Pomboo
Senior Member
- Jun 8, 2010
- 152
- 45
Kwa asilimia yote mwanamke ukishamweka ndani yaani mke atakutegemea kimawazo
Kwa almost everything kwa mfumo wowote utakao uweka uwe mfume dume, jike sijui mfumo sawa kwa sawa vyovyote vile. Mwanamke/mke hata siku moja hatajafanya kama wewe unavyotarajia maana anadepend kwako kimawazo kwa kiasi kikubwa hivyo hata kwenye utekelezaji hawezi kujiamini.
Cha msingi usichoke kufundisha na kuelekeza kila iitwapo leo,
Maisha ya ndoa yatakuwa matamu
Iko hivyo, kwa ushauri wangu.
Mkuu FD kule mtaa wa pili mbona kumenuna siku hizi?
Kwa almost everything kwa mfumo wowote utakao uweka uwe mfume dume, jike sijui mfumo sawa kwa sawa vyovyote vile. Mwanamke/mke hata siku moja hatajafanya kama wewe unavyotarajia maana anadepend kwako kimawazo kwa kiasi kikubwa hivyo hata kwenye utekelezaji hawezi kujiamini.
Cha msingi usichoke kufundisha na kuelekeza kila iitwapo leo,
Maisha ya ndoa yatakuwa matamu
Iko hivyo, kwa ushauri wangu.
Mkuu FD kule mtaa wa pili mbona kumenuna siku hizi?