kwa wanaume tu

umeona ennh?
Mwenyewe kakataa sivyo!Binafsi sioni kulikua na umuhimu gani wa kuuliza swali kama hili jamvini ilhali mumewe anapenda...angesema hapendi ndo ingekua sahihi ZAIDI kuuliza ili ajue wengine wanaonaje na anawezaje kusaidia mambo yawe mazuri.Kila mtu akija ulizia kiungo chake kinachosifiwa huko chumbani kinachukuliwaje na wanaJF si itakua balaa!!Nwy hongera dada/mama kwa kupata majibu uliyohitaji au sijui uliyotaa!
 
I was curious kujua ukweli wa jambo hili ukizingatia kuwa ni sensitive sana kwa namna yoyote haiwezekani kumuuliza mtu swali la aina hii katika face to face conversation kwa iyo nikaona ni bora kutumia jukwaa hili lenye weledi wa fani mbalimbali kunijuza, maana niliamini objectivity itakuwa ashuadi
Pili wanaume walikuwa target population yangu kwa sababu nilijua kuwa baadhi yao wame experience jambo hili..kwa iyo hawatasema jambo waliosimuliwa au kuhisi tu, watatoa mchango from their own experience. Nachukua nafasi hii kuwaomba radhi wanawake kwa kutowa ingiza kwenye sample hii si kwa sababu sithamini michango yao, bali nilifahamu nao huenda wana experience the samething na hawana hakika ya ukweli au uwongo huu, so nao niliwafanya wawe audience wasilikize wanaume wanatuwazia nini katika hili. Lakini ninakiri kufurahishwa na michango yao walioito na ninaithamini.
Tatu, swali hili halikuwa na jibu la uwongo au la ukweli, yote kwangu pamoja na critics yalikuwa na maana katika utafiti wangu. Ninajua kuwa wanadamu wana perception tofauti, wapo wanaodhani embe ni tunda best na wanaoona si tunda zuri, kitafiti, jibu moja likijirudia rudia mara nyingi hasa ukitumia aina tofauti ya interviews (uki triangulate data) kuna possibility lina ukweli. Na kwa sababu qualitative data haihitaji population kubwa kushiriki, kwa hayo machache mliyoyatoa tayari nilipata muelekeo wa jibu langu. Critics pia zilikuwa muhimu kushape thinking yangu juu ya jambo hili
Nne, narudia kwamba, nawashukuru wote kwa yote, ila wale waliodhani (kwa bahati mbaya) kuwa natangaza biashara nasikitika kuwajuza kuwa hawakuelewa nia yangu njema ya kutambua ukweli wa hili jambo ambalo nimekuwa nikiambiwa na mume wangu mara kwa mara. Naruadia tena nilikuwa curious tu kujua siri hii na sina lengo lolote zaidi ya hili, naomba nihukumiwe kwa dhamira hii ya kuwa wazi katika sensitive ishu hadharani na si vinginenvyo. Na nilileta hii mada hapa nikijua kuwa nitashauriwa na great thinkers kamwe sikuwahi kudhani kuwa jamii forums ni sehemu ya kutangaza biashara zisizofaa.

asanteni sana great thinkers


well said Madam Kelea...hapa ndio JF jamvi la Great Thinkers
 
Tumia tu simu yako ya kiganjani, piga picha weka jamvini, then itajulikana kama kweli hilo litumua lako linalipa au la hasha.
 
asante kwa kunifumbua macho, kumbe alkuwa anatangaza biashara...looh dada wee, kitumbua chake inaonekana nyam nyam.!

Umekiona au umekionja...........................taarifa hizi zaonyesha kuna mengi wayajua wakati mwenywe amedai hakuna aliyekichungulia zaidi ya mzee wake pale home sweet home...............
 
mume wangu ni mwanaume wangu wa kwanza (uhusiano wa kimapenzi) so nakosa reference yakujiridhisha na jambo hili
nijuzeni waungwana

mume wako kelea yaelekea yeye ni mzoefu hata akaweza kukupatia taarifa nzito kama hizo zenye kuhitaji malinganishi ambayo siyo simulizi bali ya kushiriki kwa mazoezi ya vitendo.................
 
1) je ni kweli wanaume wanafurahia hali hii au maumbile haya? KWANINI?

Hivi Kelea ukifahamu wanakipenda hicho kitumbua chako kilichoumuka kama kimetiwa baking powder au hamira yaani yeast but not "yeast infection" hao jamaa wataka wakionje au iweje??????????????????????
 
Sangara acha utani bana maswali mengine mtumie kwenye PM

Bila ya sisi kuiona kama mume wake anavyoichungulia kweli tutaweza kuyajibu maswali magumu kama haya kinadharia ambayo ni ya kuhisia tu wakati picha twaweza kutumiwa ili tutoe mchango kamilifu...............................................usyo na zengwe hata chembe.........................
 
Mwenyewe kakataa sivyo!Binafsi sioni kulikua na umuhimu gani wa kuuliza swali kama hili jamvini ilhali mumewe anapenda...angesema hapendi ndo ingekua sahihi ZAIDI kuuliza ili ajue wengine wanaonaje na anawezaje kusaidia mambo yawe mazuri.Kila mtu akija ulizia kiungo chake kinachosifiwa huko chumbani kinachukuliwaje na wanaJF si itakua balaa!!Nwy hongera dada/mama kwa kupata majibu uliyohitaji au sijui uliyotaa!

ladies will always remain ladies!!
 
Mwenyewe kakataa sivyo!Binafsi sioni kulikua na umuhimu gani wa kuuliza swali kama hili jamvini ilhali mumewe anapenda...angesema hapendi ndo ingekua sahihi ZAIDI kuuliza ili ajue wengine wanaonaje na anawezaje kusaidia mambo yawe mazuri.Kila mtu akija ulizia kiungo chake kinachosifiwa huko chumbani kinachukuliwaje na wanaJF si itakua balaa!!Nwy hongera dada/mama kwa kupata majibu uliyohitaji au sijui uliyotaa!

nani kakunyima kuuliza?
 
.mume wangu mara nyingi amekua akinisifia kuwa 'kitumbua changu

Hii imenikumbusha thread mmoja ililetwa hapa akijisifia mumewe amemwambia kitumbua chake kitamu.......leo imekuja hii.........Mumeo alishakusifia ulikuwa unataka nini tena.............weka na contact zako nao waonje wakusifie
 
.mume wangu mara nyingi amekua akinisifia kuwa 'kitumbua changu Hii imenikumbusha thread mmoja ililetwa hapa akijisifia mumewe amemwambia kitumbua chake kitamu.......leo imekuja hii.........Mumeo alishakusifia ulikuwa unataka nini tena.............weka na contact zako nao waonje wakusifie
Wee mama wewe!!!!
 
Sangara acha utani bana maswali mengine mtumie kwenye PM
kwa kuwa ameuliza hadharani ndio maana nikamwambia atuwekee picha hapa hapa!angeuliza kwenye PM ningemjibu kule kule.upo hapo mkuu Mvumbuzi? hebu tupe uzoefu wako kwenye uvumbuzi wa mbumbua.
 
Acha umbea....nimesema wapi nimenywimwa?!

mhh...mbea ni mimi au wewe uliyeanza kumshambulia mwenzako kwa madai ya kutangaza biashara! Na kabla ya yote topic ni kwa wanaume! Kazi kweli kweli...
 
Back
Top Bottom