hizo biashara tena
Kwa nn?Hakuna bank ya kukupa 60m...hapo ndipo tatizo linapoanzia...ukiwa unaanza hawakupi hyo pesa
Kwa nn?
Baada ya kuwa confirmed Kwa nini wasikupe?Hakuna bank ya kukupa 60m...hapo ndipo tatizo linapoanzia...ukiwa unaanza hawakupi hyo pesa
Ukiacha kuchukua ni hasara mara 2Mkopo unavyokua wa muda mrefu na gharama yake inakua kubwa sana. Kua makini unaweza jikuta unaulipia riba sawa na kiwango cha mkopo ulichokopa. Hebu chukua hela unayotaka kurejesha halafu wekeza kila mwezi kwenye mifuko yenye compounding interest. Fanya kwa hiyo miaka yako hiyo 10 uone utapata tsh ngapi mwisho wa siku. Sema nimeshiba sana daku ningekuwekea hesabu zote mbili za mkopo na uwekezaji
Hilo la 1/3 linajuoikana ,nachukua pesa yote inabakia hiyo inavyotakiwa kubakiaKuna kiwango cha pesa inabid kibak kweny mshahara...
Kifupi hyo pesa huwez pata lkn hoja ya kuchukua mzgo wte alaf ukafanye kitu ni nzuri
Wao kuona ninapoishi kunakusaidia nini?Ukifa 97% ya watu watakuja kuangalia mahali ulipoishi pana hadhi gani
Kwa staili iyo utaendelea kuwa mteja wamabenki. Benk zikiendela kukumamua riba mpaka mavi ya mwisho kipindi unakata rohoUnajikamiaje wakati ukikopa unatatua zile shida ambazo ungekuwa una struggle nazo kama hujakopa
👌 You know well compound effectMillion 60, kwa 10% Riba miaka 10 hyo ni 100% Riba..Ampabo utakua umelipa 120mil 🙄
Kwa staili iyo utaendelea kuwa mteja wamabenki. Benk zikiendela kukumamua riba mpaka mavi ya mwisho kipindi unakata rohoUsiache hela iliyo mbele yako, that's been my principle kwa mda sasa. Kopa uwekeze, tuache woga wakuu.
Ivyo ndivyo Compound interest in 10 years inavyofanya kazi.Una uhakika?
Siri yanguKilikukuta nini mkuu?
Na wewe unaishi kwa shida hujui namna ya kutatua changamoto zako. Mikopo sio utumwa kama unakopa wisely.Kwa staili iyo utaendelea kuwa mteja wamabenki. Benk zikiendela kukumamua riba mpaka mavi ya mwisho kipindi unakata roho
Haurakuja kupata maendeleo makubwa zaidi ya hela ya kubadilisha mboga tuuKwa staili iyo utaendelea kuwa mteja wamabenki. Benk zikiendela kukumamua riba mpaka mavi ya mwisho kipindi unakata roho