Hiki kitoweo wanakiheshimu mno ndugu zangu wahehe
pole sana mkuu..hahahaaaaaaMtuwacheeeeeeeeee!!
Aaagh,
Weka na za wachina basi!
mshana jr kuna eneo moja niliwahi fika kule na kufuatilia hizi habari na kweli zilikuwepo kwa wingi sana ila kwa sasa ni watu wachache mno,pia nilipata kuambiwa kuwa kuna baadhi ya maeneo walikuwa wanakula hadi paka.
Nilistaajabu sana aisee
vunjajungu... Be mwagito....!!!be mwagito umnyalupuva veve!
hahahaaaaaaaaaaaaaaa,umeonaeee matendo yao si tofauti sana,sema wahehe wanahasira za kukatisha maisha yaoWatakuwa na vinasaba na wachina hawa
Hahaaa hebu muwawache wapumue hawa majirani zangu. Namshukuru Mungu tumegawana mikoa....enzi hizo ukisema natokea Iringa utasikia ndo ninyi mnakula mbwa? Aaargh.....nilikuwa nakereka kweli
Hahaaa hebu muwawache wapumue hawa majirani zangu. Namshukuru Mungu tumegawana mikoa....enzi hizo ukisema natokea Iringa utasikia ndo ninyi mnakula mbwa? Aaargh.....nilikuwa nakereka kweli
mshana jr kuna eneo moja niliwahi fika kule na kufuatilia hizi habari na kweli zilikuwepo kwa wingi sana ila kwa sasa ni watu wachache mno,pia nilipata kuambiwa kuwa kuna baadhi ya maeneo walikuwa wanakula hadi paka.
Nilistaajabu sana aisee
Wanachonifurahisha Zaidi Ni Kwamba Dada Zetu wa Huu Mkoa Hawakupi KIGEGEDO a.k.a PAPUCHI Hadi Umpige Mtama Na Wamenipa Sana Makovu Ya Ugoko na Magotini. Unatakiwa Ufanye Kama Vile Wale Wacheza SUMO!