Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Aina yako ya uwasilishaji imenifurahisha sana, hasa ulipochomekea suala la mbuga ya wanyama

Huyu si Hong Dil Gong jamani? Hapana, hajawahi kuwa ktk list. Baba Daehan ni my forever bae, labda kidooooogo Nam Gil...
Halafu tabia ya kutokumsabahi unnie si nzuri, huyu jamaa kny Hong Dil Gong ndio hakunivutia kabisaaa, huwa anavutia akiwa smart na suti
 
kwa wale wanaofuatilia arthdal chronicles drama
Season 3 mpaka mwezi september itakapomalizika hotel de luna drama.

walichotufanyia hawa mabwege si sahihi kiupande fulani, inakuwaje wanatusubirisha miezi miwili kushuhudia episode 6 za mwisho, wangelifanya la maana sana kuitengeneza project yote ndipo baadae wakaionyesha kuliko kutuonjesha pilau lenye sukari.

Tanya: I'm coming for you....
Eunseom: I'm coming for you...

part 2 ,man of the match alikuwa ni saya kwa mtazamo wangu, sijui part 3 itakuwaje.

kim ji won ni mrembo kuliko mchumba wangu tuliokutana kwenye imani yetu ya ubuddha, nina wasiwasi song joong ki amemtelekeza ahjumma kwa sababu ya huyu binti

bangi za jioni ni mbaya sana, stimu zake zinawezesha kuhamisha ziwa victoria, mlima kilimanjaro na mto rufiji kuelekea mtaa wa chato
View attachment 1150651
Bora niandike maumivu maana sijawahi kupata dawa ya kusubiri
 
Halafu tabia ya kutokumsabahi unnie si nzuri, huyu jamaa kny Hong Dil Gong ndio hakunivutia kabisaaa, huwa anavutia akiwa smart na suti

Unnieeeeeeee, I’m sorry jamani
Huku nawakwepa siku hizi maana mmezidi kunirusha roho wakati mwenzenu nimepumzika, nataka nirudi kwenye mambo yetu next week ndio tutaenda sawa.

Jamaa yetu hapa aliyenaswa ‘mbugani’ lol sijawahi kuona drama yake nyingine tofauti na Hong Gil Dong na nilitokea kumkubali kiasi, simjui saaaaaana.
 
Unnieeeeeeee, I’m sorry jamani
Huku nawakwepa siku hizi maana mmezidi kunirusha roho wakati mwenzenu nimepumzika, nataka nirudi kwenye mambo yetu next week ndio tutaenda sawa.

Jamaa yetu hapa aliyenaswa ‘mbugani’ lol sijawahi kuona drama yake nyingine tofauti na Hong Gil Dong na nilitokea kumkubali kiasi, simjui saaaaaana.
Kisses from unnie.... huku siyo pa kuhudhuria sana tena Daemusin akome kutuita. Naomba ukipata muda tafuta Lie to me...
Sirudi hapa tena niko busy naelekea chattle.
 
Bora niandike maumivu maana sijawahi kupata dawa ya kusubiri
teh teh teh mvumilivu hula mbivu japokuwa mwezi september ni mbali sana.

kuanzia leo na wiki ijayo huenda nikaongezeka uzito kwa sababu project takribani zote ninazozifuatilia kila wiki zinaelekea ukingoni, vile vile nimedhamiria nisiongeze project yeyote kwa muda huu.

mwezi June nimepitiliza kiwango nilichojiwekea mwaka huu kufuatilia korean drama hivyo basi mwezi July utalazimika kuziba gape langu la kupunguza kiwango cha ulevi.

unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako ila ni faida kwa serikali tukufu.

kuna wajinga wamenipa jina la ARAMUN HAESULLA na sijui lengo lao ni lipi haliyakuwa hata farasi namuona kupitia televisheni.
tuombe uhai ili tupate kushuhudia vita ya ndugu wawili wasiojuana.
ndugu wawili wenye sifa na tabia tofauti.

kongole kwake bwana song joong ki kwa kutuonyesha sura mbili kupitia mwili mmoja.
 

Attachments

  • 1562859334588.png
    1562859334588.png
    173.8 KB · Views: 29
Kisses from unnie.... huku siyo pa kuhudhuria sana tena Daemusin akome kutuita. Naomba ukipata muda tafuta Lie to me...
Sirudi hapa tena niko busy naelekea chattle.
nimekoma, nimekoma na sitorejea tena tabia yangu ya kujifanya muitaji watu kwenye sherehe yangu binafsi haijalishi niwe nimepata mualiko kupitia kituo cha BBC france.

kwa mara nyengine nawaahidi sitorejea tena tabia yangu.
lakini nina ombi kwa mara ya mwisho kama mdogo wenu nisiyefahamu lugha ya malikia.

kufa na kutoweka
kufa
au kutoweka

nahitaji munipe utofauti wake 😷😷😷😷
 
nimekoma, nimekoma na sitorejea tena tabia yangu ya kujifanya muitaji watu kwenye sherehe yangu binafsi haijalishi niwe nimepata mualiko kupitia kituo cha BBC france.

kwa mara nyengine nawaahidi sitorejea tena tabia yangu.
lakini nina ombi kwa mara ya mwisho kama mdogo wenu nisiyefahamu lugha ya malikia.

