Kwa wale waliooa mapema kabisa tupongezane

Kwa wale waliooa mapema kabisa tupongezane

Oa tu mkuu ili uanze kuzoea mapema changamoto za ndoa mfano kuchapiwa na ma-ex wa mkeo,mabosi wake,bodaboda wanaomfichia siri za kupelekwa kuchepuka,wale waliowahi mla 0713.. ili nao wasitoe siri n.k.
daah mkuu umetisha sana
 
Mliowahi kuoa mlidhani wanawake watakwisha. Sasa mmepigwa na butwaa kitaa kuna totoz kali na nyie mmeshajipiga pini na vi bibi vizee! Mtuwache turinge sie ambao tumechelewa kuoa. In the end of the day tunakamata totoz kali zaidi yenu.
Weeee kweli nyumbu unataka ufananishe na mabinti wa sasa na wazamani......

Hii inaonyesha we nimshamba kiasi gani

Nyie ndo wale mnaochunwa mpk mnabaki na boxer shenzi type
 
Mliowahi kuoa mlidhani wanawake watakwisha. Sasa mmepigwa na butwaa kitaa kuna totoz kali na nyie mmeshajipiga pini na vi bibi vizee! Mtuwache turinge sie ambao tumechelewa kuoa. In the end of the day tunakamata totoz kali zaidi yenu.
Totoz kali zinagegedwa na watu wenye mishiko haijarishi umeowa au haujaoa cha muhimu kwao ni kumeet demand zao tu.
Acha kukariri tena wanawake wanawapenda zaidi wanaume walioowa huwa sijui sababu halisi ni ipi.
 
Mkuu mim nilioa nikiwa 17. Nilipofikisha 22 nikaongeza. 26 tena nikaongeza mwingine hapa nafanya namna niongeze mwingine.

Msinishangae ni kawaida yetu malaiguanan kuvuta majiko mengi.
Keiyaa
 
hongereni . kwa sasa ndo tunatafuta wake wa kutulia nao
 
Wanaume wa siku hizi Hawa angalii kama mlango una kufuli Wana angalia je ubongo una fanya kazi ipasavyo.....na siyo dhambi kuolewa kama huna kufuli...
Binafsi ndo huwa cha kwanza kumuangalia KE
 
Mliowahi kuoa mlidhani wanawake watakwisha. Sasa mmepigwa na butwaa kitaa kuna totoz kali na nyie mmeshajipiga pini na vi bibi vizee! Mtuwache turinge sie ambao tumechelewa kuoa. In the end of the day tunakamata totoz kali zaidi yenu.
Nyama ni ileile tofauti yake ni bucha tu! Hao wakali watakuliza usije ukarudishwa mkoani kwenu kilo2 umepigwa nepi! Cheza kwa stepu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom