sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,505
- 41,745
365 stands huanza na 1 nit.Mm ni wale wa 365 nights stand sio 1 9t stand
Join me
Sent using Jamii Forums mobile app
365 stands huanza na 1 nit.Mm ni wale wa 365 nights stand sio 1 9t stand
UKIMWI unavyotafuna vijana - JamiiForumsKUTONGOZANA kuna kera maana maneno ni yale yale kila siku tunatumia kuambiana
KU-DATE kunapoteza muda na pesa piaa
MAPENZI well hiki ni kipaji ama karama ya wachache..istoshe hata mfanyeje mtaachana tu
NDOA sasa hii ndo balaa....fumbo la enzi na enzii
kwa kifupi sio wote tunaweza kufanya au kujihusisha na vitu nilivovitaja hapo juu pengine sababu ya muda,malengo,umri,sababu binafsi..kama vile kutaka kuwa huru na kufanya mambo yako bila kero ama kuulizwa ulizwa na kupelekeshwa na mtu mwingine,na sababu nyingine nyingi.
ONE NIGHT STAND ina faida nyingi,ikiwemo ku kukutanisha na watu mbali mbali,kutibu hisia ambazo zingekupotezea muda kumuwaza EX,mpenzi ambae hajielewi,crush,au hata mtu wako kipenzi aliyefariki.....au maumivu ya mahusiano mbali mbali uliyopitia.
Napenda ONE NIGHT STAND mpaka natamani ningepata wadau kadhaa tukaanzisha community yetu pia Tz
Kama unapenda ONE NIGHT STAND kama mimi,karibu sana PM
Kwa atakae penda tuanzishe community ya ONE NIGHT STAND pia nakaribisha mawazo PM
REMEMBER; play safe mates
NB: kama mpaka sasa hujui maana ya ONE NIGHT STAND nahisi hapa si mahala pako.
"We're captives of our own identity,living in prisons of our own creation".
Dah!.. too riskyHuo muda wa kupima hakuna. Ni kama mwanajeshi vitani
One Night Stand Maana yake nini?
Kuuliza sio Ujinga Bata Boy Official
ila Una Shobo Sana jamaa
Hahahahah dah
Gari kila siku zinapata ajali.... UMEACHA KUPANDA?Kuna cha kujifunza hapa
Nenda mwananyamala pale panaitwa kwa Wahaya utapiga one night stand mpaka hiyo mshine ioze.KUTONGOZANA kuna kera maana maneno ni yale yale kila siku tunatumia kuambiana
KU-DATE kunapoteza muda na pesa piaa
MAPENZI well hiki ni kipaji ama karama ya wachache..istoshe hata mfanyeje mtaachana tu
NDOA sasa hii ndo balaa....fumbo la enzi na enzii
kwa kifupi sio wote tunaweza kufanya au kujihusisha na vitu nilivovitaja hapo juu pengine sababu ya muda,malengo,umri,sababu binafsi..kama vile kutaka kuwa huru na kufanya mambo yako bila kero ama kuulizwa ulizwa na kupelekeshwa na mtu mwingine,na sababu nyingine nyingi.
ONE NIGHT STAND ina faida nyingi,ikiwemo ku kukutanisha na watu mbali mbali,kutibu hisia ambazo zingekupotezea muda kumuwaza EX,mpenzi ambae hajielewi,crush,au hata mtu wako kipenzi aliyefariki.....au maumivu ya mahusiano mbali mbali uliyopitia.
Napenda ONE NIGHT STAND mpaka natamani ningepata wadau kadhaa tukaanzisha community yetu pia Tz
Kama unapenda ONE NIGHT STAND kama mimi,karibu sana PM
Kwa atakae penda tuanzishe community ya ONE NIGHT STAND pia nakaribisha mawazo PM
REMEMBER; play safe mates
NB: kama mpaka sasa hujui maana ya ONE NIGHT STAND nahisi hapa si mahala pako.
"We're captives of our own identity,living in prisons of our own creation".
Kuna habari gani mpya hapa??Wangonokaji mnaitwa
Wanahalalisha one night stand hapaKuna habari gani mpya hapa??
Duh, ngono ni tamu sana kama mkikutana mnaopendana na ambao hamuongozwi na maslahi. mie simo tena nimejitoaWanahalalisha ngono hapa
One night stand iko poa japo ni risk sana. Me napendelea Friends with benefits, hakuna kugandana kama ruba. Umenimic nipgie kama nna time ni mwendo wa kuliwazana tu genye zikipanda tunasaula.