Kwa wale ndugu zangu wa Iringa

Kwa wale ndugu zangu wa Iringa

MALyusajr unataka kujenga mazingira ya kula shekeli yangu eeh
Ha ha ha,shekeli lazima nile bana,mali za kutoka mkoa ule ni waaminifu sana,wanajituma kufanya kazi kama wanaume vile,lazima nidai changu mapemaaa,au ulidhani hana kaka kwao??
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha,shekeli lazima nile bana,mali za kutoka mkoa ule ni waaminifu sana,wanajituma kufanya kazi kama wanaume vile,lazima nidai changu mapemaaa,au ulidhani hana kaka kwao??

Makaka, wajomba na babamdogo wa kukutana dalisalama wapigaji tu
 
Pole itafute hiyo hapoooo

Mimi tena subiri utaona, hayo mamichemsho ni matam hatari halafu ni afya tupu, unadhani kikiondelewa hicho kichwa hapo kuna atakayejua kuwa huyo ni koko?
 
Hili swali umeuliza ukiwa na viroba vingapi kichwani?

Watu weusi kama mkaa tutakuwaje na udugu na wachina?

Upumule uveve!!!!!

Hakuwa na maana hiyo lakini
 
Ni Kongo hiyo. Ipo video yake utube ikionesha wakiwatengeneza na kuwala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom