Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 6,978
- 10,369
Wew nenda kwa fundi ,au bahili mkuu?Tatizo la hii simu yangu ni kwamba hata niki test kwenye audio recorder bado inazingua
Japo kuna muda inakubali lakini huwa haichukui muda mrefu inarudi tena kwenye hali ile ile



