Duh umenunua wap aisee,?? Kwann usiulize humu before kununuaMkuu issue ni kuwa simu hainiruhusu kufika huko.. hiyo sehemu ya calls na sms haifunguki ..na huko ndiko ziliko hizo settings unazosemea.
Usichukue simu za vietnam aisee utalia vibovu sana havikawiiWazeee nimechukua kapixel 4a juzi kavyetnam aisee kanagonga picha sio mchezo
Pixel 8pro ni kwikwi
Za wapi ndio nzuri? Na unajuaje?Usichukue simu za vietnam aisee utalia vibovu sana havikawii
Za wapi ndio nzuri? Na unajuaje?
Sio zote zina tatizo hilo! Zinazozima hovyo ni zile refurbished kienyeji hata Samsung, Sony, Huawei, Xiaomi na iPhone ukipata refurb ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa uhakika lazima ije kusumbua raia...