kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

nina karne kadhaa sijakuona bana...wkend uliniona wapi?
Jamani Smile!!

Ndio unanisakama kwa sauti hivyo, si ungeninong'oneza tu.....

Mi nipogi, nakudeku tu!

Haya mi napenda nywele fupi kama zako!!

Ntaziona tena weekend hii??
 
kama mwanadada ana genes za kipilipili ajikubali tu, mi napenda kichwa kiwe na uasilia wake, kama ni kipilipili anyoe nywele ziwe fupi, kama kajaliwa za kusuka iwe mabutu, kilimanjaro vyovyote vile, asuke hizo hizo no addition ya maplastiki wala nywele za wahindi wafilipino wala wabrazil
 
nina karne kadhaa sijakuona bana...wkend uliniona wapi?

Nipo wangu, basi tu pilikapilika za kumpokea Obama si unajua!

Pia huu mtaa umekuwa mkubwa sana sikuhizi na vibaraza vingii, so tunapishana kiurahisi.

Halafu acha hayo maswali yako ya kunizodoa bwana.

Kwani uongo hauna nywele fupi?
 
zote babu wewe unapendaje?

Sipendi za kikwapa wala za naniliyu.... nataka kuwe kweupeeeeee.... ila kichwa cha juu..... Ukiniwekea dreads umenimaliza. Kama vipi we jinyolee tu ziwe za urefu wa kati lakini safiiiii. Ili nikiwa nananiliyu vidole vyangu vipate cha kushika, kuvutavuta na kuvinjari.

Na log off. Kwaheri
 
kama mwanadada ana genes za kipilipili ajikubali tu, mi napenda kichwa kiwe na uasilia wake, kama ni kipilipili anyoe nywele ziwe fupi, kama kajaliwa za kusuka iwe mabutu, kilimanjaro vyovyote vile, asuke hizo hizo no addition ya maplastiki wala nywele za wahindi wafilipino wala wabrazil
jamani hivi vipilipili tutapitaje navyo barabarani?
 
nipo wangu, basi tu pilikapilika za kumpokea obama si unajua!

Pia huu mtaa umekuwa mkubwa sana sikuhizi na vibaraza vingii, so tunapishana kiurahisi.

Halafu acha hayo maswali yako ya kunizodoa bwana.

Kwani uongo hauna nywele fupi?
mmmh obama obama bora aondoke tu maana nasikia wanaume mlikuwa mkipigwa mizinga mnajitetea network za atm zimekata kwa ajili ya ugeni wa obama due to security reasons! Tumekomaje?
Kuhusu nywele zangu ni fupi ndio nilinyoa nilivofiwa bwana ila nataka kusuka tena ila wadau wa karibu wanasema hivi hivi ndo fresh daah!
 
sipendi za kikwapa wala za naniliyu.... Nataka kuwe kweupeeeeee.... Ila kichwa cha juu..... Ukiniwekea dreads umenimaliza. Kama vipi we jinyolee tu ziwe za urefu wa kati lakini safiiiii. Ili nikiwa nananiliyu vidole vyangu vipate cha kushika, kuvutavuta na kuvinjari.

Na log off. Kwaheri
hupendi steel wire huko eeeh?
Na log off.
 
Kongosho... Uwa unaniacha HOI...!!!

He he he, univumiliage tu
Kufundisha PCM inaharibu akili, najaribu kuandika data za muhimu kwanza
Afu nakutana na nywele, kweli? Hivi tunawowa nywele kweli?

Hapa zinazungumziwa nywele zipi? Za kichwani, makwapani au naniliyuni??

CC: Smile

He he he, kuongelea nywele ni sawa na kuongelea supu ya kuzimulia hangover ukiwa na maji, pilipili, ndimu na chumvi bila nyama. Utajikuta hivyo viungo unaviweka kwenye matembele.
 
Wenye nywele ndefu huwa wanavutia zaidi hasa kwa sisi wanaume tunaopenda style ya kuendesha farasi kwenye majamboz.
 
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba

nywele fupi almost akaribiane na upara ,avae hereni kubwa, awe mrefu na umbo zuri........au kama ananywele ndefu ziwe ndefu kweli ,zenye afya ,safi na zinazotunzwa vizuri.

kwa kifupi napenda unatural.
 
mimi nimenyoa ..ila ninataka kusuka ila mpenzi wangu hataki anadai napendeza kunyoa ila mimi naona sijapendeza sijui anaogopa mizinga ya saluni

Hivi saloon kuna mizinga?
 
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba

Personally ninapenda sana binti mwenye nywele fupi like za Amber Rose hata akiweka na ka wave kidogo huwa navutiwa sana.
 
Mwenye kunyoa Dongo kwangu ndie mwenye nafasi zaidi, kwanza hakuna gharama za saloon, pili. wanawake tip hii hawanaga maisha ya kuigiza (tamaa)
 
jamani hivi vipilipili tutapitaje navyo barabarani?

swala ni kujikubali tu,unanyoa level ndogo ..labda kichwa nacho kiwe kimebumbwa bumbwa tu hakina ushirikiano na muonekano mzuri.. ishu ni kuwa wanawake mnakuwa mnaconcentrate sana on how you think you look..ukijipimia 1/10 tutakuona hivyo hivyo,..ukijipimia 8/10 likewise
 
Mokoyo, anapenda sana nywele, seriously, sitanii, mwanamke mwenye nywele ananipa usingizi wa kutosha: Angalizo - sipendi ma-wigi hata kidogo
 
Back
Top Bottom