kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,628
naombeni muwe wakweli mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara ,au nywele fupi...au mwenye nywele ndefu...aliesuka rasta au weavings, au mwenye dread? au alievaa wigi? be honest....kina baba
 
Unataka upewe majibu alafu ubadili style ya nywele zako, naanza mimi kukupa jibu, kwa kifupi kila mwanaume ana achopendelea juu hivyo ulivyosema , kwa hiyo usitegemee kupata jibu moja, but endelea kusubiri watakuja wengine wakupe jibu
 
binafsi navutiwa na dread zaid....au nywele fupi zenye wave.
 
Unataka upewe majibu alafu ubadili style ya nywele zako, naanza mimi kukupa jibu, kwa kifupi kila mwanaume ana achopendelea juu hivyo ulivyosema , kwa hiyo usitegemee kupata jibu moja, but endelea kusubiri watakuja wengine wakupe jibu
mimi nimenyoa ..ila ninataka kusuka ila mpenzi wangu hataki anadai napendeza kunyoa ila mimi naona sijapendeza sijui anaogopa mizinga ya saluni
 
Mimi sio baba but I can tell you most men don't like wigs and weaves.
Bora rasta za kusuka, au rasta zile za dreadlocks (but ziwe safi )
The better is of course natural hair. Kama fupi ziwe a nice cut

070607_berry_300X400.jpg
 
Why nywele? ningetemea utauliza kuhusu vayjavy

kwenye pilau au biriani, cha muhimu ni mchele, viungo hata viwe vizuri vipi ukichanganya na unga haitakuwa pilau.
mmmh....so vyovyote sio?...ila nasikia maweaving hawayapendi yana mende sana
 
Mmoja aliwahi kusema anavutiwa na wenye kuwa na nyweli fupi au vipara
Hilo jibu linanitesa hadi leo.

.....Sore ni kwa wanaume kumbe.
 
naombeni muwe wakweli
mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara
,au nywele fupi.

..au mwenye nywele ndefu.
..aliesuka rasta au weavings
au mwenye dread?
au alievaa wigi?
be honest....kina baba
Mi nna aleji na mwenye upara na dredi... YAANI SITAKI KABISA HATA AWE Smile, Mamndenyi AU YEYOTE...

 
kwa nini hawapendi weaving mwali?
Mimi sio baba but I can tell you most men don't like wigs and weaves.
Bora rasta za kusuka, au rasta zile za dreadlocks (but ziwe safi )
The better is of course natural hair. Kama fupi ziwe a nice cut

070607_berry_300X400.jpg
 
Smile na ujanja wako wote bado unaomba omba za kwenda saluni?
mimi nimenyoa ..ila ninataka kusuka ila mpenzi wangu hataki anadai napendeza kunyoa ila mimi naona sijapendeza sijui anaogopa mizinga ya saluni
 
Last edited by a moderator:
mimi nimenyoa ..ila ninataka kusuka ila mpenzi wangu hataki anadai napendeza kunyoa ila mimi naona sijapendeza sijui anaogopa mizinga ya saluni
hapo ndio jibu sahihi usitafute mchawi
 
^^
Binafsi,,navutiwa na nywele za asili.
Hope am outdated!! Eti Mwali
^^
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom