stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Miaka26? Unajiona mdogo? wakati wenzio wameoa wakiwa primary!jamani mimi nna mpango wa kuoa mwaka huu ila nina miaka 26. je nimewahi au?? maana naogopa
Miaka26? Unajiona mdogo? wakati wenzio wameoa wakiwa primary!jamani mimi nna mpango wa kuoa mwaka huu ila nina miaka 26. je nimewahi au?? maana naogopa
Acha mawazo finyu wewe! Ukute upo umejilaza kwenye kochi la shemejio unasubiri hela ya mboga halafu unakatisha wenzako tamaa!Oa tu mkuu ili uanze kuzoea mapema changamoto za ndoa mfano kuchapiwa na ma-ex wa mkeo,mabosi wake,bodaboda wanaomfichia siri za kupelekwa kuchepuka,wale waliowahi mla 0713.. ili nao wasitoe siri n.k.

Acha kuwa dhaifu nawewe namna hiyo! Unadhalilisha uanaume wako wewe jiamini!daah Mkuu umenimaliza kwa kweli. ila huyu mwanamke nipo nae mwaka wa nne sasa. ila maneno yako yamenigisa sana mkuu.. umeongea ukweli flani hvi mchungu sana. ila sasa tutafanyaje!! yaani hapo ulipotaja mabosi zake mdio umenikoroga maana nature ya kazi yake ni balaa. anafanya zile kazi za mguu upande mguu usawa. si balaa hilo mkuu
Karibu princess. Siku nikikuudhi pia useme eeh .I'm only humanHahahaha Daby unanifurahishaga
Iko hivyo mkuu una weza kukuta KE kufuli Lake lime lock,uka fungwa ndo ukawa kama ume wasafishia njia wenzio wakija hawapati kazi Wana kula kilaini kisa kichwani hamna kitu....Binafsi ndo huwa cha kwanza kumuangalia KE
Atakuwa huwa anachepuka huyoMm nko mbion mkuu Ila tatzo yeye kupima hatak anadai nikienda kupima nipime pia kwa niaba yake
Lakini sasa!!!Mi natamani ningeolewa wakati niko miaka 18
Mume angenikuta mlango una kufuli![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu mim nilioa nikiwa 17. Nilipofikisha 22 nikaongeza. 26 tena nikaongeza mwingine hapa nafanya namna niongeze mwingine.
Msinishangae ni kawaida yetu malaiguanan kuvuta majiko mengi.


.......ni yule ambae anakusumbua sana kule pm?
Haha eeh mkuuHuyo mwingine unamuongeza kutoka hapa JF mkuu?.......ni yule ambae anakusumbua sana kule pm?
![]()
Wanaume wa siku hizi Hawa angalii kama mlango una kufuli Wana angalia je ubongo una fanya kazi ipasavyo.....na siyo dhambi kuolewa kama huna kufuli...
Binafsi ndo huwa cha kwanza kumuangalia KE

Watakuwa wakwe zako sio?yaaani utawakamatia watoto wao sasaMliowahi kuoa mlidhani wanawake watakwisha. Sasa mmepigwa na butwaa kitaa kuna totoz kali na nyie mmeshajipiga pini na vi bibi vizee! Mtuwache turinge sie ambao tumechelewa kuoa. In the end of the day tunakamata totoz kali zaidi yenu.
Mlango upi???wa geti au sebuleni??mfy.uu.uuMi natamani ningeolewa wakati niko miaka 18
Mume angenikuta mlango una kufuli![]()
![]()
![]()
![]()

Neema itawaleOky Daby cku ukiniudhiiiii ntakwambia .![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mi natamani ningeolewa wakati niko miaka 18
Mume angenikuta mlango una kufuli![]()
![]()
![]()
![]()
Khaaaa umekuwa mswatiMkuu mim nilioa nikiwa 17. Nilipofikisha 22 nikaongeza. 26 tena nikaongeza mwingine hapa nafanya namna niongeze mwingine.
Msinishangae ni kawaida yetu malaiguanan kuvuta majiko mengi.