Kwa watumiaji wa Google Pixel

Kwa watumiaji wa Google Pixel

7a

PXL_20240123_133140926.jpg
 
Za wapi ndio nzuri? Na unajuaje?

Mimi upande wangu simu nikiona imenyooka naibeba na nashukuru mungu tangu naanza kununua simu used hizi za dukani hakuna simu hata iliowahi kunisumbua saivi nina iphone xr nimenunua mpya juzi hai overheat chaji nikichaji asibui hadi usiku
 
Lile tatizo la kujizima ghafla siku zimeacha au

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Sio zote zina tatizo hilo! Zinazozima hovyo ni zile refurbished kienyeji hata Samsung, Sony, Huawei, Xiaomi na iPhone ukipata refurb ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa uhakika lazima ije kusumbua raia...
 
Back
Top Bottom