Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Dadazake nakymbuka waliishia ugaibuni akaendanakurudi Dar kufungua studio sijui kama iko hai na hizi vat zetu loh
 
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....

Mama TARIMO NIko nae kimara

Alifiwa na mwanawe (UNO KAMAMNAMKUMBUKA)mwenye kuwiwa na mchango ani pm
 
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....

Umemaliza kabisa Dora ni pm basi jamani
 
Kuna dada mmoja nilikutana nae USA club akanichunia kama nimekujankujaza nafasi yake maskini nilikuwa nawashikaji nkawaambia nikiondoka mwambien nilikuwa transit nakujalikizo tu ingawa nilimpenda sikunyingi toka foro ila mama didy kashamaliza

Babake ni prof mnakumbuka

Cc THE BOSS
 
Embu tukumbushane jamani nani alikuwa anatabia ya wizi darasani hasa class A
 
Heeheee nimemkumbuka dada Clara august yupo
 
Niliambiwaga ni dk sijui waninii embu tuelezane tusijekaa muhimbili foleni kumbe kuna mates
 
Me nakumbuka nilikuwa nakopa sana ice cream kwa babu jinga then full kujificha kwenye manguzo yale ili asinione.
But nilivyo ingia standard 2 tukaamishwa wakadai shule inatakiwa kuwa kanisa.
 
Ingawa Nimetoka ila mwenyeshida na airport ya JNIA
Sio kupitisha mambo ya azania lakiinii

Aah

Hata porter nakusaidia ndio umuhimu wakuwa Huku
 
Me nakumbuka nilikuwa nakopa sana ice cream kwa babu jinga then full kujificha kwenye manguzo yale ili asinione.
But nilivyo ingia standard 2 tukaamishwa wakadai shule inatakiwa kuwa kanisa.

Aiseee yaaniii ulivyotajaaa hiyooo bikakukumbuka ulivyokuwa unapishana kuwakimbia makonda usilipennauli kumbe zimeishia kwenye mihogopale chini
 
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....

Umemaliza ila umemmisi mamayetu

RIP MWL MANONI
Mungu ampe rehema zake huko uliko
 
Yaani tunapoelekeeeaaaa


hizi RIP

Zitakuwa kama habari ya saizi umeamkaje


MUNGU Atunusuru jamani hivi kwenye hiki kizazi

Akuna hata Pastor atukaribishe kanisan kwake ila akikisha uko na airtrlell mny nantigopesa
 
Hongera mliokula chumvi zenu..

Hivi hiyo Forodhani si ndo sasa hivi ni.St. Joseph Millenium iliyorudishwa na Serikali kwa Kanisa..?

Sasa hivi imekuwa Bonge ya shule

Jamani umenikumbusha mbali Mkuu, Maana ilikuwa eniglish medium school kati ya chache zilizouwepoo wengine tulisoma Forodhani Secondary na hilo jina St Joseph ndio lilikuwa jina lae la kabla ya uchukuliwa a sereali na bado I ikwa na ubora wake. Sare za shule zilikuwa zinatoka Italy. Walimu wakifundisha w moyo. Fursa sawa kwa wote! Mhhh jamani makiwa.
 
Back
Top Bottom