SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Tulia upendwe, jamaa amekuzimia wewe na hicho kitumbua sasa wewe unataka nini tena zaidi ya kushukuru? Manake kuna wenzio wako ktk ndoa ama mahusiano na wanabezwa na kutukanwa na kukejeliwa maumbile yao kila kukicha. Mshukuru Mungu na please count your blessings