Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
Naimani humu kuna wakali wa kutunga mashairi ya mapenzi hasa yale ya kusifia uzuri wa mwenzi wako , kumuonyesha ni jinsi unavyompenda na kumjali na pia kuna zile lyric hasa zinaelezea usaliti, majuto na simanzi kwenye maisha ya mahusiano.
Watu hawa nawaitwa ni master wa love lyrics kama jux( the king of hearts) , Ali kiba( the only one king), diamond (simba) na wengine kibao
Hivo lengo uzii huu ni kama unakipaji cha kutunga mashairi ya mapenzi kwa mfumo wa RnB tupia yako mkuu. Hii ni kwaajili ya kupata burudani kutoka kwako mzee wa master of love na pia kupata fuzo kwako kuhusu mahusiano kwa mfumo wa hizi love lyric
Nisiwachoshe sana wakuu kama wewe ni mtaalamu wa mambo ya love lyrics ebu tupia yako sasa tukuone makali yako
Naanza mimi wakuu kutupia yangu;
Song : I wanna love you
Intro:
Am record
Verse1:
Suzana wewe ni mzuri baby
Kwa penzi lako mi nishadata mamy
Naona wivu ukiwa mbali nami
Tabasamu lako me nalifeel kwa ndani
Una ngozi nyororo
Oh baby you are so beautiful
Na penzi lako moto moto
Moto, bado nalifeel
Moyo wako mwororo
Oh your love is so meaningful
Na mwili wako joto joto
Joto, bado nalifeel
Chorus;
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
Verse2:
Mi sijali maneno ya watu
Suzana mi nishakupenda wewe
I don't care maana hao wana wivu
Wanatamani nikukose wewe
Kila siku maneno hayawaishi
Unapokuwa na mimi
Wanatamani tuachane hata leo hii
Wao ni visa na visirani
Na wala mimi sijali baby
Suzana you are my darling
Na wala sihofu mimi
Suzana you are my everything
Chorus:
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
#The end
Haya kazi kwenu wakuu
Watu hawa nawaitwa ni master wa love lyrics kama jux( the king of hearts) , Ali kiba( the only one king), diamond (simba) na wengine kibao
Hivo lengo uzii huu ni kama unakipaji cha kutunga mashairi ya mapenzi kwa mfumo wa RnB tupia yako mkuu. Hii ni kwaajili ya kupata burudani kutoka kwako mzee wa master of love na pia kupata fuzo kwako kuhusu mahusiano kwa mfumo wa hizi love lyric
Nisiwachoshe sana wakuu kama wewe ni mtaalamu wa mambo ya love lyrics ebu tupia yako sasa tukuone makali yako
Naanza mimi wakuu kutupia yangu;
Song : I wanna love you
Intro:
Am record
Verse1:
Suzana wewe ni mzuri baby
Kwa penzi lako mi nishadata mamy
Naona wivu ukiwa mbali nami
Tabasamu lako me nalifeel kwa ndani
Una ngozi nyororo
Oh baby you are so beautiful
Na penzi lako moto moto
Moto, bado nalifeel
Moyo wako mwororo
Oh your love is so meaningful
Na mwili wako joto joto
Joto, bado nalifeel
Chorus;
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
Verse2:
Mi sijali maneno ya watu
Suzana mi nishakupenda wewe
I don't care maana hao wana wivu
Wanatamani nikukose wewe
Kila siku maneno hayawaishi
Unapokuwa na mimi
Wanatamani tuachane hata leo hii
Wao ni visa na visirani
Na wala mimi sijali baby
Suzana you are my darling
Na wala sihofu mimi
Suzana you are my everything
Chorus:
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
Suzana I wanna love you
Together me and you
Suzana I wanna love you
Forever me and you
#The end
Haya kazi kwenu wakuu