nyie wanaume bhana hata mfanyiwe nini hamriziki, sms kitu gani, mimi nilikuwa nampelekea mume wangu chakula kabisa ofisini kwake, nanunua chakula, matunda, maji, juisi/soda. naweka lunch box nzuri tu nampa dereva tax anampelekea hadi ofisini kwake kwa gharama zangu na nimefanya hivi for more than 12 years(japo si kila siku )..lakini hakuwa mwenye shukurani na alikuwa na michepuko huko nje na watoto kazaa kabisa na michepuko yake..sasa hapo utasemaje kakangu?