kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

Mmoja aliwahi kusema anavutiwa na wenye kuwa na nyweli fupi au vipara
Hilo jibu linanitesa hadi leo.

.....Sore ni kwa wanaume kumbe.

Hahahaha Bi mkubwa bwana!

Eti linakutesa hadi leo, mweh...

Yaani wanawake mna mambo yenu aisee.
 
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba
jamani nywele fupi au upara kama masai, na akiacha asuke twende kilioni style, E e Mi mshamba eti?
 
Why nywele? ningetemea utauliza kuhusu vayjavy

kwenye pilau au biriani, cha muhimu ni mchele, viungo hata viwe vizuri vipi ukichanganya na unga haitakuwa pilau.
Hapa zinazungumziwa nywele zipi? Za kichwani, makwapani au naniliyuni??

CC: Smile
 
Last edited by a moderator:
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba
Mimi napenda style yeyote ya nywele, ilimradi tu ziwe asilia, hakuna kuongezea chochote, kama hakuna nyingi basi nyoa ziwe ndogo ndogo sana na safi, hapo itakuwa poa..
 
uwe unaaga bwana...

Jamani Smile!!

Ndio unanisakama kwa sauti hivyo, si ungeninong'oneza tu.....

Mi nipogi, nakudeku tu!

Haya mi napenda nywele fupi kama zako!!

Ntaziona tena weekend hii??
 
Back
Top Bottom