Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,877
pdidy kina neema na rehema wapo. Wapi?
hivi damian luena nae yupo kakayangu nimemmis kweli???
pdidy kina neema na rehema wapo. Wapi?
Dah..sad..
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....
Me nakumbuka nilikuwa nakopa sana ice cream kwa babu jinga then full kujificha kwenye manguzo yale ili asinione.
But nilivyo ingia standard 2 tukaamishwa wakadai shule inatakiwa kuwa kanisa.
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....
Hongera mliokula chumvi zenu..
Hivi hiyo Forodhani si ndo sasa hivi ni.St. Joseph Millenium iliyorudishwa na Serikali kwa Kanisa..?
Sasa hivi imekuwa Bonge ya shule
Umemaliza ila umemmisi mamayetu
RIP MWL MANONI
Mungu rehema zake huko uliko
Mama TARIMO NIko nae kimara
Alifiwa na mwanawe (UNO KAMAMNAMKUMBUKA)mwenye kuwiwa na mchango ani pm