Kwa wale ndugu zangu wa Iringa

Kwa wale ndugu zangu wa Iringa

mshana jr umewasahu wazaramo wa kichina nao ni balaa kwa hicho kitowewo....
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa hebu muwawache wapumue hawa majirani zangu. Namshukuru Mungu tumegawana mikoa....enzi hizo ukisema natokea Iringa utasikia ndo ninyi mnakula mbwa? Aaargh.....nilikuwa nakereka kweli
KHeee bhee,kumbe Khantwe tunatoka sehemu moja kule mkoa wa asali na maziwa??? Basi kuna wengi wa kuwadai mahali humu nikianza na Mshana jr,hujifanya shemej shemej sanaa
 
KHeee bhee,kumbe Khantwe tunatoka sehemu moja kule mkoa wa asali na maziwa??? Basi kuna wengi wa kuwadai mahali humu nikianza na Mshana jr,hujifanya shemej shemej sanaa
MALyusajr unataka kujenga mazingira ya kula shekeli yangu eeh
 
Last edited by a moderator:
KHeee bhee,kumbe Khantwe tunatoka sehemu moja kule mkoa wa asali na maziwa??? Basi kuna wengi wa kuwadai mahali humu nikianza na Mshana jr,hujifanya shemej shemej sanaa

We dai tu kakaangu haki yako
 

ImageUploadedByJamiiForums1413187422.964433.jpg ndio supu tayar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom