Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Wakuu hope mpo wazima wote. Na wagonjwa Mungu awafanyie wepesi.

Uzi wangu unawahusu wanaume wenye changamoto ya kutoka upara wakiwa bado vijanana wadogo.

I mean kuna mtu nywele zinaanza kuisha yupo early 30 au 20 hili ni tatzo sana kwa jamii nyingi ya watu. Na inawafanya watu wanakosa confidence.

Mimi sio muhanga wa tatzo ila kuna viashiria fulani nimeanza kuviona so nimejaribu kutafuta solution ya tatizo nimekosa zaidi labda ukapandikize ambapo ni gharama kubwa sana sio chini ya milion tatu ambavyo kwa vipato vyetu sio rahisi kushika hiyo pesa.

So katika ufiti wangu nimefanikiwa kupata njia bora na salama ambayo ni kuagiza wigs za kiume kutoka nje baada ya hapo utadirectiwa kwenye barbershop maalum ambapo utaweza kufanya installation na tayari utakuwa umerudisha comfidence yako. Najua hii changamoto imewakumba wengi hivyo nawakaribisha kwa maswali kwa anaehitaji ufafanuz kuhusu hii huduma. Mungu sio mjinga kutupatia nywele sasa kwanini tukubali kuishi na vipara angali bado vijana
Kwani kipara ni changamoto??
 
S

Sio wabongo tu hii issue imeenea sana nigeria na mtu asipokwambia kama kavaa wigi uwez mjua mkiambiwa huyu kavaa wigi utamjua
images (1).jpeg
 
Nadhani ni suala la kisaikolojia tu, ni taswira binafsi ya mwili.

Inapotokea kwamba hujiamini/hujipendi kwasababu ya muonekano wako, unaanza kufikiria kujifanyia 'marekebisho'.

Lakini kwani ukiamua kulitatua tatizo kwenye mzizi(hizo hisia za kutojiamini) si utakuwa umefanya vizuri zaidi?

Maana wanaume tunasumbuliwa sana na taswira ya mwili(urefu, ndevu, vipara, ukubwa wa uume...). Ukiruhusu hayo mawazo yakutawale si afya ya akili itavurugika?
 
Nadhani ni suala la kisaikolojia tu, ni taswira binafsi ya mwili.

Inapotokea kwamba hujiamini/hujipendi kwasababu ya muonekano wako, unaanza kufikiria kujifanyia 'marekebisho'.

Lakini kwani ukiamua kulitatua tatizo kwenye mzizi(hizo hisia za kutojiamini) si utakuwa umefanya vizuri zaidi?

Maana wanaume tunasumbuliwa sana na taswira ya mwili(urefu, ndevu, vipara, ukubwa wa uume...). Ukiruhusu hayo mawazo yakutawale si afya ya akili itavurugika?
Bwashee umepotea kinouma
 
Back
Top Bottom