Kwa walioolewa: Ulikutaje Nyumba au Chumba chako uliporudi kutoka Safari ambayo ulienda peke yako bila Mwenza?

Mwaka Jana nilisafiri masika nkaenda kulima bush, basi nkakaa kama wiki mbili, Ile narudi usiku nimechoka balaa nikajitupa kitandani na viatu nkaanza kuota kama nipo mtoni naskia sauti za vyura, ila Ile sauti ikawa kama inatokea kichwani mwangu, dakika Moja nyingi nkakurupuka Kumbe frog yupo chini ya kitanda.

Yaani wenge lote la usingizi likakata nikawa najiuliza kaingilia wapi au ni wa kutumwa, nikagundua alipitia chini ya mlango palipokuwa na uwazi.

Sasa mawazo yakazidi kuwa kama kaingia chura, nyoka atashindwaje, nikatoka nikaenda lala Kwa mshkaji kesho yake nikafanya famigesheni huwezi amini Ili kuwa kama zoo ya wadudu maana walitoka wengine hata siwafahamu.
Mwanaume mzima unaogopa chura ati nikaenda kulala kwa mshikaji,
Huna hata aibu!
 
Kabisaa Kal....na hongera pia ...
Jmn Nina 2 ex's🤣
Mmoja mseminary ,alooo mpk shidaa sio uwa usafi ule ..
Huyu mwingine ni mkaka tu very smart yaani
Anafua,anadeki ,anapanga vitu ,alooo
🙌🙌🙌
Thanx dia...yani ni hatari...wakati tumeanza kudate....ukiiingia room yake mpk unashangaa kila kitu kiko kwenye mpangilio...kitanda sasa kimetandikwa kimenyookaaa..anasema shule ilikua ukikutwa hujapangilia cube yako unayolala hyo adhabu yake sio ya kitoto...
 
Mi sio msafi sana wala mpangiliaji wa vitu ila siwezi kojoa na kujaza mikojo ktk chupa, sipendi harufu ya uvundo, sipendi choo kiwe na harufu, shuka sipendi liwe chafu maana ntaota ndoto za ajabu na mafua makali
 
Nilikaa Uzazi Miezi Miwili kasoro, nilikuta Nguo chafu, Shuka hajabadilisha na anaumwa Typhoid
Nimekuita hii comment JF wameipost Insta. Nimecheka kisenge ikabidi nije niitafute huku🤣🤣🤣🤣
20240125_232357.jpg
 
Acheni uchafu kwa Kisingizio cha Uanaume. Tulioolewa na Waseminari hii kitu hawana, yaani kila kitu kimenyooka, ustaarabu kila mahali.
Kwa kweli Mimi uchafu sipendi lakini inategemea na mazingira niliyopo, kwa sasa Niko peke yangu, nyumba inakuwa Safi nje ndani lakini suala la kuoga ni Mara moja kwa siku, nikikoga asubuhi ndio imeisha hiyo, nikirudi najitupa tu kama gunia la mbatata, Sina wa kunikera ya nini kujipa shida zote utafikiri nafuga majini kulala kwa masharti lazima ukoge ndio upate usingizi, nikiwa na mwenzangu nitakoga kwa sababu sipendi kukerana na mtu kwa majasho yangu lakini nikiwa mwenyewe najiachia tu si Niko kwangu?
 
Toka nilivyoweka neti mwezi wa 11 baada ya mbu kuanza. Sijaichomoa tena
Mm sio mpangiliaji mzuri wa vitu ila napenda vitu viwe katika mpangilio. Yaani apangilie mtu mwingine
dah wee jamaa hatari, Mimi naweza kuiwacha nisiioshe hata miezi sita lakini kuchomoa nachomoa Kila siku, sema unaonekana wewe ni mvivu sio mchafu, yaani kuchomoa tu net unashindwa? Mimi huwa sipendi ile harufu yake nikiamka kwahiyo ili nikirudi usiku nisiisikie inabidi nikiamka tu nichomoe, sema kwangu Mimi hakuna mbu kivile sikumbuki miezi mingapi imepita sijachomekea neti
 
Kama ulikuabna mke akawa anafanya usafi akiwa hayupo hutaweza kufanya kama yeye usafi tunaojiringishia sisi wanaume ni ule usafi wa kuosha vyombo vyote hata ambavyo sio vichafu nakuweka kwenye beseni 1 kutafuta kijiko ndio shuhuli.

Au kifua nguo na kulundika kama mnadani ukitaka kutoka ndio unanyoosha unasepa

Nishabaki mwenyewe nilijitahidi kwenye usafi ila wapi nikikom\a na huku nafeli kule
Naosha vyombo nashindwa kupanga hivyo kuepuka usumbufu wa kutafuta nachukua kilichopo karibu naosha natumia, naweza tumia vyote af ndio nikaviosha tena

Nilikua nafua mashuka na nguo zote ila naweka kitandani naweka na begi ili nizikunje ila inakua ni mwendo wa leo jioni, kesho asubuhi hivyo hadi nikawa nalala katikati upande wa ukutani naweka nguo safi na upande mwingine chafu

Hichi ni kipindi najiona nilikua msafi sasa wakati nikiwa mchafu mhh hadi aibu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Demu wangu akija geto huwa anakuta kusafiiiiiiiii..mpaka huwa nawaza huwa anafirikira nini??sjui ashajua kuwa huwa anakuja demu wangu mwingine kufanya usafi??btw nina mademu watatu.
 
Mimi sio mchafu lakini ni disorganized haswa. Nashukuru nilipata mwanamke ambaye ni organized.
Nilivompeleka kwa wazee mara ya kwanza, maza alimuuliza wazi, umewezaje ku deal na how disorganized this nigga is?

Actually mojawapo ya vitu naenjoy kwa mama chanja ni hicho. Tumegawana, yeye kazi za kutumia nguvu nyingi hafanyi, mimi huko ndio nyumbani.
Huyo ni kama demu angu tu..yaani akitimba magetoni hata akikuta nimesafisha anaanza kusafisha upya,na kupanga vitu upyaa..namkubali sana kwa kipengele hicho
 
Kwa kweli Mimi uchafu sipendi lakini inategemea na mazingira niliyopo, kwa sasa Niko peke yangu, nyumba inakuwa Safi nje ndani lakini suala la kuoga ni Mara moja kwa siku, nikikoga asubuhi ndio imeisha hiyo, nikirudi najitupa tu kama gunia la mbatata, Sina wa kunikera ya nini kujipa shida zote utafikiri nafuga majini kulala kwa masharti lazima ukoge ndio upate usingizi, nikiwa na mwenzangu nitakoga kwa sababu sipendi kukerana na mtu kwa majasho yangu lakini nikiwa mwenyewe najiachia tu si Niko kwangu?
Humkeri mtu tajiri... 😆 😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom