Kwa wadada wa chuo natoa dozi

Kwa wadada wa chuo natoa dozi

quote_icon.png
By CALMAN
mmmmh na mwanamke anasifiwa kufanya nin? mbona mtatuua mapema hvyo

mwanamke anacfiwa kumtunza mwanaume

sio shughuli kweli?
 
kuwa makini na kifaa chako,akikwambia hakutaki,mwambie alale salama
 
Mbona wadada wa chuo tunawasema sana,Je wakaka wa chuo vipi?
 
Ahahahaaha. Huu wito ndo nauona saa hizi nilivyo wa juzi. Mweeh! Mi nana hamu na jasho la dot com (chafya zitNikomaje sasa?)
Umeniondolea stress manake im stood up saa hizi hehehe. Vijana mna hasira wazee wanaharibu mipango.
 
Last edited by a moderator:
Siku ya kwanza atakuja na chupi 2,moja anaifua anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi anaondoka...
Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa usiku,asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka...
Siku ya 3 anasahau pete na hereni juu ya meza anakwambia 'Hny nitunzie nimesahau hereni zangu mezani'
Siku ya 4 anakuja na nguo 2 na vipedo vya kubadilisha na viatu pea 2,anavua high heels anaweka kwenye Shoe rack,asubuhi anaondoka na flat shoes kwenda chuo..
Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha,na ole wako uvihamishe alipoacha,kesi zinaanza...Hao ndo Wanawake wa kileo,akija na begi zima si utamuuliza Vipi mwenzangu na utamkimbiza...Anahamia taratibu..Mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa ina perfume na mafuta ya Rays inakuwa imejaa hereni na 'Foundation'...My Brother,huna haja ya kuuliza,NDO KASHAHAMIA HUYO....Kifuatacho utaambiwa,''Honey I miss my days',Zamani nilijua ni Simu za mkononi tu ndo zina Missed Calls,Siku hizi kuna Missed days,ukiambiwa hivi tu jua imekula kwako,inawindwa ndoa....WANAUMEEEEEEEEEE,Mpoo??Msiseme sikusema
 
....and that's why you guys need to stop being dumb and wrap it up! No glove no love.
 
Sasa vijana wa cku hizi c hamuoi bila kukamatika? Mnajisahau tu kisa mambo yote mnapata lazima mbinu mbadala zitumike ili kuhakikisha ustawi wa jamii unakuwepo na si kuendekeza ngono tu!
Big up to all wahamiaji wa ki .com (full smugling)
 
Ahaaa nishajua

"To know the enemy is half the victory"
 
Mkuu kwani wewe huonagi hili mra kibao wasichana wadogo wanatoka na vibabu vyao hivi hii haki?Ndo mana matahira hawaishi!!its unfair na kwa kawaida msichana anakuwa kafuata fedha tena mwanaume(kizee) ukikaa vibaya anakudedisha arithi mali

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kwa hiyo ni kosa la hao wasichana? sio kosa la vibabu kuwashawishi kwa pesa?
kwanini vibabu havitoki na vibibi? why is it only the girl's fault? au unaanza nao tu, later utaleta thread ya kuwablame na vibabu? then later ya kuwablame wamama wenye kutoka na vitoto, then later ya kuwablame vijana wa kiume wanao toka na vimama?
 
"jasho linatoa harufu ya sikukuu ya uhuru"..nimecheka sana asee
 
Siku ya kwanza atakuja na chupi 2,moja anaifua anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi anaondoka...
Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa usiku,asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka...
Siku ya 3 anasahau pete na hereni juu ya meza anakwambia 'Hny nitunzie nimesahau hereni zangu mezani'
Siku ya 4 anakuja na nguo 2 na vipedo vya kubadilisha na viatu pea 2,anavua high heels anaweka kwenye Shoe rack,asubuhi anaondoka na flat shoes kwenda chuo..
Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha,na ole wako uvihamishe alipoacha,kesi zinaanza...Hao ndo Wanawake wa kileo,akija na begi zima si utamuuliza Vipi mwenzangu na utamkimbiza...Anahamia taratibu..Mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa ina perfume na mafuta ya Rays inakuwa imejaa hereni na 'Foundation'...My Brother,huna haja ya kuuliza,NDO KASHAHAMIA HUYO....Kifuatacho utaambiwa,''Honey I miss my days',Zamani nilijua ni Simu za mkononi tu ndo zina Missed Calls,Siku hizi kuna Missed days,ukiambiwa hivi tu jua imekula kwako,inawindwa ndoa....WANAUMEEEEEEEEEE,Mpoo??Msiseme sikusema

Pia ungetuambia kabla hamjaanzana ulimuahidi nini......
 
kweli uzee ni majanga, kumbe excel ina edit picha pia? Nilifikiri ni adobe photoshop au macromedia pekee ndo zina funnction nyingi za kuedit picha, MENTION]FP[/MENTION] ngoja nirudi tuition ya kompyuta!

Nadhani ana maana kuwa ms excel ina mistari mingi vivyo hivyo na mtu mzee anakuwa na mikunjo usoni, maybe!

Sent from my HTC Desire S using Tapatalk 2
 
KWA MADEMU WA VYUO MKINICHUKIA POA TU.

Watu wanaowajua wakiwaona,wanahisi unampenda kweli,maana mahaba unamuonyesha hadharani,unambusu bila hofu...Watu wanajiuliza kwanini msichana mzuri kama wewe uko na jamaa ambae anaonekana AGE GO AGE WENT,hamfanani kiumri wala kiumbo na ki-wajihi..Kumbe una siri moyoni,humpendi kwa moyo ila kwa sababu ana hela,na wewe ni Mwanafunzi mwenye mahitaji,umeamua kujishikiza kama kifungo cha shati hadi umalize shule...

Mwanaume anajua kapata msomi,umetulia,kumbe mwenzangu una ajenda ya siri...Wanawke wana moyo,una miaka 19 unadate na jamaa lina miaka 47,jasho analotoa lina harufu ya Sikukuu ya uhuru mwaka 1961 ila upo tu kwa ajili ya PESA....Halafu mashosti zako bila haya wanakwambia, 'Msalimie Shem Handsome' huku chinichini wanakucheka...

Wanafunzi wa Kike wa Vyuo Vikuu,mko juu sana,uko radhi umegwe na jamaa bovuuu kisa hela,hata mkipiga picha Photopoint wana-edit wee poda ya Computer,jamaa bado hakolei hadi wanatamani wamwekee Microsoft Excel usoni!.
Wanasema age is just a number ila ni valid if there is LOVE. kwa habari ya pesa ni another level of understanding!!!! Ms Excel ikitumika kuedit uso cjui itakuaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom