Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Mkuu mim nilioa nikiwa 17. Nilipofikisha 22 nikaongeza. 26 tena nikaongeza mwingine hapa nafanya namna niongeze mwingine.
Msinishangae ni kawaida yetu malaiguanan kuvuta majiko mengi.
Haha, hongera Daby.




