42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
May be hayupo online ila alisema zimeisha and zitakuwepo kuanzia tarehe 3... ukisoma post za huko juuJibu basi mkuu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app
May be hayupo online ila alisema zimeisha and zitakuwepo kuanzia tarehe 3... ukisoma post za huko juuJibu basi mkuu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Sasa kama hata screenshot tu unashindwa kutuwekea tutakuamini vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu basi mkuu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Ndo maana nimewachana watu kama hawa hapo juu, in short hana account ya Paypal, Ila anaisikia coz tumekua na mijadala mingi kuhusu Paypal humu JF!Ndo hapo sasa, wakati anaweza kuedit na kuficha izo transactation zake....muongo huyu
Yani huo ujinga wa Virtual card ya Vodacom ndio unaona umemaliza..Half knowledge mbaya sana, jielimishe kwanza watu wanataka nini ndio uanze kubisha ndugu.Mkuu Mimi nimekuelekeza tu kwa wahusika sahihi maana mpesa MasterCard ndio naitumia kwa manunuzi mengi ya online na PayPal naitumia nishafanya hivyo nikafanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo uelewe mdogo au ujuaji mwingi kununua au kuwa mbali kinahusiani na Mimi kuweka mbadala hapo?Yani huo ujinga wa Virtual card ya Vodacom ndio unaona umemaliza..Half knowledge mbaya sana, jielimishe kwanza watu wanataka nini ndio uanze kubisha ndugu.
Safaricom wapo mbali sana kwenye online transactions ndugu.Watu wanajua kwanini wanazinunua.
Asante mkuu,napata mzuka sana napoona vijana wanajitambua, bendera fata upepo tuYani huo ujinga wa Virtual card ya Vodacom ndio unaona umemaliza..Half knowledge mbaya sana, jielimishe kwanza watu wanataka nini ndio uanze kubisha ndugu.
Safaricom wapo mbali sana kwenye online transactions ndugu.Watu wanajua kwanini wanazinunua.
Nmekufatilia sana hoja zako mwisho wa siku nikaona kumbe bado una akiri za kitoto na nina mashaka na umri wako! Kwanza kabisa tupe screenshot ya huo muamala uliopokea pesa kutoka eBay kwenye account yako ya PayPal ya TZ uliyo link na hizo Vodacom MasterCard zako! Kuweka screenshot sio kazi sana acha visingizio vya kindezi eti unaogopa kuona transactions zako, tutakupa screenshot editor zipo ili ufiche details zako muhimu ambazo unahisi tutakuibia sijui , Shida yetu ni kuprove unachosema, tusibishane kwa maneno tu, Me nakupa screenshot ya transactions zangu za PayPal yangu na Miamala ya M-pesa ya Safaricom kama ukitaka... Watu kama nyinyi ndio mnaoharibu hii nchi na kurudisha nyuma maendeleo! Heri hata ungekua mchanga ungetumika kujenga barabara coz husaidii yeyote...Tatizo uelewe mdogo au ujuaji mwingi kununua au kuwa mbali kinahusiani na Mimi kuweka mbadala hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekufatilia sana hoja zako mwisho wa siku nikaona kumbe bado una akiri za kitoto na nina mashaka na umri wako! Kwanza kabisa tupe screenshot ya huo muamala uliopokea pesa kutoka eBay kwenye account yako ya PayPal ya TZ uliyo link na hizo Vodacom MasterCard zako! Kuweka screenshot sio kazi sana acha visingizio vya kindezi eti unaogopa kuona transactions zako, tutakupa screenshot editor zipo ili ufiche details zako muhimu ambazo unahisi tutakuibia sijui , Shida yetu ni kuprove unachosema, tusibishane kwa maneno tu, Me nakupa screenshot ya transactions zangu za PayPal yangu na Miamala ya M-pesa ya Safaricom kama ukitaka... Watu kama nyinyi ndio mnaoharibu hii nchi na kurudisha nyuma maendeleo! Heri hata ungekua mchanga ungetumika kujenga barabara coz husaidii yeyote...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekufatilia sana hoja zako mwisho wa siku nikaona kumbe bado una akiri za kitoto na nina mashaka na umri wako! Kwanza kabisa tupe screenshot ya huo muamala uliopokea pesa kutoka eBay kwenye account yako ya PayPal ya TZ uliyo link na hizo Vodacom MasterCard zako! Kuweka screenshot sio kazi sana acha visingizio vya kindezi eti unaogopa kuona transactions zako, tutakupa screenshot editor zipo ili ufiche details zako muhimu ambazo unahisi tutakuibia sijui , Shida yetu ni kuprove unachosema, tusibishane kwa maneno tu, Me nakupa screenshot ya transactions zangu za PayPal yangu na Miamala ya M-pesa ya Safaricom kama ukitaka... Watu kama nyinyi ndio mnaoharibu hii nchi na kurudisha nyuma maendeleo! Heri hata ungekua mchanga ungetumika kujenga barabara coz husaidii yeyote...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mpaka ananunua line ya safaricom ujue hizo mbadala za nchini anazijua na hazijakidhi matakwa yake.Tatizo uelewe mdogo au ujuaji mwingi kununua au kuwa mbali kinahusiani na Mimi kuweka mbadala hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usibishane nae sana atakupotezea muda wako, mchawi screenshot OG tu ya PayPal yake basssMtu mpaka ananunua line ya safaricom ujue hizo mbadala za nchini anazijua na hazijakidhi matakwa yake.
Unataka kufundisha watu Virtual MasterCard ya Voda? Hiyo yenye options 4 kwenye menu.Bado ina limitations nyingi kwa watumiaji wengi wa huduma za mtandaoni.
ONLINE PAYMENT TRANSACTIONS
AISEE KUMBEKama watz wengi hawana Account bank,hata ukiwa na account bank hakuna bank inayopokea pesa toka paypal
Kwa TZ ni sawa na kuchota maji ya kisima na kuyamwagia baharini mkuu! In short ni ngumu sana, usione watu tunaamua kuvuka boda kwamba tunapenda! Hapana ni mazingira tu sio rafiki...ONLINE PAYMENT TRANSACTIONS
Nmekufatilia sana hoja zako mwisho wa siku nikaona kumbe bado una akiri za kitoto na nina mashaka na umri wako! Kwanza kabisa tupe screenshot ya huo muamala uliopokea pesa kutoka eBay kwenye account yako ya PayPal ya TZ uliyo link na hizo Vodacom MasterCard zako! Kuweka screenshot sio kazi sana acha visingizio vya kindezi eti unaogopa kuona transactions zako, tutakupa screenshot editor zipo ili ufiche details zako muhimu ambazo unahisi tutakuibia sijui , Shida yetu ni kuprove unachosema, tusibishane kwa maneno tu, Me nakupa screenshot ya transactions zangu za PayPal yangu na Miamala ya M-pesa ya Safaricom kama ukitaka... Watu kama nyinyi ndio mnaoharibu hii nchi na kurudisha nyuma maendeleo! Heri hata ungekua mchanga ungetumika kujenga barabara coz husaidii yeyote...
Sent using Jamii Forums mobile app
ila kila mtu anajiongeza kulingana na uwezo wake mkuuKwa TZ ni sawa na kuchota maji ya kisima na kuyamwagia baharini mkuu! In short ni ngumu sana, usione watu tunaamua kuvuka boda kwamba tunapenda! Hapana ni mazingira tu sio rafiki...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kuverify account ya paypal na ninaitumiasiku hizi paypal hawakuitaji kuwa na Bank account ndo ui erify paypal account yako?
Nachomaanisha nkifungua paypal account as if nipo kenya hawatanidai account ya bank kui veirfy na what if wakiona unapokea hela nyingi kama hapo zamani wakakudai uwatumie ID yako au Bills zako za serikali zinazothibitisha location yako ulipo!
Unaweza link na Card ya Equity Bank na ikawa full Verified na limitless kupokea $, niliwahi kufanya ivo kwenye paypal acc yangu ya kwanza kabisa ya Kenya.... Lakini kwasasa mimi ni muda natumia ambayo haiko verified na inafanya kazi kama kawa...siku hizi paypal hawakuitaji kuwa na Bank account ndo ui erify paypal account yako?
Nachomaanisha nkifungua paypal account as if nipo kenya hawatanidai account ya bank kui veirfy na what if wakiona unapokea hela nyingi kama hapo zamani wakakudai uwatumie ID yako au Bills zako za serikali zinazothibitisha location yako ulipo!