Quinn
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 473
- 1,180
Kwa movies na series mpya
Follow hii page
Follow hii page
Najuta sana kuwa mshabiki wao mana excitement will kill me..hao marvel tumeshawazoea tofaut na wakorea hua zinatoka episodes mfululizo hamna kusubiria miezi.
Nilikua nawaonea huruma wanaofatilia GOT walivyokua wanangojea season 8
Hawa kumbe washapigana talaka
South Korean celebrities Song Joong-ki and Song Hye-kyo, who tied the knot in real life in 2017 after playing a sizzling couple on screen, have announced their split.
Song Joong-ki, 33, who gave a statement to fans through his lawyer, said he hoped for an amicable divorce.
He officially filed for divorce from Song Hye-kyo, 37, at the Seoul Family Court on Wednesday (June 26).
The statement shared with online portal Soompi read: “Hello. This is Song Joong-ki. First, I’d like to apologise for delivering this unfortunate news to the many fans who love and care for me.
“I have begun the process of filing for divorce from Song Hye-kyo. Rather than denouncing each other and arguing over who is to blame, I hope that the divorce process can be wrapped up amicably.
“I ask for your understanding in regard to the fact that it is difficult to discuss the details of my personal life, and I will recover from my current wounds and do my utmost as an actor to repay you through great productions in the future. Thank you.”
On Thursday, Song Hye-kyo's agency, United Artists Agency, also released an official statement about the divorce proceedings, saying the split was due to differences in their personalities.View attachment 1152763
Kumbe uhusiano ulidumu mwaka mmoja tu uhusiano mzuka wa kwny kuigizaWalimwagana tangu September 2018 ila walificha siri mpaka mwaka huu
Kumbe uhusiano ulidumu mwaka mmoja tu uhusiano mzuka wa kwny kuigiza
The king loves ipo vizuri
Napenda hizi historical drama zenye episode 20 tu mwisho 30 basi kwenda 50 huko mbali labda ziwe family drama tena modern
niliupenda sana urafiki wa ukweli kati ya crown prince won na bwana wang rim mule ndani.
- the woman I love was captured and is bleeding, what man would not interfere? (wang lim)
- i will let one of them to live whether its the woman who you insist is your love or Lim who is you think is your friend, some one has to be punished for their sins, you have to leave one to be punished, i will let you to have the other one choose. king in loves ( ep 9.)
- usijaribu kuwa rafiki wa ukweli wa crown prince, yeye atakuwa mfalme hapo baadae hivyo basi hatokuwa na rafiki
Wang rim alikuwa ndiye mgoryeo pekee aliyekuwa akionyesha heshima, uaminifu na nidhamu kwa bwana wang won ambaye kiasili mzazi wake mmoja alitokea tawala ya Mongolia.
love triangle kati ya wanaume wawili hao dhidi ya mwanamke mmoja itaendelea kuleta mgawanyiko wa kimtazamo mpaka ulimwengu wa drama utakapokwisha, binafsi nilimpenda second lead actor mule ndani (wang rim) kama nilivyompenda yeong moon kwenye emperor of the sea drama.
ingelipendeza zaidi hii drama kama ingelituonyesha kwa kiasi kikubwa hisia za mwanadada San amezielekeza upande upi kati ya crown prince wang won au wang lim ila bahati mbaya drama ilituonyesha zaidi maisha ya wanaume wawili waliompenda zaidi msichana mmoja
kipindi naifuatilia hii drama nilipofika episode 37 (19 ep) nilijikuta nadondosha machozi kama fala fulani aliyeshindwa kutofautisha kati ya maisha ya mavumbini dhidi ya maisha ya kukurupuka kwenye media ilimradi aonekane ni mtaalamu wa makinikiyya bin koroshow (ndio maana sijifunzi lugha ya malikia kwa kuhofia kukutana na maguru wa lugha wakanitoa utumbo wa mbele)
niliipenda barua aliyoiandika bwana wang lim kwa bwana crown prince wang won, crown alimshambulia wang lim baada ya jamaa kuonyesha dalili za kumfanyia usaliti kumbe ilikuwa ni kinyume chake na alishindwa kugundua hilo mpaka aliposoma barua yake
teh teh teh nilijikuta yale maneno nimeyahifadhi sehemu ambayo ni virtual (google drive) kwa jinsi yalivyoweza kuniteka kihisia.
ile barua ilikuwa imebeba yale tunayoyashuhudia hapa nchini kwetu,
- kuna watu wanajifanya ni watetezi wa raisi aliyepo madarakani ili watimize malengo yao ya tumbo haijalishi kwa njia ya mauaji.
- kuna watu wanamchukia raisi aliyepo madarakani kwa sababu amewadhibiti kwenye njia zao chafu za kujipatia kipato kinachowafaidisha wao na familia zao.
- ...........................................................
" Mwana wa mfalme mtukufu kwanza nakuomba unielewe kusudio langu, yote haya nilioyaandika ndani ya barua hii ndio niliyotamani nijadiliane na wewe baadae, nimejaribu kuambatanisha majina ya watu mashuhuri walioshikilia nguvu ndani ya nchi hii ambao wanajifanya kuwa nyuma ya kivuli cha mfalme kumbe wanamdanganya ilimradi wafikie malengo yao.
Kwao wao hawajali ni nani atakayetawala isipokuwa wanachohitaji ni mfalme atakaye fuata amri zao hivyo basi hawahitaji mtu mwenye maarifa kama wewe ndio maana wanakupiga vita na ndio maana wamekuja na hoja ya kwamba wewe una damu ya utawala wa yuan na goryeo.
mfalme anaendelea kuwa hai kwa sababu anafuata kile wanachotaka wao lakini kwa sasa wanataka mfalme mpya hivyo basi wanataka kumuua mfalme na kumweka mfalme mwengine asiyekuwa na nguvu ili wapate kumfanya kama puppet, kadri nitakavyoendelea kuishi wataendelea kunisumbua ili nikugeuke na mimi niwe mfalme jambo ambalo litakufanya uwe dhaifu ila najisikia fahari kwa kuweza kuendelea kuwa nawe karibu na kukulinda.
lakini nampenda msichana ambaye yupo kwenye moyo wako na nashindwa kujizuia kutokumpenda haliyakuwa najua nikosa kubwa kumpenda na nastahili adhabu ya kifo na kwa hili katu sitakuomba msamaha.
Ila kama utaniacha hai basi tafadhali naomba uniruhusu niondoke kwenye mji huu na nikaishi mbali sana na maisha yangu yote niishi kama ni mtu aliyekufa.
kwa jambo hili nakuomba kama mtumishi wako, kama rafiki yako na kama ni ndugu yako wang lin"
the king loves drama imetokana na novel inayoitwa the king loves, novel yake niliwahi kuwa nayo kwenye mashine (laptop) yangu lakini ilinipotea baada ya kubadilisha hard drive bila kufanya backup.
Una kipaji cha ualimu mkuu mpaka kunifanya na mimi nikuelewe maana ubongo wangu naufahamu mwenyeweniliupenda sana urafiki wa ukweli kati ya crown prince won na bwana wang rim mule ndani.
- the woman I love was captured and is bleeding, what man would not interfere? (wang lim)
- i will let one of them to live whether its the woman who you insist is your love or Lim who is you think is your friend, some one has to be punished for their sins, you have to leave one to be punished, i will let you to have the other one choose. king in loves ( ep 9.)
- usijaribu kuwa rafiki wa ukweli wa crown prince, yeye atakuwa mfalme hapo baadae hivyo basi hatokuwa na rafiki
Wang rim alikuwa ndiye mgoryeo pekee aliyekuwa akionyesha heshima, uaminifu na nidhamu kwa bwana wang won ambaye kiasili mzazi wake mmoja alitokea tawala ya Mongolia.
love triangle kati ya wanaume wawili hao dhidi ya mwanamke mmoja itaendelea kuleta mgawanyiko wa kimtazamo mpaka ulimwengu wa drama utakapokwisha, binafsi nilimpenda second lead actor mule ndani (wang rim) kama nilivyompenda yeong moon kwenye emperor of the sea drama.
