Kwa wapenzi wa gospel karibuni

Kwa wapenzi wa gospel karibuni

Ya nawapenda hawa jamaa ''Casting Crowns''. Kuna Wimbo wao waitwa ''WHO AM I'' na mwingine unaitwa ''DOES ANY BODY HEAR HER'' nazipenda sana kwa kweli.

Huo wa kwanza unanifanyaga nijiulize maswali mengi sana kujihusu, huo wa pili unaleta picha flani nione bado tuna wajibu wa kufanya kitu mahali kwa ajili ya mtu fulani. Pia unatuasa kuendelea kupiga vita haka katabia ka kuhukumu hukumu ovyo.

Zisikilize kwa makini utazifurahia zaidi.

I am a flower quickly fading, here today and gone tomorrow, a wave tossed in the ocean, a vapour in the wind. Still you hear me when i'm calling, Lord you catch me when I'm falling, and you told me who i am..... dah umenifanya niusikilize tena huo wimbo wa who am i?
 
Dah!! Tized Wimbo huu ni mzuri sana naupenda mno, pia nawakubali sana HillSong, Mark Lowry, Michael Smith na wengine wengii hata hapa nyumbani ndo usiseme.

Mkuu Ntuzu asante sana yaani huwezi amini ndo wimbo nilioamka nao asubuhi Siku nzima nauimba moyoni mwangu. Our God is awesome God.


Karibu tena mamitoo.....mi najiimbia kila siku nikiomba tuwapige Spurs siku ya fainali j2 lol.....!
 
Last edited by a moderator:
Tized na Elli79 mmenibariki sana, nawapenda sana GVB, Onegospel channel ya dstv huwa wanaonesha pia.

Hata ukiwashuhudia live perfomance yao sio ya kitoto.
 
Last edited by a moderator:
msikilize na abiud misholi......baadhi ya nyimbo zake nakutajia jaribu kuzisikiliza..... (1) Ninasema (2) isaya (3) Biblia yasema (4) Baba (5) Usirudi nyuma (6) Simama mwenyewe (7) Nimebaki peke yangu (8) Moyo wangu wazi (9) Siku moja (10) Uje unitoe.

Hizo ni baadhi tu.....
Na wewe msikilize Emanuel Mgogo.
1. Niko uliyeko.
2. Msikilize Mungu n.k pamoja na Benjamin Dube msouth ananikonga sana japokua lugha zao sizipati bt kiroho tunakua sambamba.
 
Na wewe msikilize Emanuel Mgogo.
1. Niko uliyeko.
2. Msikilize Mungu n.k pamoja na Benjamin Dube msouth ananikonga sana japokua lugha zao sizipati bt kiroho tunakua sambamba.

amina.....yani hapa nhsaandika list yote ya waimbaji iliyotajwa kwenye huu uzi....
 
Hahahaha lol sister im not fond of our local artist ingawaje wapo wachache huwa nasikiza akiwemo huyo tenda muujiza etc

jaribu kusikiliza na hizo...mie mwenyewe nilikuwa nausikiliza tu tenda miujiza lakini baada ya kusikiliza na hizo nyingine acha kabisa.....
 
jaribu kusikiliza na hizo...mie mwenyewe nilikuwa nausikiliza tu tenda miujiza lakini baada ya kusikiliza na hizo nyingine acha kabisa.....

Hahaaaa haya ila mie napenda za nje sana south africa kina joyous celebration benjamin dube solly mahlangu kgotso keke omega sfiso zaza na wengine wengi kwa out of africa kuna kina marvin sapp kirk franklin israel houghton donnie Mcclurkin fred hammond hillsong vashawn mitchell juanita bynum deitrick haddon etc
 
'Imeandikwa Wapi' wa mavurunza
'Don't let me die' - Rebecca Malope
Tenda muujiza - Misholi abiud
n.k
 
Hahaaaa haya ila mie napenda za nje sana south africa kina joyous celebration benjamin dube solly mahlangu kgotso keke omega sfiso zaza na wengine wengi kwa out of africa kuna kina marvin sapp kirk franklin israel houghton donnie Mcclurkin fred hammond hillsong vashawn mitchell juanita bynum deitrick haddon etc

dah kama kuna jamaa mmoja nafanya nae kazi....yeye akiingia asubuhi ni nyimbo za wasouth tu.....afu baadae anaweka za abiud.....kiukweli napenda nyimbo za abiud.....
 
Kuna songi linaitwa "Because he lives" yani kolasi tu ninashiba......

Because He lives, I can face tomorrow, because He lives all fear is gone, because I know He holds the future, and life is worse, the living just because He lives.......

Nadhani hapo kunahitaji marekebisho kidogo kaka..............otherwise ubarikiwe
 
aah yule msouth africa.....ni kama anatamka kiungo cha uzazi cha mwanamke
Yule sio msouth anaitwa JAMES OKON ni mtu anatokea Africa magharibi na ule wimbo upo ktkt album ya benjamin dube inaitwa explosion kalelewa na dube ktk huduma ya uimbaji
 
aah yule msouth africa.....ni kama anatamka kiungo cha uzazi cha mwanamke
Mkuu we acha tu, huo wimbo mara ya kwanza kuusikia ilikuwa ni kupitia Redio Wapo Fm, mama mzazi alikuja kututembelea tupo sebuleni muda wa saa nane hivi ukaanza kupigwa.

Ulianza vizuri tu lakini alipofika kile kipande cha Kumamamammamamamamaaaaaa..eye yakhwe kumaaaa.....kuna kipande alisema....Kumamanayoo..nikatumia remoti kubadili nikatune PPR FM halafu nikamwambia mama naona wamekata matangazo ghafla. Hizi lugha zina mambo najua kwa lugha ya kwao hilo halina shida, shida huja pale unapoimbwa mbele ya waswahili.
 
Back
Top Bottom