Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Kwa watu wenye changamoto ya vipara

katika ufiti wangu nimefanikiwa kupata njia bora na salama ambayo ni kuagiza wigs za kiume kutoka nje
kuwa siriasi, kipara ni ishara umekuwa mtu mzima na usiogope kama ulikuwa na nywele watu wanafahamu unazo kama huna pia basi maana ulipozaliwa hukuviomba ila vilikuja vyenyewe ila sio kuwashauri wanaume wavae mawigi kama mabwabwa. Acha zirudi ziikotoka tu
 
Haya sasa kwahiyo saa hii demu akikwambia "mwanaume gani unashindwa kuninunulia hata wigi la laki tatu" na wewe unamjibu ," wewe umeshawahi kuninunulia wigi hata mara moja" 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom