Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
nywele za asili as bila hata kemikali?
nywele za asili as bila hata kemikali?
mimi nimenyoa ..ila ninataka kusuka ila mpenzi wangu hataki anadai napendeza kunyoa ila mimi naona sijapendeza sijui anaogopa mizinga ya saluni
nywele za asili as bila hata kemikali?
We Mamndenyi Usitafute kuvunja ndoa yako... Wengine si huwa tunatunza siri sana... SI WAROPOKAJI.... Unataka niseme halafu uje unilaumu siku sijazo.
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.
..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba
siku hazifanani dear...kuna saa unafulia
Najuwa... Ndo maana nimekataa kusema, kwa sababu najuwa inatakiwa polepole na taratibu... Yaani hapa hata aje OBAMA na FBI yake, chichemi ng'ooo.... Mi cho ntoto n'dogo..Tafadhali Ngalikihinja
polepole ujue.
wewe unapenda dread naona....ngoja niwekewaweza kuwa na nywele ndefu au fupi ila zisiwe nadhifu, kinachotakiwa ni unadhifu na usafu wa hizo nywele, na ikiwa ni wigi, ah sio kila wingi linampndeza wewe wangu haya mambo au haya sijui maweaving sijui nini.
Me I love dread but lazima ziwe safi sio zimekuwa nyekunduuu...
Mimi sio baba but I can tell you most men don't like wigs and weaves.
Bora rasta za kusuka, au rasta zile za dreadlocks (but ziwe safi )
The better is of course natural hair. Kama fupi ziwe a nice cut
![]()
Mimi sio baba but I can tell you most men don't like wigs and weaves.
Bora rasta za kusuka, au rasta zile za dreadlocks (but ziwe safi )
The better is of course natural hair. Kama fupi ziwe a nice cut
![]()