FrankMakeps
Member
- Apr 1, 2013
- 93
- 70
Mimi huwa nakuta shuka analotandika kitandani limefungwa pande zote ili lisichomoke. Kwahiyo akilala akiamka hamna haja ya kutandika.
Vingine navikuta kama vilivyo, hagusi kitu zaidi ya anapokaa aangalie TV. Hapiki hata chai hadi mbwa anawanunulia chakula.