Kwa wanaume

Ok mkuu tusibishane sana, kwasababu hii inategemeana na sehemu ulipo, desturi zenu na vitu vingi, na hutofautiana toka mtu hadi mtu...vile ilivyo kwangu na ninavyoona inafanya kazi kwangu si hivyo inavyoweza kuwa inafanya kazi kwako..kumbuka kuwa, kuna wanawake wengine kama mwanaume atakuwa mpole mno, wanaweza hata kumdharau na wanaweza kuona kama hakuna baba mwenye nyumba...hapo ndo utaniuliza kwanini wawanake wengine wa kikurya wanaomba kupigwa ili mwanaume aonekana yupo ndani ya nyumba...haitakiwi hata siku moja umtreat our wife kama mko sawa na wewe, hilo ni kosa kuliko yote utakayokuja kufanya ukioa bwamdogo...na haimaanishi kuwa haumpendi, unampenda kwasababu kama upendo haupo ndani ya nyumba hata tendo la ndoa hamtakuja kulifurahia kwasababu upendo hautakuwepo...upendo uko palepale, na usawa hautakiwi kabisa...ujue kuwa, hata kama wanawake woote hapa watapinga, every woman huwa anapenda kuona na kuhisi kuwa there is somebody in da house...yaani uwepo wako wewe mwanaume ufanye utofauti kuwa kuna mtu ndani...sio kwamba usipokuwepo na ukiwepo ni sawa tu,..noooo,

however inategemeana, najua hapa ninapotype haupo tz kwasababu tz wameshalala sasaivi..so kama uko huku western countries, wameshakuharibu mkuu, angalia wanavyopeana talaka kila siku kwasababu ya kitu kidogo tuuu, kushindana ndani ya nyumba..hakuna kiongozi....ukweli utabaki palepale, mwanaume ni boss/kiongozi, mwanamke ni msaidizi ktk ofisi ya nyumba...hata vitabu vitakatifu vimesema hivyohivyo...
 
mimi nimeoa miaka mingi tu ila kwenye ndoa m/ume lazima uwe kichwa/boss wa familia na unakuwa na maamuzi ya mwisho sio kwamba unakuwa mbabe ila wewe ndio unaongoza familia mke yy anatoa wazo unaliangalia kama ni zuri mnalifanyia kazi na kama ni baya linatupwa kapuni lakini mwenye maamuzi ya mwisho ni mwanaume

Ubungoubungo umeongea point sana leo SALUTE KUBWA, unajua haya mambo ni ya kihistoria na kidini ndio maana hata wanyama kama nyama au ng'ombe, kuku na wengine wengi utakuta wanaongozwa na mnyama wa kiume ile ni nature haya mambo ya Beijing ndio yamewaletea kiburi wanawake wa dot com ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu kabisa hakuna ile heshima ya asili na hii inaletwa na utandawazi
 
mh unafeli kaka...ukisema yes ni yes .no ni nooooo.ata km mwenza wako amegundua pana tatizo panapo maamuz yako?????
mwanaume anayejiamin anampa fursa mkewe ya kupanga kusema na kushirikiana panapo jambo na si yeye ndo dikteta........
wanume wanaoendekeza udumelism basi nki wale wasio jiamni na ndyo maana wanajaribu kuokoteza sifa toka nje..kwa kunyanyasa wake zao..kujifanya madikteata ndani ili ET NDO UMUONE MWANAUME KAMILI.............mmh aibu

kwanza ukiendekeza udumelisma mkeo atakudharau automatically.kwa nini uishi kama upo na mpinzani ndani ........ata kuua mende unaenda ndani kutafuta gobole ili mradi tu umetumia nguvu nyng ata kwenye jambo dogo......????????// u jinga!!!!!!!!!!1

........ukijishusha atakueshmu ukijaribju kumpandia kichwani kumfanya mkeo km vile mjinga ......ajui kitu ..basi wewe ndo wewe msema yote......mmh itamuumiza afu atakuona ur nt frendly.....nt husband to relay on!!!!!!!!!!!!1

nawasilisha.........:fish2:
 
Aisee tone yako ni mbaya unaposema "mmoja ni boss".....it just doesn't sound right to my ears. In a marriage, both husband and wife are supposed to be co-bosses, if I may use your term. This doesn't mean that the wife can also do oil changes and the like. Not at all (though if she can why not)....What I mean is that both of you should treat each other fairly, you should respect each other, and love each other equally and also understand your roles as husband and wife. But to say one is the boss so who/what is the other half supposed to be - subordinate? Come on man...what kind thinking is that?

I salute u NN, as for my family there is no boss, but partners!
 
Ndugu,

Mimi nimeoa,

Na mfumo ninaoutumia ni wa kidemokrasia na neno la Mungu,kwamba Baba ni Kichwa cha familia,anaongoza familia,na Kazi yake kubwa ni kumpenda Mama na wanafamilia wote,na kutoa mahitaji ya msingi kwa wanafamilia,na mke kazi yake ni kutii na kumheshimu baba,huu ni mfumo wa upendo na ushirikishwaji,ni mzuri sana,Mimi na mke wangu ni wasomi wa chuo kikuu,lakini hakuna aliyembabe kwa mwezie,wote tunashirikishana katika mambo ya kifamilia,

Mahusiano ya kiungu ndio chanzo cha mafanikio yetu,

Ndoa ni taasisi - yenye mifumo na sio lelemama,ambao hawajaingia achaneni na mfumo dume ni mambo ya kizamani be modern with postive thinking.

Elisante Yona
 
I salute u NN, as for my family there is no boss, but partners!

uyo bwanako ameshikwa masikio namwonea huruma..mkiishi kama parters ujue nyumba hiyo ni sifuri...nyumba bila kiongozi ni sifuri hata kama mtabisha hapa ukweli ndo huo...wanawake wamekuwa proven weak tangu zamani za kuumbwa....na wanategemea mwanaume kwa kila kitu hata kama watajitutmua..ukiwasikiliza sana utakuwa masikini wa akili. poleni wanaume mlioshikwa masikio na hawa wadada...
 
Kushirikiana ktk mambo yote. Kwenye kulea watoto, kwenye kufanya maamuzi, kwenye mawasiliano, kwenye kutunza mji wenu, n.k. Hayo mambo ya mmoja awe ndio kibosile na mwingine msaidizi mimi siafikiani nayo. Mke au mumeo ni mshirika wako ktk maisha. Kushirikiana ndio kunafaa. It's all about team work.

Well said NN, your explanation is 100% accurate.
 
Hainihusu lkn mmh! hapo juu mmh!!

dadangu, wala isikutishe..pengine haujaingia kwenye ndoa..ni kitu cha kawaida tu...jongea kwa upendo wote...cha maana kwenye ndoa ni kila mtu kujitambua yeye ni nani ndani ya nyumba na majukumu yake ni yepi..kila mtu akijitambua hivyo..automatically kuheshimiana ndani ya nyumba kutakuwepo, mmeo atakupenda sana, atakulea kama yai kabisa..ila ukitaka usawa ndani ya nyumba...HUWA INALETA MASHINDANO YA AJABU NDANO YA NANI MKUBWA, SI UNAJUA MAFAHARI WAWILI HAWAWEZI KUKAA ZIZI MOJA...

ktk kitu kibaya kwenye ndoa ni mashindano..haya huwa yanaleta mgogoro hadi mnaweza kuachana. hivyo cha muhimu wewe mwanandoa jua wewe ni nani, wajibu wako ni nani, na mwenzio ni nani na wajibu wake ni nini...kila mtu akifanya wajibu wake..mkiweka pamoja mtacheka,mfafurahi na mtakumbatiana...ila ukiona kila mtu anataka kujifanya yeye fulani ndani ya nyumba..mtaishia kutoana meno si muda mrefu.....

ukitaka kumshika masikio mwanaume, akupende hadi apitilize, mwache yeye abaki na wajibu wake kama kiongozi wa familia...wewe fanya wajibu wako kama msaidizi wa familia....jipange kutoa ushauri wa maana bila kujali kama ataufanyia kazi au vipi...na hata asipofanyia kazi nenda kwa hekima mkumbushe etc....utapendwa, utaheshimika, atakuvumilia kwa mengi...ila ukiwa unawakiana naye kama mdogo wako, unamlazimisha kufanya vitu kama yeye ndo ameolewa...itafika kipindi mtafika mbali sana..na kama haitakuwa hivyo..basi ujue uyo mwanaume wako ni sifuri zero...
 
uyo bwanako ameshikwa masikio namwonea huruma..mkiishi kama parters ujue nyumba hiyo ni sifuri...nyumba bila kiongozi ni sifuri hata kama mtabisha hapa ukweli ndo huo...wanawake wamekuwa proven weak tangu zamani za kuumbwa....na wanategemea mwanaume kwa kila kitu hata kama watajitutmua..ukiwasikiliza sana utakuwa masikini wa akili. poleni wanaume mlioshikwa masikio na hawa wadada...

teh teh, mitanzania ndivyo tulivyo!
 
There is no a fixed and permanent formula in life.....! Please my fellow man, never use the same theory in all positions, places, times, and situations, unless you are ready to fail. Even in the office, you can't succeed by employing a single management theory to each person, everyday, and forever. Kupata mafanikio katika ndoa, regardless how you love your spouse, some of the things must be initiated by you, some to be tolerated, some to be changed, and some to be completely eradicated. Hivyo, kuna vitu vya kuvumilia, vya kuvitengeneza/endeleza mwenyewe, na vipo vya kuvitokomeza kabisa. So, use any of the options that you believe to be the most fruitfull one acording to the situations, places, times, positions, and your own ability and interests. Thanks.
 
thats why i said it depends on where you are, if you are in europe, you are obliged to be equal to your wife, that's how they will spoil you with their western culture,,but when you step your feet in Dar, you've got to change and become a real man huhhmmm....
 
What is male chauvinist??? and what is mfume dume na ni kwa tafsiri ya nani?????? Who decides what is the right system and by using which standard? Kama kuna mtu anaweza kunipa majibu ya maswali haya nitarudi kuchangia.
 
Back
Top Bottom