Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,546
- 6,502
- Thread starter
- #121
Inategemea na kichwa mkuu sio kila mtu anapendeza na uparaMimi ni rasi ila now nimepiga upara nimewaka hatari ila uwe na udevu bila hivyo unaonekana kama kisoda tu
Inategemea na kichwa mkuu sio kila mtu anapendeza na uparaMimi ni rasi ila now nimepiga upara nimewaka hatari ila uwe na udevu bila hivyo unaonekana kama kisoda tu
Upara bila ndevu unaonekana kitukoInategemea na kichwa mkuu sio kila mtu anapendeza na upara
Sio tatzo mbona shida iko wapi na ipi faida ya kuish kwenye uhalisia au kipi mwamba anapungukiwa hapoIssue siyo mimi kukubali au kukataa hapo ni kwamba mwamba hataki kuishi uhalisia wake
HAMNA KAWAIDA HIYO mkuu ni spesho kwa WATU wenye vipara.ila vijana awanaweA FANYA fasheni pia SI ya kike ni kwa ajili ya kuziba uparaWigi la kiume?
Daa!!! Dunia hii mbona Iko spidi kali sana wakuu.
Duh,nimefanikiwa kupata njia bora na salama ambayo ni kuagiza wigs za kiume kutoka nje..
Mvi nzuri hasa pesa ikistawi bwasheeMkija na solution ya mvi mniite wakuu, hizi mambo za kurithi sio poa asee!!
Uvivu tu wa ku-log in😅Bwashee umepotea kinouma
Pesa imekua mingi bwashee 🤣Uvivu tu wa ku-log in😅
Mkuu huna TAIMU na tutoto twa buku mbili ukivisimamisha vinakusalimia SHIKAMOO babuSiamini kama huu uzi umeadnikwa na na real man; serious?
Nina viashiria vya upara, na mvi zimetoka kabla ya muda wake, nywele za mbele zimeota mvi na kipara pia.
But sipaki black wala starajii kufanya make up ya aina yoyote. Wakati ni ukuta na najikubali hivyo hivyo.
Mvi ni mvi tu mkuu, haijalishi una hela au kapuku!!Mvi nzuri hasa pesa ikistawi bwashee
Super blackSisi huku shida ni mvi sio kipara, tufanyeje?
tulia mda badoKwetu wana vipara na ndevu nyingi isipo kuwa mimi tu🤣
DAHMwanaume kushindwa kujikubali kias cha kuvaa wigi ni upinde. ...
Ndo mana Mama anataka akae ikulu kwa 15 yes sabab wanaume hamjielewi.
Duh sio POA, Yaani ilimradi tu wachukue Hela zetu
Mda wa kulewa sipangiwi bwashee , hii ni pesa yangu kijana🤣tulia mda bado
Ndiomana mnapakwa mafuta kwa7bu hamtaki kujikubali aise.Wakuu hope mpo wazima wote. Na wagonjwa Mungu awafanyie wepesi.
Uzi wangu unawahusu wanaume wenye changamoto ya kutoka upara wakiwa bado vijanana wadogo.
I mean kuna mtu nywele zinaanza kuisha yupo early 30 au 20 hili ni tatzo sana kwa jamii nyingi ya watu. Na inawafanya watu wanakosa confidence.
Mimi sio muhanga wa tatzo ila kuna viashiria fulani nimeanza kuviona so nimejaribu kutafuta solution ya tatizo nimekosa zaidi labda ukapandikize ambapo ni gharama kubwa sana sio chini ya milion tatu ambavyo kwa vipato vyetu sio rahisi kushika hiyo pesa.
So katika ufiti wangu nimefanikiwa kupata njia bora na salama ambayo ni kuagiza wigs za kiume kutoka nje baada ya hapo utadirectiwa kwenye barbershop maalum ambapo utaweza kufanya installation na tayari utakuwa umerudisha comfidence yako. Najua hii changamoto imewakumba wengi hivyo nawakaribisha kwa maswali kwa anaehitaji ufafanuz kuhusu hii huduma. Mungu sio mjinga kutupatia nywele sasa kwanini tukubali kuishi na vipara angali bado vijana