Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,148
- 124,753
watu wa njombe wanajulikana tu
Wanajulikanaje?
watu wa njombe wanajulikana tu
Wanachonifurahisha Zaidi Ni Kwamba Dada Zetu wa Huu Mkoa Hawakupi KIGEGEDO a.k.a PAPUCHI Hadi Umpige Mtama Na Wamenipa Sana Makovu Ya Ugoko na Magotini. Unatakiwa Ufanye Kama Vile Wale Wacheza SUMO!
be mwagito umnyalupuva veve!
kitoweo hakitakiwi kulowa maji ya mvua!
Wanajulikanaje?
Hahaaa hebu muwawache wapumue hawa majirani zangu. Namshukuru Mungu tumegawana mikoa....enzi hizo ukisema natokea Iringa utasikia ndo ninyi mnakula mbwa? Aaargh.....nilikuwa nakereka kweli
Zingekuwa zinatolewa zawadi za kucheka wallah leo ningepata...khaaa raha sanaWanachonifurahisha Zaidi Ni Kwamba Dada Zetu wa Huu Mkoa Hawakupi KIGEGEDO a.k.a PAPUCHI Hadi Umpige Mtama Na Wamenipa Sana Makovu Ya Ugoko na Magotini. Unatakiwa Ufanye Kama Vile Wale Wacheza SUMO!
soma hapa halafu nikuulize swali
Niulize....
Katavi... ???
mkoa gani umetenganishwa na iringa ??
Simiyu...
aiseee sawa sasa wewe ni mapembele au gonewao
'mapembele', 'gonewao' . Siyajui maneno haya
Hahaaa hebu muwawache wapumue hawa majirani zangu. Namshukuru Mungu tumegawana mikoa....enzi hizo ukisema natokea Iringa utasikia ndo ninyi mnakula mbwa? Aaargh.....nilikuwa nakereka kweli