Dah, maskini. RIP mwl Manoni.
RIP Uno. Alikuwa classmate wangu. Alifariki lini Pdidy?
@,,,, the boss .....damian luena yuko states ila anakujaga bongo, juzi uhamiaji nlikutana na elias uisso au kide unamkumbuka
The master tena mzee wa ngumizisizo na ridhaa
Yupo hopefully....ametulia mpakaraha ...siunakumbuka thosedays usimuuzikidogo Loh..m nilikuwa namwogopa kama shuleza academy(zilivyogali)
ila unamkumbuka walter mazula dah jamaa alikuwa mshkaji ila walufanyiwa kitu mbaya yeye na mke wake huko states waliuliwa kinyamaaa...r.I.p walter nakumbuka snce school alitaka kuwa pilot kma dingi yake
pole sana pdidy.....tuko pamoja aise
tija juma uko wapi wewe.......mudy elmamry, peter pakata, kuna dem alikuwa ana akili sana anaitwa janet kamara, lotti mollel uko wapi maana tuliskia umemuoaaa mtoto wa lowasaa kwikwikwi yaani jamaa cjui wamepotelea wapi
dah tulipiga sanaaa ngoma na filimbi hahaha ir was fun alafu kuna ticha alikuwa kasimamaa balaaa anaitwa mwalimu nasari, mwalimu manyamaaa nawasilianaa naye mpakaaa leoooo mm skul nilikuwa mtundu basi mwalimu manyama mpaka akajaa kusema kwa maza wacha nichezeew bakoraaaa...alafu na yule sistawa kipindi cha uahonaji alikuaa mfupi alikuwa anafinyaaaaa balaaaa alinifanyaa mpaka nikajuaa kushona wakati tunamaliza darasa la sabaaa kila mtu alipewa begi lake aliloshonaaa mqwnyewe
ila unamkumbuka walter mazula dah jamaa alikuwa mshkaji ila walufanyiwa kitu mbaya yeye na mke wake huko states waliuliwa kinyamaaa...r.I.p walter nakumbuka snce school alitaka kuwa pilot kma dingi yake
@,,,, the boss .....damian luena yuko states ila anakujaga bongo, juzi uhamiaji nlikutana na elias uisso au kide unamkumbuka
dah tulipiga sanaaa ngoma na filimbi hahaha ir was fun alafu kuna ticha alikuwa kasimamaa balaaa anaitwa mwalimu nasari, mwalimu manyamaaa nawasilianaa naye mpakaaa leoooo mm skul nilikuwa mtundu basi mwalimu manyama mpaka akajaa kusema kwa maza wacha nichezeew bakoraaaa...alafu na yule sistawa kipindi cha uahonaji alikuaa mfupi alikuwa anafinyaaaaa balaaaa alinifanyaa mpaka nikajuaa kushona wakati tunamaliza darasa la sabaaa kila mtu alipewa begi lake aliloshonaaa mqwnyewe
Huyo Damian alikuwa kaka yake na Rose Luena???nae alisoma forodhani
Mna kumbukumbu nzuri sana. Mimi nilimaliza std 7A hapo mwaka 1988. Ngoja nione km nami nitakumbuka japo wachache. Tulikuwa na Uno Tarimo (RIP) Lenguyana leandri, Albogast Njuu, Ngao Sambera (RIP) Laurian Thadeus , Irene Noa, Tina Riwa, John Riwa, Esuvat Molel na twin wake Nengai (B), Hilda Karau,Joyce Matumula, Milen Ringo, Goa digalo, Hamza Juma, Hidaya (mtoto wa mwl Mohamed) Neema, Jane Panja, Pamela charles, Edward Chelangwa, Bhoke Matiku.
wengine wa madarasa mengine; Nengai king'ori, Wito Shelukindo, Norma Mushema, Ahmed Elmaamary, Sioi Solomon( huyu ndo kaoa binti Lowasa) Rogate Matumla(1986) Sumitra, Japhet Kirita, Carol Kirita, Lulu January . Hao baadhi ya wanafunzi nawakumbuka.
Sr. Edigara ametusaidia sn kushona kwakweli, mwl JJ masiga, mwl Tarimo, Msaki, Barongo(RIP) , Mama Mbuya. Yote tisa kumi ni Pale tulipokuwa tunapangwa barabarani wanapokuja viongozi wageni. Au tulupokuwa tunasikia ving'ora vya magari yanayopitisha watuhumiwa wa kesi ya uhaini tulikua tunavisikia sn. Pia kulikua na mambo ya chipukizi, kina Denis Tairo km sikosei walikuwa viongozi. Ile school band ndo usiseme. Mwaka 1984 nakumbuka tulikua tunapewa maziwa , yaani ilikua raha tupu kwakweli.