Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,764
Duh, ngono ni tamu sana kama mkikutana mnaopendana na ambao hamuongozwi na maslahi. mie simo tena nimejitoa
Duh, ngono ni tamu sana kama mkikutana mnaopendana na ambao hamuongozwi na maslahi. mie simo tena nimejitoa
Mkuu unaelewa maana halisi ya ONE NIGHT STAND kweliii???Nenda mwananyamala pale panaitwa kwa Wahaya utapiga one night stand mpaka hiyo mshine ioze.
Na lengo langu la kuanzisha huu uzi ni kupata watu wa aina hiyo,japo inakera kuona wengi wanajua ONE NIGHT STAND ni kununua MALAYA/CHANGUDOAHii WaTZ wengi hawawezi ila ni tamu sana ukimpata muelewa!
Kumbe Ngono sio kitu halali nlikua sijui..Wanahalalisha ngono hapa
Nafikiri tutaiita ONE NIGHT STAND THEORYHivi unapokuwa umemuona manzi mmoja mujaribu na ukaamua kuenda kumpigia nyeto kimoja tu ...hii nayo hatuwezi kuingiza kwenye one night stand...
Kwanini mkuu?Ni kitu siwezi fanya hata kwa bahati mbaya
Thanks mkuu....BRAVOOGari kila siku zinapata ajali.... UMEACHA KUPANDA?
Kila Siku watu huungua wakiwa wanapika... UMEACHA KUPIKA?
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Hahaha et "chapa ilale sitaki shoboo"....mkuu kuoa/kuolewa ni kitu cha ajabu sana ambacho kinatokea muda wowote pasipo kutegemea mpaka mwenyewe unabaki unashangaa hivi kweli mimi/fulani anaoa/anaolewa...ndoa achana nayo nothing can stop it kama ikiamua kutokeaHii nzuri sana tatizo moja ukizoea one night stand, huwezi kuishi na mume au mke utaona ni kero tena balaa maana ujazoea jam jam za ajabu ajabu
Asilimia kubwa ya vijana ke na me tunaowalazimisha waoe au waolewe mpaka familia zinaitana vikao ni wale waluozoea michezo hii ya chapa ilale sitaki shobo
bus stand ya mwendokasi ya usikuOne Night Stand Maana yake nini?
Kuuliza sio Ujinga Bata Boy Official
Nice,happy to hear that from you buddyNi mambo yangu kabisa haya
wewe ni ke/me?KUTONGOZANA kuna kera maana maneno ni yale yale kila siku tunatumia kuambiana
KU-DATE kunapoteza muda na pesa piaa
MAPENZI well hiki ni kipaji ama karama ya wachache..istoshe hata mfanyeje mtaachana tu
NDOA sasa hii ndo balaa....fumbo la enzi na enzii
kwa kifupi sio wote tunaweza kufanya au kujihusisha na vitu nilivovitaja hapo juu pengine sababu ya muda,malengo,umri,sababu binafsi..kama vile kutaka kuwa huru na kufanya mambo yako bila kero ama kuulizwa ulizwa na kupelekeshwa na mtu mwingine,na sababu nyingine nyingi.
ONE NIGHT STAND ina faida nyingi,ikiwemo ku kukutanisha na watu mbali mbali,kutibu hisia ambazo zingekupotezea muda kumuwaza EX,mpenzi ambae hajielewi,crush,au hata mtu wako kipenzi aliyefariki.....au maumivu ya mahusiano mbali mbali uliyopitia.
Napenda ONE NIGHT STAND mpaka natamani ningepata wadau kadhaa tukaanzisha community yetu pia Tz
Kama unapenda ONE NIGHT STAND kama mimi,karibu sana PM
Kwa atakae penda tuanzishe community ya ONE NIGHT STAND pia nakaribisha mawazo PM
REMEMBER; play safe mates
NB: kama mpaka sasa hujui maana ya ONE NIGHT STAND nahisi hapa si mahala pako.
"We're captives of our own identity,living in prisons of our own creation".
Bata"BOY"wewe ni ke/me?
ONE NIGHT STAND is even better coz there is no strings attachedI like friends with benefits
This is like kuopoa dem Bar tu, hamna tofauti kabisaONE NIGHT STAND is even better coz there is no strings attached
oooh sawa hii mambo tunawezaga wanaume player,wale walugaluga ndio huwa wanagandana na mwanamke alafu wanalialia oooh nimeomba hiki mara anapenda hela,kujumla mimi nikishapakua sufuria hunioni tena na simu nakublock kabisa.Bata"BOY"
Kama mtu anashindwa hata ku-google maana yake,huyo mtu hafai kwenye jamii ya ONE NIGHT STAND maana hii jamii inahitaji watu waelewa na wastaarabu sana pia(Highly Civilized people)Usiku mmoja uliosimama givi ndio manaa yake kiswahili
Ila hii one night acha tu
Unatafuta Mume kilazimabus stand ya mwendokasi ya usiku
Kwa sababu tuKwanini mkuu?
Basi wewe utakua mmoja kati ya watu wanaoshiriki vitu4 nlivovitaja juu kwenye uziKwa sababu tu