Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

You are not serious!

Can you tell me all who live at Tandika they havenot phone?

Btw, uwe na jioni njema + usiku mwema!

Anaogoppa. Kutongozwa uzeeni

Ulimkosa primary aje kuiachia. Leo tandika lo hata mie siji Labda sogeasogea urafiki nimtiemoyo aje
 
unawakumbuka neema na rehema wale twins dah walisumbuaaaa sana shule wakati kuingiza verse huwezi domo zege mtu ila knw days watoto ahhh balaaaa

Wale awakusumbua wallikuwawanagawa kwa kuangalia ukitoka getini unaondoka na gari ama unaenda kulebaharini Kula urojo

Ungekuwa umemwomba hatamjombawako akuchukue mwezimzima nagari ungepita sema thosedays wakina

Pakata peter

Alex kitomari

Steven msaki

Na wachache ndiowalikuwawanapishana na magari getini sie mpaka ule mihogo umalize nauli kumwomba konda awakuitaji shida za ujanani ingawa walipo sasas wanasikiia jotoyjiwe
 
Hivi Steven yuko wapi now days nilimwonaga bar moja topgarage yuko njwaa anarushiana maneno na mkeeewe saa Saba maskinii huku vidosho vingine vinashangilia pembeni Steve mpehuyo mpe akalale asubiri cha nyumbani
He
Sikuelewa cha Nyumbani kipi
Ugeninii kikoje
 

Oohh Sosad

Mamangina
 
Aisee. so sad. Alikuwa mtundu sana tukiwa shule. Mamayake alihangaika nae sana. RIP

Sanasanaa alikaribiakumfanyamamake awe mwehu hata

sayansikimu alikuwa anafundisha huku anawazamwanae maskini
 

Mmmh we utakuwa ulichapa walimuwetu Loh
Ngoja nisave hili jina nisisuthubutu kunijibu
Sallimiaa familia
 
Pole sana Pdidy

Thx vyangu

Ningetamani huu umoja tuwenao kwenye shida Raha

PENGINE kuna wanaotafutakuolewa Bado kupitia umoja huu wakakutana na wenzetu walioachika tukafanya mixer ya maanaa

Usingle shuguli jamani asikwambienmtu
 
Kwanzaa nawashukuru walioniombea Nimefika ssalama arusha

leo nataraji kumuaga dadayangu mtmeru hosp
tumpeleke marangu kwenye nyumbayakeyamilee Bado na long jny

Pole na msiba mkuu.
 
Kuna rumors Assenga aligongwa na njemba moja hv mwanafunzi. Jamaa alikuwa jibaa kishenzi. Darasa alilokiwa anasoma ni lile karibu na wauza chips karibu na vyoo vya kiume.


The king.

hiyo rumor hata sijui,nilianza shule mdogo aisee,na nlipotoka pia nilikuwa bado kwa kweli,nlimaliza na 14yrs.
 

umeni kumbusha mbali sana sanaaaa mwl mbazigwa alikuwa mwanaharakati wa ukweli alikuwa anajua kuhamisha mambo duh umeni furahisha sanaa ndomana nmeuleta uzi huu tuzidi kumbashana
 
una msema steven msaki...steve yupo tuna wasiliana hadi leo yupo mbezi beach
 
steven msaki alikuwa na mdogo wake pricela msaki, kuna jamaa alikuwa anaitwa jerry mbwile jerry alikuwa ana mzengea precela dah steve alikuwa ana mmind jerry kna siku tuna rudi home wacha steve amzingue jerry.....nomaaaaa@....pdidy
 
Naniliona unamrushiaga madongokama mkweo ndiomana naogopakujibu mtu ovyo ata akiniuzi navumilia

Lo

daah na kweli mkuu inabidi uwe na ustahamilivu,,,kuna watu wazima sana humu sema na wao wanavyojitoa ufahamu sasa!!
 

kwikwikwi mimi nilikuwa mzee wa lifti tu nkikosa lifti napanda uda au chai maharage.......
 
steven msaki alikuwa na mdogo wake pricela msaki, kuna jamaa alikuwa anaitwa jerry mbwile jerry alikuwa ana mzengea precela dah steve alikuwa ana mmind jerry kna siku tuna rudi home wacha steve amzingue jerry.....nomaaaaa@....pdidy

Yule yuko USA

Kama ni Yule dada yakekembamba kazuriiiiiiiiiiii kama uaalawaridiiiiii
 
daah na kweli mkuu inabidi uwe na ustahamilivu,,,kuna watu wazima sana humu sema na wao wanavyojitoa ufahamu sasa!!

Nimeshawahi kumtukana Bosi humundani hatahamu sina

Bahati ananijua ila akatengenezajinala kijf weee

Nikampa sikjmoja akanipm anacheka akatuma dongo

Hatamimi
Rgds
DG

weee. Humu siko
 

Neema na rehema...wako wapi siku hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…