Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,546
- 6,502
- Thread starter
- #81
Sijamlazimisha mtu sasa sijui matusi yanatoka wapi kila mtu ana haki ya kuchagua kitu akipebdacho na cha ajabu hapa watu wanaponda ila inbox wanakuja kutaka wapewe bei wanunue hii ndio tanzania😂😂