Kwa wapenzi wa gospel karibuni

Kwa wapenzi wa gospel karibuni

Daaah..huu wimbo naupenda vibaya saana nikiuckiliza huwa nafika mbinguni...
 
Tized bro hujanitendea haki maana huu uitaji wako wa kunirudisha huku umekuwa mzito, kitu nachoweza kushudia mama watoto ndio alinitambulisha hawa jamaa na when you need to see the glory of God through singing then these brothers have passed by it, huwa najisikia mwenye amani ajabu kwa nyimbo zao. kuna hiyo clean kweli huwa najisikia hivyo kila nikiangalia.

I am very fine my Brother Eli79 . Humbled to hear from you.

Aisee kweli unawajua hawa jamaa. Nawapenda sana. Kuna moja ya homecoming album waliimbia kule Israeli kwenye kabonde flani hivi, (kama uliwahi iona Jesse alikua kwenye peak yake na ule wimbo wa ''Gone'' akiwa amevaa suti kama ya blue hivi. utafute kama bado hujakutana nao, you will love him even more)

''LOVE CAN TURN THE WORLD'' by Gaithers

cc Ablessed, BAK, Mr Rocky, Ntuzu, KOKUTONA, Karucee, MTAZAMO, lara 1, 1st AID, EMT, everlenk
 
Last edited by a moderator:
Wimbo huu umekuwa ndani yangu kwa muda mrefu sana:
1. Bwana uliyewaita watakatifu wako,
wawe mitume wachunga wachunge kundi lako.
Wanyonge na wenye hofu, wakawa mashujaa
Na wapole wa kunena, wasiwe kunyamaa.
2. Hata leo wawataka watakatifu wako,
Nawe wauliza tena ni nani aliyeko,
Atakaye nimtume afundishe vijana,
Nitayari Bwana wangu nitume mimi Bwana.
3. Nitume na mimi Bwana kama ulivyotumwa,
Habari za msamaha na dhambi kutubiwa,
Niwahubiri wakosa na waliopotea
Wokovu u kwake Bwana aliyewafilia.
3. Astahiliye hapana kutamka habari,
Lakini wewe waweza kutufanya tayari,
Neno lako tulijue tupe na Roho wako,
Hayatakuwa ya bure haya maneno yako.
Tuimbe pamoja tukimaanisha!
Ubarikiwe.
 

For You My Friend 1st AID na Kongosho bila kumsahau Ablessed.
Tized bro hujanitendea haki maana huu uitaji wako wa kunirudisha huku umekuwa mzito, kitu nachoweza kushudia mama watoto ndio alinitambulisha hawa jamaa na when you need to see the glory of God through singing then these brothers have passed by it, huwa najisikia mwenye amani ajabu kwa nyimbo zao. kuna hiyo clean kweli huwa najisikia hivyo kila nikiangalia.
 
Last edited by a moderator:

Such a wonderful song, Listen carefully to the words.CC Mr Rocky, Ntuzu, everlenk, Ablessed, Kongosho, Elizabeth Dominic

Tized, hope uko fine...!
Umenikumbusha mbali sana, those guys are my favourate all time gospel singers....
Mark Lowry ni kama comedian hivi....wakiungana GVB na Ernie Haase & Signature Sound unajisikia kupaa...
Au Gaither aki mobilize The Homecoming Friends, The Hoppers, Jessi Dickson(RIP), Jack Haase(RIP) na wale wazee wa Blackwood Brothers..
 
Last edited by a moderator:

Such a wonderful song, Listen carefully to the words.CC Mr Rocky, Ntuzu, everlenk, Ablessed, Kongosho, Elizabeth Dominic


Ohhh!!! Thank you Lord, Mimi everlenk jinsi nilivyo leo hii utukufu ni kwako, umenivusha na kunipigania katika mengi kama si wewe ningelikuwaje mimi? Asante Mungu upendo wako ni mkubwa kwangu nauona wema wako ukinizunguka kila sekunde, dakika na Saa, fadhili zako ni mpya kila asubuhi na hazikomi kwangu,umenitoa mbali sana aah Sitamaliza kutaja sifa zako........

Asante sana Pastor Tized kwa upako huu wa tofauti hasa mwanzo huu wa wiki na mwezi mpya, ubarikiwe na Jehova Yire.....
 
Last edited by a moderator:
Wimbo huu umekuwa ndani yangu kwa muda mrefu sana:
1. Bwana uliyewaita watakatifu wako,
wawe mitume wachunga wachunge kundi lako.
Wanyonge na wenye hofu, wakawa mashujaa
Na wapole wa kunena, wasiwe kunyamaa.
2. Hata leo wawataka watakatifu wako,
Nawe wauliza tena ni nani aliyeko,
Atakaye nimtume afundishe vijana,
Nitayari Bwana wangu nitume mimi Bwana.
3. Nitume na mimi Bwana kama ulivyotumwa,
Habari za msamaha na dhambi kutubiwa,
Niwahubiri wakosa na waliopotea
Wokovu u kwake Bwana aliyewafilia.
3. Astahiliye hapana kutamka habari,
Lakini wewe waweza kutufanya tayari,
Neno lako tulijue tupe na Roho wako,
Hayatakuwa ya bure haya maneno yako.
Tuimbe pamoja tukimaanisha!
Ubarikiwe.

amen mtumishi umenifanya ni download tenzi za rohoni fasta
 
Wimbo huu umekuwa ndani yangu kwa muda mrefu sana:
1. Bwana uliyewaita watakatifu wako,
wawe mitume wachunga wachunge kundi lako.
Wanyonge na wenye hofu, wakawa mashujaa
Na wapole wa kunena, wasiwe kunyamaa.
2. Hata leo wawataka watakatifu wako,
Nawe wauliza tena ni nani aliyeko,
Atakaye nimtume afundishe vijana,
Nitayari Bwana wangu nitume mimi Bwana.
3. Nitume na mimi Bwana kama ulivyotumwa,
Habari za msamaha na dhambi kutubiwa,
Niwahubiri wakosa na waliopotea
Wokovu u kwake Bwana aliyewafilia.
3. Astahiliye hapana kutamka habari,
Lakini wewe waweza kutufanya tayari,
Neno lako tulijue tupe na Roho wako,
Hayatakuwa ya bure haya maneno yako.
Tuimbe pamoja tukimaanisha!
Ubarikiwe.
Safi sana tenzi nzuri sana hii ni ya kitume zaidi tumeitwa sote tumtumikie Mungu.

Kama kila siku uko moyoni ndugu yangu unaitwa wewe yatakiwa uwe Pastor OLD KOROGWE, Lol
 
Last edited by a moderator:

Amina, Asante sana Kongosho. Apart from the above dedicated songs, Huu hapa mwingine..''THROUGH IT ALL''
Tized na Elli79 mmenibariki sana, nawapenda sana GVB, Onegospel channel ya dstv huwa wanaonesha pia.

Hata ukiwashuhudia live perfomance yao sio ya kitoto.
 
Last edited by a moderator:
Tized aksante sn mkuu kwa kuleta nyimbo nzuri na tamu.....nafikiri everlenk huko alipo amebarikiwa sn.....
 
Last edited by a moderator:

And thisssssssssssssss

Amina Shem. Nasindikizia na hizi nyimbo Let them be your songs today and forevermore.
Ohhh!!! Thank you Lord, Mimi everlenk jinsi nilivyo leo hii utukufu ni kwako, umenivusha na kunipigania katika mengi kama si wewe ningelikuwaje mimi? Asante Mungu upendo wako ni mkubwa kwangu nauona wema wako ukinizunguka kila sekunde, dakika na Saa, fadhili zako ni mpya kila asubuhi na hazikomi kwangu,umenitoa mbali sana aah Sitamaliza kutaja sifa zako........

Asante sana Pastor Tized kwa upako huu wa tofauti hasa mwanzo huu wa wiki na mwezi mpya, ubarikiwe na Jehova Yire.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom