Kwa watumiaji wa Google Pixel

Kwa watumiaji wa Google Pixel

Unashauria kwa simu za Google Pixels baada tu ya ku update fanya kureset/factory format ili zile updates zitake changes... Nmeona wengi wanadai hii njia inasaidia sana endapo ukimaliza ku update afu simu ikazingua fanya kubackup vitu muhimu kisha reset itakaa sawa... Ukiona inazingua bado just roll back version ya nyuma/downgrade OS.
Ngoja nifanye hivyo nione itakavyokuwa
 
Unashauria kwa simu za Google Pixels baada tu ya ku update fanya kureset/factory format ili zile updates zitake changes... Nmeona wengi wanadai hii njia inasaidia sana endapo ukimaliza ku update afu simu ikazingua fanya kubackup vitu muhimu kisha reset itakaa sawa... Ukiona inazingua bado just roll back version ya nyuma/downgrade OS.
Mkuu nimei factory reset lakini bado tatizo lipo vile vile
 
Naskia haiingii maji ni kweli?

Ni kweli lakini lazima iwe mpya haijawai kufunguliwa kwenye toleo la 3 series pixel 3xl waliipendelea sana japo ilikuwa ya kwanza then ikafata 3axl 3xl kwanza ina kioo safi p oled screen size kubwa resolution nayo
Battery 3400 mah lakini linakaa sana kikubwa walicho uwa ndo hiyo water resistanc
 
Ok nashukuru kwa respond yako ya haraka ila kabla sijaenda kwenye hiyo link nilikuwa nataka nikukumbushe kuwa hiyo microphone ambayo inakata sauti wakati wa maongezi ya simu, kuna muda inajirudi inafanya kazi vizuri tu

Na hili nimejaribu kuangalia kwenye community ya pixel nimeona wengi wakilalamika.

Kuna baadhi walipewa zile secret code walivyoingiza ika fix lakini wengine ikagoma
Nime experience hili tatizo. Sijui navyo update mara kwa mara ile app yao ya call?! Maana mwanzoni sikuwahi kupata hiyo changamoto!
 
Ni kweli lakini lazima iwe mpya haijawai kufunguliwa kwenye toleo la 3 series pixel 3xl waliipendelea sana japo ilikuwa ya kwanza then ikafata 3axl 3xl kwanza ina kioo safi p oled screen size kubwa resolution nayo
Battery 3400 mah lakini linakaa sana kikubwa walicho uwa ndo hiyo water resistanc
Dah unyama sana nataman nizipitie zote 3xl na 3axl
 
Wakuu mimi nime rudi kwanza kwenye iphone maana ni kitambo tangu ikiwa ios 15 nilihamia pixel nimerudi huku ili nione utamu wa ios 16 nasubiria watoe 17 nione nayo ipoje Then narudi tena pixel.
 
Ni kama inakuja na kuondoka. Ila jaribu ku update hiyo call app mimi kwa sasahiv haisumbui tena japo bado naendelea kuangalia kama itatokea tena nita unistall updates zote kwenye call up irudi kama zamani
Tatizo la hii simu yangu ni kwamba hata niki test kwenye audio recorder bado inazingua

Japo kuna muda inakubali lakini huwa haichukui muda mrefu inarudi tena kwenye hali ile ile
 
Back
Top Bottom