kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

kila mwanaume anapenda mtindo wa aina yake,mf mm huwa napenda mweny nywele ndefu kipala nitampeleka wapi jamani?
 
Kwani wanaume wanapenda nywele? Maana nywele waweza nyoa waweza suka waweza kuzifanya upendavyo kadri apendavyo ulienae, na kama hicho ulienae anakipenda unaangaika na nn kwa mwonekano kwa wengine? Tulia na umridhishe huyo ulienae kama apendavyo. Vinginevyo hujui anapenda nn.
 
mimi nimenyoa ..ila ninataka kusuka ila mpenzi wangu hataki anadai napendeza kunyoa ila mimi naona sijapendeza sijui anaogopa mizinga ya saluni

Ahahaha.. Smile kwani ni mchaga!???
:glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Mimi sio baba but I can tell you most men don't like wigs and weaves.
Bora rasta za kusuka, au rasta zile za dreadlocks (but ziwe safi )
The better is of course natural hair. Kama fupi ziwe a nice cut

070607_berry_300X400.jpg

Last time I checked, post yako ilikuwa inaongoza kwa "likes" nyingi zaidi kuliko posts nyingine kwenye hii thread.

Chezea someone thinking like a man.
 
Dread,zile nywele fupi ambazo mhusika anazijali na kuzipenda
 
Mie kiukweli napenda sana mwanamke awe na nywele ndogo ila sio kipara!! Nywele kama za halima mdee hua nazimia sana japo my wife anapenda ndefu na siwezi kumfanya awe za hizo ila hilo mie ndio napenda sana au hata akiwa nazo ndefu basi zisukwe vizuri zisisambae,
 
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba
Mi napenda aliesuka Rasta lol hoi mie jamani
umkute mdada amesuka rasta halafu mwanamazoezi.....acheni hii kitu.....
 
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba

Inategemeana na kichwa na sura ya muhusika
 
Mie nina alergy na Manyele bandia ama manywele machafu, ww set the way u like ila usinyoe para, angalau ziwe low cut, mkia wafarasi unanisuuza sana ila ziwe safi.
Tukiwa faragha uzibane maana zikikaribia pua yangu ama kunitambaa usoni tabu cjui najihisije lakini kuzishika shika napendaaaa.
 
Navutiwa sana na msichana mwenye low cut na hereni zake kubwa ka tairi za baiskeli pia kusuka dread au mtindo wowote kwa kutumia rasta napenda bt nachukiza na wanaoshonea manywele bandia, wanaoweka dawa kwanza inanuka vibayaa...bt at last inabaki kuwa nini anataka mwenyewe isipokuwa kuweka dawa

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
siku hazifanani dear...kuna saa unafulia

duuh hadi hela za saloon mnakosa.? Hivi hamfanyi kazi??
Utegemezii huu ushindwe kabisa na ndio maana unapewa hela kidogo yan saloon si buku 3 hadi 5 au?? Dhiki ndogondogo uwe unazipotezea basi iliuwe unapewa hata laki 2 au 5 sorry inategemea na mtu unayedate nae
 
Mbona mwenye thread hajasema nywele zipi??? Naona watu mnajibu za kichwani tu lol
 
Tabia via Kipato chake
"Mali uongeza Furaha ya mwanaume katika Maisha"Shaban Robart
"VV"
 
Back
Top Bottom