grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Flora yupi huyo?Mwaitege, Mwaipaja, Flora, Bahati etc etc
Flora yupi huyo?Mwaitege, Mwaipaja, Flora, Bahati etc etc
Mi nikipenda wimbo basi naanza kusikiliza mfano ule when Jesus say yes wa kina Michele naupenda mpka mwisho ila una kosolewa sana ila mi ni ujumbe na midundo nacheza sana basi hayo nawaachia wachambuzi.Kila wimbo una roho ndani yake, iwe ya Mungu au shetani.
TUJIULIZE NYIMBO ZA KIDUKU NA TAARABU YA YESU NK; ZINA MUNGU ?!
Safi kijana... Gaither Vocal Band too..! Sichoki kusikiliza gospel music asee!!
Sikilkizeni hawa wanaitwa Casting crowns, nyimbooo zao zina ujumbe sana
Ibilisi mshenz; Ameweza kubadilisha tamaduni za uimbaji kanisani hata Katoliki kuruka na kucheza kuliko shetani mwenyewe
Tized, hope uko fine...!Napenda sana kuwasikiliza hawa watu, nina matoleo yao mengi sana .. Akina Bill na Mkewe, Guy Penrod(siku hizi yuko peke yake), Stephen Hill (Wooow..RIP) Jesse Dickson, David Phelps, The Isaacks, Linda Randle, Ernie Haase + Signature Sound na Kuna Black mmoja hivi sikumbuki jina lake, mzee wa vituko Mark Lowry and so so many.
My Best Band.