Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,807
- 59,289
Mwenyewe kakataa sivyo!Binafsi sioni kulikua na umuhimu gani wa kuuliza swali kama hili jamvini ilhali mumewe anapenda...angesema hapendi ndo ingekua sahihi ZAIDI kuuliza ili ajue wengine wanaonaje na anawezaje kusaidia mambo yawe mazuri.Kila mtu akija ulizia kiungo chake kinachosifiwa huko chumbani kinachukuliwaje na wanaJF si itakua balaa!!Nwy hongera dada/mama kwa kupata majibu uliyohitaji au sijui uliyotaa!umeona ennh?