kufa na kutoweka
kufa
au kutoweka

nahitaji munipe utofauti wake

Wewe Daemusin wewe... Sisi dada zako tuna familia, kama unataka ufafanuzi halisia basi tusisitize tukufafanulie. Ndipo utakapojua maana ya “disappeared and died”
 
teh teh teh mvumilivu hula mbivu japokuwa mwezi september ni mbali sana.

kuanzia leo na wiki ijayo huenda nikaongezeka uzito kwa sababu project takribani zote ninazozifuatilia kila wiki zinaelekea ukingoni, vile vile nimedhamiria nisiongeze project yeyote kwa muda huu.

mwezi June nimepitiliza kiwango nilichojiwekea mwaka huu kufuatilia korean drama hivyo basi mwezi July utalazimika kuziba gape langu la kupunguza kiwango cha ulevi.

unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako ila ni faida kwa serikali tukufu.

kuna wajinga wamenipa jina la ARAMUN HAESULLA na sijui lengo lao ni lipi haliyakuwa hata farasi namuona kupitia televisheni.
View attachment 1151356
tuombe uhai ili tupate kushuhudia vita ya ndugu wawili wasiojuana.
ndugu wawili wenye sifa na tabia tofauti.

kongole kwake bwana song joong ki kwa kutuonyesha sura mbili kupitia mwili mmoja.
September ni mbali can't wait lakini vita vya 3 igutus
 
Actor Kang Ji Hwan Arrested For Sexual Assault
style mpya ya uwasilishaji taarifa kutoka kwangu kwa sababu watanzania munapenda simulizi za ukweli zenye kuwasilishwa kwa njia ya utani

kwa mujibu wa ubuyu wa bi fatuma maringo:
bwana kang ji hwan alirudi nyumbani kwake usiku akiongozana na wasichana wawili ambao ni waajiriwa wa management inayomsimamia kikazi (si mnanuja tabia za wakorea hawatosheki na kinywaji pendwa)

wakanywa weeee mpaka bwana kang akapitikiwa na taarifa za mbuga kuu ya wanyama kuhamishiwa chato (akaingia chumba walicholala wasichana na kuanza kumfanyia vitendo viovu mrs kulala unono pamoja na mrs kulala vizuri, huyu mrs kulala vizuri hakufikia hatua kubwa sana ya kuhamishia mbuga (indecent assault))

asubuhi yake mrs kulala unono akampigia simu rafiki yake anayeishi mji wa seoul na kumuhadithia mkasa mzima na akamuomba awapigie simu polisi waelekee sehemu ya tukio (nyumbani kwa bwana kang beberu mwitu)

walipofika kituo cha polisi bwana kang alisema ni kweli jana usiku nilikunywa lakini sikumbuki chochote kilichotokezea baada ya hapo, sielewi nimefikaje kwenye chumba alicholala mrs kulala unono.
jeshi la polisi wataendelea kumuhoji tena bwana kang ji hwan ili wapate kufahamu ukweli wa tukio zimaaaa la kupatwa kwa celebrity kutoka chato.

Prishaz noona bado unaendelea kumuwaza huyu mchumba uchwara anayeshindwa kutofautisha kati ya juisi ya embe na juisi ya ngano?
aminas chingu hivi una wachumba wangapi vilee
Khantwe na huyu pia wa kwako? najua utamkana kama bwana yule alivyomkana yesu kristo
Nifah huyu hajawahi kuwepo kwenye list ya kumrithi baba daehan?

View attachment 1150593
Simjui, amecheza drama gani?
 
September ni mbali can't wait lakini vita vya 3 igutus
Kama September waona mbali sie tunaosubiri Marvel Movies Phase 4 tusemeje?? Mfano
Muvi ambayo inapikwa sasa itakayoanza kutoka ni Black Widow itatoka may 2020. Kwa umaskini wangu mpaka marvel waiachie tuweze kuipakua itakua si chini ya miez 6-7 Hivyo nitasubiri mpaka November au January 2021 ili niweze kuipakua,Otherwise niandae buku 15 niende Am Mall. Ikumbukwe Captain Marvel imetoka Marc ila mpaka Leo haijaachiliwa iweze kupakuliwa Kwenye Torrent. Vumilia miss September sio mbali.
 
Kama September waona mbali sie tunaosubiri Marvel Movies Phase 4 tusemeje?? Mfano
Muvi ambayo inapikwa sasa itakayoanza kutoka ni Black Widow itatoka may 2020. Kwa umaskini wangu mpaka marvel waiachie tuweze kuipakua itakua si chini ya miez 6-7 Hivyo nitasubiri mpaka November au January 2021 ili niweze kuipakua,Otherwise niandae buku 15 niende Am Mall. Ikumbukwe Captain Marvel imetoka Marc ila mpaka Leo haijaachiliwa iweze kupakuliwa Kwenye Torrent. Vumilia miss September sio mbali.
hao marvel tumeshawazoea tofaut na wakorea hua zinatoka episodes mfululizo hamna kusubiria miezi.
Nilikua nawaonea huruma wanaofatilia GOT walivyokua wanangojea season 8
 
Back
Top Bottom