MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,582
- 30,035
Ninayo hiyo Line tokea mwaka 2012Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, 😋Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.
Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
Kwa Watanzania ningumu sana kuitumia hii ghalama zake ni juu sana