Kwa wake tu: Wakezetu badilikeni!

Kwa wake tu: Wakezetu badilikeni!

Mchepuko unapalilia hela ya kukuchuna maana ukiumwa vidonda vya tumbo atakosa huduma mke anakuwa bize na majukumu ya nyumbani
 
Mchepuko unapalilia hela ya kukuchuna maana ukiumwa vidonda vya tumbo atakosa huduma mke anakuwa bize na majukumu ya nyumbani
Kumshtua mzee akale ni moja ya majukumu ya nyumbani. Majukumu hayajabadilika, sema tu mazingira ndio yame-change sana. Siotena kusonga ugali, umpelekee mzee shambani umbali wa kilomita mbili. Sasahivi ni kunyanyua simu tu. Hata hilo linawashinda!!!!
 
Badilika kwanza wewe mwenye mchepuko

Uko proud mwenyewe eti SMS kwa wife na mchepuko

Shame on you
Majibu ya walioolewa na wanaosaga lami utayajua tu. Walioolewa wako +ve na wana adjust kimya kimya. Then wananishukuru kwa kujitoa muhanga, kuingia field na kuleta mrejesho. Research nyingine ni risk in every sense ila wasaga lami hamuelewi tu.
 
Yawezekana hata yeye alikua busy na text kachelewa kuiona, sometimes mtu unakosa hadi muda Wa kushika sim, lawama c nzuri
Yawezekana ni kweli. Lakini nilifanya hivyo almost a week, na siku zote hizo matokeo ni more or less the same. Siku nyingine ni mpaka narudi home.
 
Usikute nae alitolewa out na mchepuko wake
Haya mambo haya, we unangoja msg wife anavunja vunja mifupa ya mtetea kwenye sahani, angetumaje msg?
Jiongeze asee
Eve..........week nzima!!!!!!!. Nilifanya hivyo almost a week, na average ilikuwa ni hiyo. Kuna mdau kasema mkiwekwa ndani hamjisumbui tena. Kimsingi ni kweli, hasa baada ya kuzaa attention yote huamia kwa watoto. Mzee atapata mabaki. But we can fix this.
 
Khaa nimecheka we kiboko kwani mchepuko wko hajakutosha kukukumbusha
Ilikuwa ni research kujaribu kuona kwanini wababa wanaegemea mpango wa kando na mwisho familia kusambaratika. Kuna tatizo.
 
kuna mi
Badilika kwanza wewe mwenye mchepuko

Uko proud mwenyewe eti SMS kwa wife na mchepuko

Shame on you
chepuko ni wasafi huko chini wacha,,kwanza unakuta uch unabana,,anajua kukatika na anabembeleza mboo hadi unashangaa,,mtu anakuganda unapiga mpaka bao tano,,,sasa hiyo huko nyumbani likilala linajitanua tuu eti humalizi tuu,,,,,,,,,,,,,,,,,khaaaaaaaaa
 
kuna mi

chepuko ni wasafi huko chini wacha,,kwanza unakuta uch unabana,,anajua kukatika na anabembeleza **** hadi unashangaa,,mtu anakuganda unapiga mpaka bao tano,,,sasa hiyo huko nyumbani likilala linajitanua tuu eti humalizi tuu,,,,,,,,,,,,,,,,,khaaaaaaaaa
Mkuu....umeoa au unasherehesha tu!!!!?. Okey, tunafanyaje sasa kuwasaidia wajirekebishe?
 
Ilikuwa ni research ndogo. Nipo kazini mida ya saa tano. Nachukua simu yangu ya kiganjani naandika ujumbe...'Hi baby, niko busy sana, naomba saa saba unishtue niende lunch. Mis u already'. Baada ya kuandika hivyo, natuma ujumbe huu kwenda kwenye number mbili. Moja ya wife, ya pili ni mchepuko. Guess what!!!!! Saa saba on dot, simu inaita. Kuangalia ni mchepuko. Nikapokea nikaambiwa nikale. Naenda kula huku attention yote ikiwa kwenye simu, nijue my wife wangu kachelewa kwa dakika ngapi. Nimekula, nimemaliza, nimerudi ofisini naanza kazi, still attention ipo kwenye simu. Saa nane na nusu inainggia msg.....'umeshakula?'. Wakezetu badilikeni jamani.
Mkeo si ana uhakika wewe ni wake tu ndo mana muda mwingi ni don care but mchepuko anachukulia kama fursa.
Chezea mechi za kirafiki weye.
NB:Wanaume tubadilike na sisi,tuache michepuko,kama mkeo ana madhaifu ni wajibu wako kumsaidia,ukila vya wenzako na vyako huliwa pia,usikute mida hiyo naye alikua analiwa,eee
 
Umeamua tu kumponda mkeo sio bure kuna vingapi vya maana anakufanyia hilo moja tu tena hata halina umuhimu unaona kakosea.

Vipo vya kumwambia mke abadilike na sio hiki aisee
 
Natamani kuona siku ambayo watu wataacha kujisifia uovu hadharani huku wakisifiwa. Tunapopingana na uovu kama wa bashite tupinge na haya maana hayana mchango chanya kwa jamii.
 
Back
Top Bottom