Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
hahahhhhNa uzee ule naanzaje kumbadilisha shost!! Yule ni changamoto, Kunguru hafugiki
hahahhhhNa uzee ule naanzaje kumbadilisha shost!! Yule ni changamoto, Kunguru hafugiki
Unaona eehHehehehe wife nae alikuwa busy na mchepuko
I heard ur very gud wit .....Unaona eeh
Dhuuu!!! Pole madam
Kuna huwa wanabahatka
Na kudharau hyo bahat
Kukukumbuka n lazma
Tena atakuja kulia machoz
Ya dam ile wakay atakumbuka
Shuka kumekucha
Wanaume n wachacge sana
Tunaojua thaman ya wake zetu
Gud wit wat?I heard ur very gud wit .....
Viuno..Gud wit wat?
Wife Nayeye simu yake ilikua attention Kwa mchepuko wake, saa nane pia huko pia mchepuko wako alimuuliza hus wake "umeshakula cha mchana"?Ilikuwa ni research ndogo. Nipo kazini mida ya saa tano. Nachukua simu yangu ya kiganjani naandika ujumbe...'Hi baby, niko busy sana, naomba saa saba unishtue niende lunch. Mis u already'. Baada ya kuandika hivyo, natuma ujumbe huu kwenda kwenye number mbili. Moja ya wife, ya pili ni mchepuko. Guess what!!!!! Saa saba on dot, simu inaita. Kuangalia ni mchepuko. Nikapokea nikaambiwa nikale. Naenda kula huku attention yote ikiwa kwenye simu, nijue my wife wangu kachelewa kwa dakika ngapi. Nimekula, nimemaliza, nimerudi ofisini naanza kazi, still attention ipo kwenye simu. Saa nane na nusu inainggia msg.....'umeshakula?'. Wakezetu badilikeni jamani.
Jiangalie mlipojikwaaYawezekana ni kweli. Lakini nilifanya hivyo almost a week, na siku zote hizo matokeo ni more or less the same. Siku nyingine ni mpaka narudi home.
Koh kohSasa unaonaje uje kwangu ninaejali hisia zako?
Hahahahaaaa!hapana tulishaachana, yaani nilimshindwa..nilifanya kila njia ya kumuonyesha mapenzi ya dhati lkn hakubadilika..nikaona basi ngoja niwaachie wengine labda wamenizidi maujuzi..
Swali la msingi sana hili.simu yako haina kijisehemu ya reminder?
Yaani sijui kwanini watu wanatumia mihemko kwenye hili jambo. Matokeo yake wanakuwa blind kabisa. Point iko wazi kama paja la kahaba, lakini emotions zime- blind kilakitu. Mtu ana-comment mpaka unajiuliza.....huyu kasoma uzi kweli!!!!. Nimeamua kukaa pembeni tu n enjoy comments.Mbona sababu za huyu mdau kuwa na mchepuko ziko wazi? sidhani kama hata anahitaji kuelezea mengine anayopitia huko nyumbani.
duh..yan hapo mbuzi wa bwana kheri shamba la bwana kheri so yote kheriHehehehe wife nae alikuwa busy na mchepuko
Hahahahahahaaaaaaa!!!!Hahahaaa
Wake zetu badilikeni
Hahahahaaaaa!!!!![]()
Mkuu limefika kwa Mkeo nita forward ujumbe umfikie
Mmalizane kimya kimya
Nyie wote maana ya ndoa... hamuifaham.Sasa chukua mchepuko weka ndani uone atakuaje? Kama nyinyi kamsemo kenu kwamba hakuna kampeni baada ya kushinda uchaguzi, basi nasisi hakuna haja ya kubembelezana akat ushaniweka ndani upo?