Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 1,262
- 2,750
Yan siku zote ukienda kinyume na ulivyoumbwa/asili madhara ni lazimaHilo wigi linapachikwaje? Je haliwezi athiri kichwa kwa kuziba vinyweleo vya kuingiza hewa kichwani?
Yan siku zote ukienda kinyume na ulivyoumbwa/asili madhara ni lazimaHilo wigi linapachikwaje? Je haliwezi athiri kichwa kwa kuziba vinyweleo vya kuingiza hewa kichwani?
😅😅 sawa mimi nakupa ofa ya kawigiUnywele nlionao sio powa
Mchuchu atakuchukulia kama Mubaba 😂😂 wala usiwazeNoma sana mkuu!
Unataka nikikutana na mchuchu aseme niko 60s eeenh?😅😅
Maini hayajachoka!
Kaka ile gundi yake sio poa na sio rahisi kutoka kirahisi ni tofauti sana na wigi za kkikeNasubir ile Wigi linamtoka mtu akiwa mbele za watu
Bonge la Aibu alf watu kuchek 😳hivi jamaa anakipara
Tafuta hela mkuu mi mwenyewe naanda pesa nikakitibu kabla akijawa kikubwaHeri nianze kutafuta hela aisee kipara kwenye ujana siyo poa
Heri kuutibu ila siyo wigi,wigi bado utakuwa huna confidence
WELCOME TO UPARA KINGDOM
Nipe muda wako😅😅 sawa mimi nakupa ofa ya kawigi
Chukua wigi mkuu wakati unatafuta hela ya kwenda kupandikizaHakika mkuu, mi ninao umechukua karibu kichwa kizima, umeniharibia mwonekano wangu , navaa sana kofia mara nyingi ili kuuficha.Nikipata hela lazima niutibu
😀😀 sawa sawaNipe muda wako
Hii kitu kweli watu hawawezi kugundua?Hapa unakosaje confidence mkuu
Au aambiwe dawa ya kuchochea mvi😅C upake super black kaka mbona simple
Mkuu ni kama nywele kabisa tena ni nzr hasa kwa kunyoa fashion halafu utapendeza kuzidi hata nywele asiliHii kitu kweli watu hawawezi kugundua?