Kwa wanaopenda ONE NIGHT STAND

KUTONGOZANA kuna kera maana maneno ni yale yale kila siku tunatumia kuambiana
KU-DATE kunapoteza muda na pesa piaa
MAPENZI well hiki ni kipaji ama karama ya wachache..istoshe hata mfanyeje mtaachana tu
NDOA sasa hii ndo balaa....fumbo la enzi na enzii

kwa kifupi sio wote tunaweza kufanya au kujihusisha na vitu nilivovitaja hapo juu pengine sababu ya muda,malengo,umri,sababu binafsi..kama vile kutaka kuwa huru na kufanya mambo yako bila kero ama kuulizwa ulizwa na kupelekeshwa na mtu mwingine,na sababu nyingine nyingi.

ONE NIGHT STAND ina faida nyingi,ikiwemo ku kukutanisha na watu mbali mbali,kutibu hisia ambazo zingekupotezea muda kumuwaza EX,mpenzi ambae hajielewi,crush,au hata mtu wako kipenzi aliyefariki.....au maumivu ya mahusiano mbali mbali uliyopitia.

Napenda ONE NIGHT STAND mpaka natamani ningepata wadau kadhaa tukaanzisha community yetu pia Tz

Kama unapenda ONE NIGHT STAND kama mimi,karibu sana PM

Kwa atakae penda tuanzishe community ya ONE NIGHT STAND pia nakaribisha mawazo PM

REMEMBER; play safe mates

NB: kama mpaka sasa hujui maana ya ONE NIGHT STAND nahisi hapa si mahala pako.

"We're captives of our own identity,living in prisons of our own creation".
UKIMWI unavyotafuna vijana - JamiiForums
Kijana: Epuka UKIMWI ili usidharaulike - JamiiForums
Mkasa wa kweli: Aliniambukiza UKIMWI, acha ningojee siku zangu nife - JamiiForums
Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama - JamiiForums
Watoto na Vijana 300 hufariki kila siku kutokana na UKIMWI - JamiiForums
NAJUTA: Ningejua nisingesoma huu uzi wa mwathirika, nimechanganyikiwa, tunauana humu ndani - JamiiForums
UKIMWI jamani, UKIMWI! - JamiiForums

We endelea tu kujipa moyo kwamba utatumia kondom, walioupata sio wajinga walijua fika zipo kondom

nishukuru baadae
ciao adios
 
Hii nzuri sana tatizo moja ukizoea one night stand, huwezi kuishi na mume au mke utaona ni kero tena balaa maana ujazoea jam jam za ajabu ajabu

Asilimia kubwa ya vijana ke na me tunaowalazimisha waoe au waolewe mpaka familia zinaitana vikao ni wale waluozoea michezo hii ya chapa ilale sitaki shobo
 
KUTONGOZANA kuna kera maana maneno ni yale yale kila siku tunatumia kuambiana
KU-DATE kunapoteza muda na pesa piaa
MAPENZI well hiki ni kipaji ama karama ya wachache..istoshe hata mfanyeje mtaachana tu
NDOA sasa hii ndo balaa....fumbo la enzi na enzii

kwa kifupi sio wote tunaweza kufanya au kujihusisha na vitu nilivovitaja hapo juu pengine sababu ya muda,malengo,umri,sababu binafsi..kama vile kutaka kuwa huru na kufanya mambo yako bila kero ama kuulizwa ulizwa na kupelekeshwa na mtu mwingine,na sababu nyingine nyingi.

ONE NIGHT STAND ina faida nyingi,ikiwemo ku kukutanisha na watu mbali mbali,kutibu hisia ambazo zingekupotezea muda kumuwaza EX,mpenzi ambae hajielewi,crush,au hata mtu wako kipenzi aliyefariki.....au maumivu ya mahusiano mbali mbali uliyopitia.

Napenda ONE NIGHT STAND mpaka natamani ningepata wadau kadhaa tukaanzisha community yetu pia Tz

Kama unapenda ONE NIGHT STAND kama mimi,karibu sana PM

Kwa atakae penda tuanzishe community ya ONE NIGHT STAND pia nakaribisha mawazo PM

REMEMBER; play safe mates

NB: kama mpaka sasa hujui maana ya ONE NIGHT STAND nahisi hapa si mahala pako.

"We're captives of our own identity,living in prisons of our own creation".
Nenda mwananyamala pale panaitwa kwa Wahaya utapiga one night stand mpaka hiyo mshine ioze.
 
Hivi unapokuwa umemuona manzi mmoja mujaribu na ukaamua kuenda kumpigia nyeto kimoja tu ...hii nayo hatuwezi kuingiza kwenye one night stand...
 
Back
Top Bottom