ingelipendeza zaidi hii drama kama ingelituonyesha kwa kiasi kikubwa hisia za mwanadada San amezielekeza upande upi kati ya crown prince wang won au wang lim ila bahati mbaya drama ilituonyesha zaidi maisha ya wanaume wawili waliompenda zaidi msichana mmoja
kipindi naifuatilia hii drama nilipofika episode 37 (19 ep) nilijikuta nadondosha machozi kama fala fulani aliyeshindwa kutofautisha kati ya maisha ya mavumbini dhidi ya maisha ya kukurupuka kwenye media ilimradi aonekane ni mtaalamu wa makinikiyya bin koroshow (ndio maana sijifunzi lugha ya malikia kwa kuhofia kukutana na maguru wa lugha wakanitoa utumbo wa mbele)
niliipenda barua aliyoiandika bwana wang lim kwa bwana crown prince wang won, crown alimshambulia wang lim baada ya jamaa kuonyesha dalili za kumfanyia usaliti kumbe ilikuwa ni kinyume chake na alishindwa kugundua hilo mpaka aliposoma barua yake
teh teh teh nilijikuta yale maneno nimeyahifadhi sehemu ambayo ni virtual (google drive) kwa jinsi yalivyoweza kuniteka kihisia.
ile barua ilikuwa imebeba yale tunayoyashuhudia hapa nchini kwetu,
- kuna watu wanajifanya ni watetezi wa raisi aliyepo madarakani ili watimize malengo yao ya tumbo haijalishi kwa njia ya mauaji.
- kuna watu wanamchukia raisi aliyepo madarakani kwa sababu amewadhibiti kwenye njia zao chafu za kujipatia kipato kinachowafaidisha wao na familia zao.
- ...........................................................
" Mwana wa mfalme mtukufu kwanza nakuomba unielewe kusudio langu, yote haya nilioyaandika ndani ya barua hii ndio niliyotamani nijadiliane na wewe baadae, nimejaribu kuambatanisha majina ya watu mashuhuri walioshikilia nguvu ndani ya nchi hii ambao wanajifanya kuwa nyuma ya kivuli cha mfalme kumbe wanamdanganya ilimradi wafikie malengo yao.
Kwao wao hawajali ni nani atakayetawala isipokuwa wanachohitaji ni mfalme atakaye fuata amri zao hivyo basi hawahitaji mtu mwenye maarifa kama wewe ndio maana wanakupiga vita na ndio maana wamekuja na hoja ya kwamba wewe una damu ya utawala wa yuan na goryeo.
mfalme anaendelea kuwa hai kwa sababu anafuata kile wanachotaka wao lakini kwa sasa wanataka mfalme mpya hivyo basi wanataka kumuua mfalme na kumweka mfalme mwengine asiyekuwa na nguvu ili wapate kumfanya kama puppet, kadri nitakavyoendelea kuishi wataendelea kunisumbua ili nikugeuke na mimi niwe mfalme jambo ambalo litakufanya uwe dhaifu ila najisikia fahari kwa kuweza kuendelea kuwa nawe karibu na kukulinda.
lakini nampenda msichana ambaye yupo kwenye moyo wako na nashindwa kujizuia kutokumpenda haliyakuwa najua nikosa kubwa kumpenda na nastahili adhabu ya kifo na kwa hili katu sitakuomba msamaha.
Ila kama utaniacha hai basi tafadhali naomba uniruhusu niondoke kwenye mji huu na nikaishi mbali sana na maisha yangu yote niishi kama ni mtu aliyekufa.
kwa jambo hili nakuomba kama mtumishi wako, kama rafiki yako na kama ni ndugu yako wang lin"
the king loves drama imetokana na novel inayoitwa the king loves, novel yake niliwahi kuwa nayo kwenye mashine (laptop) yangu lakini ilinipotea baada ya kubadilisha hard drive bila kufanya backup.
September ni mbali can't wait lakini vita vya 3 igutus
dada yake meok goo baadhi ya nyakati una vituko kama chakula cha shughulini kilichochezewa na washirikina,unaweza kujikuta unakandamiza matonge ya wali kumbe unakula chicha zinazotokana na nazi.Una kipaji cha hali ya juu cha kutoa maelezo matamu yasiyochosha. Una comedy nzuri,nasoma huku natabasamu.Ningepata hata nusu ya hiki kipaji ningekua nafollowers milion kule insta.
ualimu tena?Una kipaji cha ualimu mkuu mpaka kunifanya na mimi nikuelewe maana ubongo wangu naufahamu mwenyewe
teh teh nimekoma mjinga mimi niliyekataa kujifunza kiingilishi nikiwa shuleni (skuli, madrassa)Wewe Daemusin wewe... Sisi dada zako tuna familia, kama unataka ufafanuzi halisia basi tusisitize tukufafanulie. Ndipo utakapojua maana ya “disappeared and died”
As I could remember well, back in 2011 or 2012 nilipewa series ya City Hunter na Gal wangu niicheki because it was a hit show wakati ule nikajikaza Mwamba with Season 1 aisee sitakaa ni sahau nilijikuta nimesinzia sitting room mpaka Mbu wakaniamsha. Since that day nikajua sina vibe na hizi Korean Products na vibe halijawahi ku change hata nilipojaribu kucheki the other ones. Ila hongereni mnaoweza vibe na hawa jamaa, for sometimes nikipitaga uswahilini siku hizi ninakuta wana tafsiri kwa kiswahili dah! yani ndio jau mara mbili to my perspective...Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea.
Tuambiane;
- Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako?
- Ni ya aina gani? (Wengi tumezoea kusema za 'mjini' na 'vijijini')
-Nini kinakuvutia sana katika hiyo Drama?
Pia:
- Nani ni Msanii wako Bora wa kiume na wa kike na baadhi ya drama alizoigiza?
- Nani ni sexiest Actor au Actress kwa maoni yako?
- Ipi ilikua Drama yako ya kwanza ya kikorea kuiona?
- Ni Drama gani ya kikorea unaitafuta sana na unapata wakati mgumu kuipata? (Unaweza ukasaidiwa kuipata na mashabiki wengine)
*Pia tumia thread hii kufahamishana kuhusu drama mpya zilizotoka au unayohisi ni nzuri ila haijapata umaarufu sana!!
Karibu tujumuike! Saraghae! Kumooyo!!
=========
Baadhi ya Links za Dramas mbali mbali za Korea...;
Be Strong Geum Soon
Princess Ja Myung Go
THREE DAYS (2014)
Swallow the Sun
Jumong
King Guenchoggo
=====
Links za ku-download drama za Kikorea;
- Watch Drama Online | Korean Drama | Japanese Drama | Taiwanese Drama | Hong Kong Drama | Chinese Drama
- GoodDrama.Net
======
Updated: Kwa mjadala na kubadilishana uzoefu kuhusu series za jumla za movies mbalimbali, za zamani na mpya, Unaweza pia kufuatilia UZI HUU hapa Series (Special thread) ..
Kazi kwako.. Enjoy!
dada yake meok goo baadhi ya nyakati una vituko kama chakula cha shughulini kilichochezewa na washirikina,unaweza kujikuta unakandamiza matonge ya wali kumbe unakula chicha zinazotokana na nazi.
hivi kwani instagram kunauzwa maneno au picha na videos?
ahsante sana kwa hii heshima ulionipa.
nimeyakumbuka maneno ya mwanasiasa fulani aliyealikwa kwenye kongamano la wanawake na harakati za kiuchumi.Hahaha aisee huo mfano
Kunauzwa maneno,picha au video bila maneno hainogi kabisa. Kuna wengi wana account za korean drama ila hawa vibe kama lote
Kang Ji Hwan was starring in the drama “Joseon Survival,” however he has canceled all activities following his arrest. It was announced on July 15 that actor Seo Ji Suk will be taking over his role.This is Kang Ji Hwan’s law firm HwaHyun. We are conveying Kang Ji Hwan’s official statement.
This is Kang Ji Hwan. I admit to all charges and I bow my head and sincerely apologize to the victims that I have hurt greatly with my irreparable wrongdoing. I want to also apologize to everyone that I have concerned because of this. I will accept punishment for my crimes and make atonement.
I apologize profusely.
Signed, Kang Ji Hwan.
nimeyakumbuka maneno ya mwanasiasa fulani aliyealikwa kwenye kongamano la wanawake na harakati za kiuchumi.
alitoa porojo weeeee mwisho akamalizia kusema
"wanawake nyote uchumi mnao lakini mumeukalia"
kwa mujibu wa maneno yako ina maana hata mimi uchumi ninao lakini bado nimeulalia, kumbe instagram inaweza kunitoa kimaisha kwa kutumia hili porojo langu.
daebak