Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Mwanaume kushindwa kujikubali kias cha kuvaa wigi ni upinde. ...
Ndo mana Mama anataka akae ikulu kwa 15 yes sabab wanaume hamjielewi.
 
Kwanini upingane na nature...

Ukiwa na kipara pambana uwe na pesa tu..
 
Ni kweli bro kama mimi kichwa changu akipendez na kipara so kiukweli siwez baki na kipara wacha nivae wigi tu umri wa ujana ukipita bac ntakaa na kipara
Sema pia kuvaa wigi kunaweza kukuasili kisaikolojia Kwa kujua unafake,hii kitu ya kufake nadhani wanawake wanaimudu zaidi kuliko wanaume mkuu!!!
 
Ebu nipeni maulana nifanyeje nipate upara kichwa kizima niepukane na mambo ya kwendakwenda salon?
 
Ebu nipeni maulana nifanyeje nipate upara kichwa kizima niepukane na mambo ya kwendakwenda salon?
 
Mwanaume anapendeza ili awe pambo kwa nani?
Huo nduo ushamba mlionao watanzania sasa kama utaki kupendeza why uvae nguo, why upake mafuta na kadhalika tembea hivo hivo mchafu ndio nitaielewa point yako
 
Mwanaume kushindwa kujikubali kias cha kuvaa wigi ni upinde. ...
Ndo mana Mama anataka akae ikulu kwa 15 yes sabab wanaume hamjielewi.
Huo ni upumbavu wako wewe kima
 
Wakuu hope mpo wazima wote. Na wagonjwa Mungu awafanyie wepesi.

Uzi wangu unawahusu wanaume wenye changamoto ya kutoka upara wakiwa bado vijanana wadogo.

I mean kuna mtu nywele zinaanza kuisha yupo early 30 au 20 hili ni tatzo sana kwa jamii nyingi ya watu. Na inawafanya watu wanakosa confidence.

Mimi sio muhanga wa tatzo ila kuna viashiria fulani nimeanza kuviona so nimejaribu kutafuta solution ya tatizo nimekosa zaidi labda ukapandikize ambapo ni gharama kubwa sana sio chini ya milion tatu ambavyo kwa vipato vyetu sio rahisi kushika hiyo pesa.

So katika ufiti wangu nimefanikiwa kupata njia bora na salama ambayo ni kuagiza wigs za kiume kutoka nje baada ya hapo utadirectiwa kwenye barbershop maalum ambapo utaweza kufanya installation na tayari utakuwa umerudisha comfidence yako. Najua hii changamoto imewakumba wengi hivyo nawakaribisha kwa maswali kwa anaehitaji ufafanuz kuhusu hii huduma. Mungu sio mjinga kutupatia nywele sasa kwanini tukubali kuishi na vipara angali bado vijana
Dah yani ukiwa na kipara unakosa confidence? Kweli jaman!
 
Back
Top Bottom