Kwa wale waliooa mapema kabisa tupongezane

Kwa wale waliooa mapema kabisa tupongezane

jamani mimi nna mpango wa kuoa mwaka huu ila nina miaka 26. je nimewahi au?? maana naogopa
 
jamani mimi nna mpango wa kuoa mwaka huu ila nina miaka 26. je nimewahi au?? maana naogopa
Huja chelewa wala huja wahi, tatizo ni Malengo yako. .....unajiona wapi baada ya miaka 5 mbele, je hiyo ndoa itakusaidia kufikisha Malengo au itakurudisha nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom